Umeongea kitu kizito sana...unaweza kuwa unampigia mtu mahesabu kuwa mwaka huu hatoboi ukashangaa we ndo unasepa unamwacha!Huyu mama akili yake inamtuma kuwa mzee atavuta soon ili hata akianza kujiachia na mirathi apate huruma kuwa alimpenda sana mzee na alimtunza vyema acha ale matunda, hajui kwa Mungu hakuna namba anaweza kumpenda kabla ya mzee.
Account ya Machache anaitumia jaqline kupost huo utumbo #inavyosemekana lakiniHuyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.
Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
View attachment 1060633
Mwasu uko juu!Irene nae alikuwa na Jackline Mengi kwenye trip ya south nae alikuwa na mzungu wake wote wakaachwa kwenye mataa, bahati mbaya Irene aliachwa na ujauzito wa mtoto wake wa kwanza kurudi home mzee wake akamtimua akapata hifadhi kwa msamaria mpaka akajifungua baada ya muda ndio familia ikamsamehe akarudi Nyumbani, now ni nyumba ndogo ( inayofahamika na familia) ana date na mtoto wa mzee Yona yule alikuwa katibu wa wizara ya madini, jamaa ana pesa ndefu na amezaa na Irene watoto wawili au watatu, now no official nyumba ndogo. Sophia nae kaolewa na mme wa mtu Dokta wa muhimbili nae ni mke wa pili...Yule Muuza nafaka alikuwa nae miss...ndio ana mume wake halali Jenipher ni mke wa mbunge wa muleba ambae now ni naibu waziri wa kilimo.
Muuza nafaka ni Nasreem?Irene nae alikuwa na Jackline Mengi kwenye trip ya south nae alikuwa na mzungu wake wote wakaachwa kwenye mataa, bahati mbaya Irene aliachwa na ujauzito wa mtoto wake wa kwanza kurudi home mzee wake akamtimua akapata hifadhi kwa msamaria mpaka akajifungua baada ya muda ndio familia ikamsamehe akarudi Nyumbani, now ni nyumba ndogo ( inayofahamika na familia) ana date na mtoto wa mzee Yona yule alikuwa katibu wa wizara ya madini, jamaa ana pesa ndefu na amezaa na Irene watoto wawili au watatu, now no official nyumba ndogo. Sophia nae kaolewa na mme wa mtu Dokta wa muhimbili nae ni mke wa pili...Yule Muuza nafaka alikuwa nae miss...ndio ana mume wake halali Jenipher ni mke wa mbunge wa muleba ambae now ni naibu waziri wa kilimo.
Ile interview yake yote ni fix!Huyu dada (K-lyn) ni muongo jamani,anasema walikuwa friends na Mengi for three years wakati alimpokonya Madam Ritha na ushoga ukafa,Madam Ritha mpaka BSS ikaanza kuyumba,bi dada akagoma isirushwe tena ITV,Yeye wakati anaanza kumdate Mengi alikuwa anatoka na Mustafa Hasanali (tena walikuwa wanapika na kupakua
Kumbe mama ndo alifumaniwa?Mercy (RIP) Mzee alimuacha kwa sababu alimfumania na family Dr.more than once,mzee ndo akanawa mikono
Ha ha ha....demu miyeyusho huyu[emoji16]Ndiyo,na K-lyn alikuwa anamuita mme wangu[emoji1][emoji1]
Kweli yy ndo anajipostia na kujijibuAccount ya Machache anaitumia jaqline kupost huo utumbo #inavyosemekana lakini
Mtu mwenye pesa mingi hana mda wa kufanya huo utumbo.
Hata siku moja...mda wote yuko busy, sasa yule demu jobless mda wote kuzurura mjini na ulaya huko!Mtu mwenye pesa mingi hana mda wa kufanya huo utumbo.
mzee hana tatizo na hilo mana kama kakubali kupiga hizo picha atakataa vipi hizo picha kupostiwa mzee anasema bila k lyn angeshakuwa amekufaHata siku moja...mda wote yuko busy, sasa yule demu jobless mda wote kuzurura mjini na ulaya huko!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaq ana bahati kweli kakutana na gari la mshahara πππππ.Hata siku moja...mda wote yuko busy, sasa yule demu jobless mda wote kuzurura mjini na ulaya huko!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na leo mzee katangaza kugawa mil 20 kwa kila mchezaji atakayeshinda nini sijui...mambo ya mpira sifatiliagiJaq ana bahati kweli kakutana na gari la mshahara [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Hahahaha nimemuona Bashite akifanya harambee ya kukusanya mpunga wa AFCON akiwa na Mzee Machache.Na leo mzee katangaza kugawa mil 20 kwa kila mchezaji atakayeshinda nini sijui...mambo ya mpira sifatiliagi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaa ndo hiyo hiyo katangaza kutoa 20m kama wakishinda!Hahahaha nimemuona Bashite akifanya harambee ya kukusanya mpunga wa AFCON akiwa na Mzee Machache.