Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Nyie pondeni wee ila mkae mkijua K.Lynn ndio the next boss lady atakaekuja baada ya Zari. Hapo anachanga karata zake vizuri tu ili asije akamzingua boss kazi!

Nyie endeleeni kumuona chizi ila baada ya mazishi akianza kuwanyoosha instagram kwa kupost ma rolce royce watoto wa mjini lazma mtie akili!
 
wakiwa uchi sijui inakuaje? Ivo sio laana kumchungulia faza kama uyu!
 
Chunguza vizuri uswahilini unapoishi kuna watoto wakali huyo K Lyn anasubiri, by the way she is too old.

Sent using Jamii Forums mobile app


Wapo wazuri sana tena mno ila ni hao wavaa dera na wapaka mkorogo wa mama tukinani... huelewi anavaa wigi utadhani katani ya gunia. So lazima asubiri mwanamke so classic kuanza kuongea hadi kucheka. hao wa mtaani akionge Asha ngedere anasubiri akicheka lazima kidole juu hapo sijui utasema ni mzuri au nini anywaya The bird of the same feather ................ Sasa wewe dili na hao wa mtaani kwako acha vitu classic vifuatwe na classic wenzake.n Tshaoooo
 
Sijaona mtu classic humu zaidi ya porojo tu, labda zaidi tukutane kwenye mishkaki ya samaki na kitimoto Chato street regent estate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…