Dakika za 90 mechi huwa fasta sana. Refa anakua makini mno,kocha anahakikisha wachezaji hawafanyi uzembe,golikipa anajipanga vyema,beki na viungo wanasimamia majukumu yao sawia huku mshambuliaji akiwa font front kuhakikisha timu inaibuka na shangwe.
Wivu huo ujui ukizeeka mapenzi ndiyo yananoga ukizingatia anamtoto mbichi!
Dakika za 90 mechi huwa fasta sana. Refa anakua makini mno,kocha anahakikisha wachezaji hawafanyi uzembe,golikipa anajipanga vyema,beki na viungo wanasimamia majukumu yao sawia huku mshambuliaji akiwa font front kuhakikisha timu inaibuka na shangwe.
K lyni ameshagundua expire date ya mzee Mangi imekaribia hivyo anapalilia mirathi yake ili muone anastahili.Huyu mzee ameamuliwa kuwa kituko sasa kwenye jamii,hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe k lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
Uzi tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kuna watu wawili unamuona nani ndio main character wa hilo saga.
ππππππUlishaukalia ukajua hausimami!?
Au ulishaunyonya ukajua mnara hausomi!?
Duh! Naona sasa ameshakuwa mtu wa hovyo hovyo. Hata haifai kumpigia promoWivu huo ujui ukizeeka mapenzi ndiyo yananoga ukizingatia anamtoto mbichi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah Watu mna maneno
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni pesa tu inayoongea.Tupe experience
Naona ushaonja penzi la uzeeni
NenoWanatafuta kuongelewa tu nao
''Mbele ya mapenzi kiwete anapakatwa'' marehemu Dr Remmy,Mungu amlaze mahari pema.Huyu mzee ameamuliwa kuwa kituko sasa kwenye jamii,hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe k lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
Uzi tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahakika/unajuaje?
Hivi ana watoto wakubwa tofauti na ao wa k Lyn?
K lyni ameshagundua expire date ya mzee Mangi imekaribia hivyo anapalilia mirathi yake ili muone anastahili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa hapendwi angeolewa na kuzaa? Akili za kijinga hizi zilizojaa chuki na umaskini ndani yake.Aisee this is very true , ndio maana anatumia nguvu nyingi kuonesha kwamba anapendwa/ au wanapendana
πππ ukiwa kapuku utaambiwa unapenda show of za kishamba ila kwa boss mengi ata wachambaji wameufyata. Wanabaki kuumia ila basi ndio hivyo tena!Kuna watu wakifanya haya mambo wanaishia kuitwa watu wa hovyo...ukiwa na hela hata ukijamba kanisani watakupa pole
Sent using Jamii Forums mobile app