MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
WAZEE HAWANA SHIDA MAISHA YAO MATAMU HAWANA HOJA WANAKULA PENSHENINCHI Yetu bado ina hazina na viongozi wastaafu, Mzee Samwel John Malecela, Mzee Joseph Sinde Warioba, Mzee David Cleopa Msuya, Dk. Salim Ahmed Salim, Mzee Joseph Butiku mbona mko kimya mjadala unaohusu kuuzwa kwa bandari?
Tunawaomba na ninyi kama wazee wetu mtoe neno kuhusu mkataba huu.
View attachment 2664517
Mzee Msuya
View attachment 2664518
Mzee Malecela
View attachment 2664520
Mzee Warioba
View attachment 2664522
Dk. Salim
View attachment 2664523
Mzee Butiku
waacheni hao wazee wapumzike jamani.NCHI Yetu bado ina hazina na viongozi wastaafu, Mzee Samwel John Malecela, Mzee Joseph Sinde Warioba, Mzee David Cleopa Msuya, Dk. Salim Ahmed Salim, Mzee Joseph Butiku mbona mko kimya mjadala unaohusu kuuzwa kwa bandari?
Tunawaomba na ninyi kama wazee wetu mtoe neno kuhusu mkataba huu.
Mzee Msuya
Mzee Malecela
Mzee Warioba
Dk. Salim
Mzee Butiku
Jiandae na mishangazo( katika lafudhi ya Hayati wa Muziki Dr. Remmy Ongalla), my Dear Mkuu. Ha ha hahahaha aaa!"Wanatetea" kwani wao kuku?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Acha utoto ajuza."Wanatetea" kwani wao kuku?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
NCHI Yetu bado ina hazina na viongozi wastaafu, Mzee Samwel John Malecela, Mzee Joseph Sinde Warioba, Mzee David Cleopa Msuya, Dk. Salim Ahmed Salim, Mzee Joseph Butiku mbona mko kimya mjadala unaohusu kuuzwa kwa bandari?
Tunawaomba na ninyi kama wazee wetu mtoe neno kuhusu mkataba huu.
View attachment 2664517
Mzee Msuya
View attachment 2664518
Mzee Malecela
View attachment 2664520
Mzee Warioba
View attachment 2664522
Dk. Salim
View attachment 2664523
Mzee Butik
Msitake kuwatumia wzee wetu kwa mambo yenu ya kipumbavu, pambananei na hali zenu, endeleeni na upotoshaji wenu wa kipuuzi wazee wako na mama yetu Mh. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.WAZEE HAWANA SHIDA MAISHA YAO MATAMU HAWANA HOJA WANAKULA PENSHENI
Babako ndio hana maana kuzaa pumbavu km weweHakuna mzee mnafiki kama Butiku! Wakati wa Mwendazake alikuwa anasafiri katiba ibadilishwe ili Magu awe Rais wa milele. Mzee hana maana kabisaa!