Kimsingi Kylin atarithi Sehemu kubwa ya Utajiri wa mengi.... Japo anahuzunika lakini moyoyii[emoji4]Ngoja tuone utekelezaji wa utabiri huu.
Tafuta pesa uzeeke huku unakula mamiss world.
Unawajuwa vizuri wazee wa Kichaga? Hasa msomi mkubwa kama Mengi?Kimsingi Kylin atarithi Sehemu kubwa ya Utajiri wa mengi.... Japo anahuzunika lakini moyoyii[emoji4]
Aaha sasa kwa mahaba yale mzee urithi atamuandikia nani????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Kaka zake au?? Hakuna watu wanaweza kuwa na uchungu na mali zako kama Watoto zako kidogo napo na Mkeoo... Ndugu wote hakuna kituu watazitapanyaa tuuUnawajuwa vizuri wazee wa Kichaga? Hasa msomi mkubwa kama Mengi?
Ni wapi aliposema amewahi kuwa miss world?Kumbe huyu demu aliwahi kuwa Miss world, hivi ni mwaka gani alishika hilo taji?
Umeongea kitu kizito sana...unaweza kuwa unampigia mtu mahesabu kuwa mwaka huu hatoboi ukashangaa we ndo unasepa unamwacha!
Mi toka nione ishu ya lowasa sina hamu, Mungu mkali asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wapi aliposema amewahi kuwa miss world?
this is kind of medication from my view,mengi alikua ameshaugua mda mrefu hii ni psychology confortable medication ,kumfanya aendelee kuishi wazungu wengi wanatumia sana hii,it is normalHuyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.
Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
View attachment 1060633
Kwanza wewe umeelewa alichoandika?Umesoma vizuri post yake na kuielewa?
Kwanza wewe umeelewa alichoandika?
Itapendeza zaidi ukimpakata mama yako mzazi. Fuseki.Ok, kwaheri.....najuwa unakoelekea. Mimi sipakati wanaume wenzangu, naomba katafute wengine.
Yametimia sasa. RIP Mzee Mengi
Kuna la kujifunza
Huyu mzee aliacha mke halali aliye hustle naye toka ujana wao, akaja mchukuwa kylin, mke wake akafariki miezi michache tu iliyopita sijui aliondoka na maumivu na uchungu wa aina gani leo mengi kamfata na jak kaachwa hapo.
Hapa kuna jambo kubwa ambalo tunapaswa kujifunza.
tayari deal limekamilika!?Hii kali kabisa. Daaah kumbe aliachwa mataa? Ukweli ingekuwa ni ndugu yangu ningeenda tu nimshauri kuwa maisha yake yawe kwenye usiri tu maana anaweza kuamsha waliolala kwa sababu ona kwa mambo anayofanya kwa sasa mpaka hata mimi Zogwale nimejua nisichokuwa nimejua kuwa huyu mwanamke alikuwa ni kahaba wa casino na kuwa ni internationa prostitute. Aiseee mama wawili tulia kwa sababu sasa anachafuka mitandaoni.
Ila ninawaambia kuna senema anatengeneza huyu. Time will tell.
Huyu mzee had all his life in privacy, out of camera and now his life is so much exposed. Ndugu zake na watoto kama mna akili ya ziada ni vyema waliangalie hili kwa jicho la pili.
Nasikia bibie ndio alaikuwa anamwandikia,kote huko sijui tweeter, insta Jack ndio alikuwa anaaandika kwenye page ya hubbyHii thread niliwaambia Mengi hayupo sawa,na inawezekana kafariki katika kutafuta ujana zaidi. Majuzi juzi kulikuwa na tweet inaongelea stem cells. Ambayo iliandikwa kwenye tweet ya Mengi. Im sure si Mengi aliyeiandika.
Mzee alikuwa na insta? Jack kama Zari tu kutafuta assurance kwa social media.Nasikia bibie ndio alaikuwa anamwandikia,kote huko sijui tweeter, insta Jack ndio alikuwa anaaandika kwenye page ya hubby
RIP Mzee Mengi!