Mzee makongoro nyerere ndieo mwanasiasa pekee Tanzania ninaeweza kufuatilia hotuba zake bila kuchoka

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Kusema kweli mzee makongoro nyerere hachoshi katika hotuba zake, Huyu mzee kwa mimi binafsi ningetamani sana apate wadhifa wa juu, kwa hii nchi ilivyo kwa sasa inahitaji watu wa aina hii, tunahitaji kuchekeshwa sasa.
 

Attachments

  • Daah__ πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ˜‚__Follow _timothy_malyii πŸ™πŸ™ŒπŸ™_________________________________timothymalyii _malyimed...mp4
    5.9 MB
Kusema kweli mzee makongoro nyerere hachoshi katika hotuba zake, Huyu mzee kwa mimi binafsi ningetamani sana apate wadhifa wa juu, kwa hii nchi ilivyo kwa sasa inahitaji watu wa aina hii, tunahitaji kuchekeshwa sasa.
Wabongo bwana mwanasiasa anayeongea pumba ndiye anayefuatiliwa sana ila ukiongea logic nobody atakufuatilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…