Mzee Malecela, Mzee Warioba, Dk. Salim, Mzee Msuya, Mzee Butiku mko wapi majadala wa kitaifa kuhusu Bandari?

WAZEE HAWANA SHIDA MAISHA YAO MATAMU HAWANA HOJA WANAKULA PENSHENI
 
waacheni hao wazee wapumzike jamani.
 
Wapo zao mikocheni beach, kawe beach, masaki, oysterbay wanacheza na wajukuu zao kwenye mahekaru alafu pension zao zinaingia bila wasiwasi wowote na wala hawa washwi washwi
 

WAZEE HAWANA SHIDA MAISHA YAO MATAMU HAWANA HOJA WANAKULA PENSHENI
Msitake kuwatumia wzee wetu kwa mambo yenu ya kipumbavu, pambananei na hali zenu, endeleeni na upotoshaji wenu wa kipuuzi wazee wako na mama yetu Mh. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.
 
Ila Sasa Hivi Tanzania Tumevurugwa Mno
Nimefuatilia Jambo La Habibi Serikali Imepata Ganzi Imechukua Vipindi Radio Nyingi
Kutolea Ufafanuzi Ila Nao Hawapo Pamoja Na Ccm

Your browser is not able to display this video.
 
Lexus ya Mh Rais Ruto imekula mweleka, hakuwemo ndani alikuwa angani kwenye hedikopta, Wakenya wanajiuliza Mungu kaleta ujumbe gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…