Mzee Malecela, Mzee Warioba, Dk. Salim, Mzee Msuya, Mzee Butiku mko wapi majadala wa kitaifa kuhusu Bandari?

Mzee Malecela, Mzee Warioba, Dk. Salim, Mzee Msuya, Mzee Butiku mko wapi majadala wa kitaifa kuhusu Bandari?

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
NCHI Yetu bado ina hazina na viongozi wastaafu, Mzee Samwel John Malecela, Mzee Joseph Sinde Warioba, Mzee David Cleopa Msuya, Dk. Salim Ahmed Salim, Mzee Joseph Butiku mbona mko kimya mjadala unaohusu kuuzwa kwa bandari?

Tunawaomba na ninyi kama wazee wetu mtoe neno kuhusu mkataba huu.


001msuya.jpg

Mzee Msuya


images.jpg

Mzee Malecela

warioba-pic.jpg

Mzee Warioba


DK.SALIM.JPG

Dk. Salim


20230503_103225_913_Mzee Joseph Butiku delivering a speech on the significance of honoring pat...jpg

Mzee Butiku
 
NCHI Yetu bado ina hazina na viongozi wastaafu, Mzee Samwel John Malecela, Mzee Joseph Sinde Warioba, Mzee David Cleopa Msuya, Dk. Salim Ahmed Salim, Mzee Joseph Butiku mbona mko kimya mjadala unaohusu kuuzwa kwa bandari?

Tunawaomba na ninyi kama wazee wetu mtoe neno kuhusu mkataba huu.


View attachment 2664517
Mzee Msuya


View attachment 2664518
Mzee Malecela

View attachment 2664520
Mzee Warioba


View attachment 2664522
Dk. Salim


View attachment 2664523
Mzee Butiku
Hakuna mzee mnafiki kama Butiku! Wakati wa Mwendazake alikuwa anasafiri katiba ibadilishwe ili Magu awe Rais wa milele. Mzee hana maana kabisaa!
 
Mzee marechela na Mzee salim una hakika wana uwezo wa kiakili kujadili ? ,Huyu salim kuna siku nimeona mwanaye kampost ana stroke
 
NCHI Yetu bado ina hazina na viongozi wastaafu, Mzee Samwel John Malecela, Mzee Joseph Sinde Warioba, Mzee David Cleopa Msuya, Dk. Salim Ahmed Salim, Mzee Joseph Butiku mbona mko kimya mjadala unaohusu kuuzwa kwa bandari?

Tunawaomba na ninyi kama wazee wetu mtoe neno kuhusu mkataba huu.


View attachment 2664517
Mzee Msuya


View attachment 2664518
Mzee Malecela

View attachment 2664520
Mzee Warioba


View attachment 2664522
Dk. Salim


View attachment 2664523
Mzee Butiku
Umemsahau Msekwa.

Ila hawa viongozi Wastaafu wa CCM huwezi kuwaamini. Labda tuseme kimya chao tayari ni jibu tosha kuwa hawakubaliani na mkataba. Usually wangeshajitokeza kutetea Chama.
 
Je wewe kijana umefanya nini?,vijana wenzako walifanya street battles, wakakamatwa na police wa ccm,wakalala jela na wapo nje kwa dhamana, wewe unakimbilia humu na kusukuma uoga wako kwa wazee!!,battles za mabadiliko ziko kwenye streets sio humu
 
NCHI Yetu bado ina hazina na viongozi wastaafu, Mzee Samwel John Malecela, Mzee Joseph Sinde Warioba, Mzee David Cleopa Msuya, Dk. Salim Ahmed Salim, Mzee Joseph Butiku mbona mko kimya mjadala unaohusu kuuzwa kwa bandari?

Tunawaomba na ninyi kama wazee wetu mtoe neno kuhusu mkataba huu.


View attachment 2664517
Mzee Msuya


View attachment 2664518
Mzee Malecela

View attachment 2664520
Mzee Warioba


View attachment 2664522
Dk. Salim


View attachment 2664523
Mzee Butiku
Ili iweje?

Waache wazee wamestaafu. Vipi umezidiwa hoja unaomba poo?

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
NCHI Yetu bado ina hazina na viongozi wastaafu, Mzee Samwel John Malecela, Mzee Joseph Sinde Warioba, Mzee David Cleopa Msuya, Dk. Salim Ahmed Salim, Mzee Joseph Butiku mbona mko kimya mjadala unaohusu kuuzwa kwa bandari?

Tunawaomba na ninyi kama wazee wetu mtoe neno kuhusu mkataba huu.


View attachment 2664517
Mzee Msuya


View attachment 2664518
Mzee Malecela

View attachment 2664520
Mzee Warioba


View attachment 2664522
Dk. Salim


View attachment 2664523
Mzee Butiku
Ukiona kimya ujue wazee wameridhika na namna Watanganyika wanavyotetea nchi yao.
 
Back
Top Bottom