Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Yaani inaboa sana!
Wapi sn ,ila ningekua mi nisingekubali huu ujinga
Sijui watoto wake na ndugu zake wako wako wapi?

Nimejiuliza sana hili swali: Kwanini wanakubali kuona baba yao anakuwa kituko kwenye mitandao?

Heshima aliyojijengea yule Mzee inapotea ghafla. Sasa hivi amekuwa kama wakina Diamond Platnumz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,hizo za kuzikuta kachuma mwingine halafu uje ule kirahisi tu!?zina jasho LA mtu hizo!wenye baba na mama yao waliozichuma pamoja wapo wanaangalia tu!
Tupo hapa ngoja tuweke akiba ya maneno!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Kylin Amefanya hii familia ianze kuongewa wenyewe wapo very private
Mzee anaonyeshaudhaifu sana ,ameshindwa kumtoa kylin kwenye kundi lake la makahaba na mashangingi na kumtuliza ndan,she had a low profile of her own mzee anamsafisha kwa pamba safiya familia very bad,Ishu ya kumuoa huyu tuli dought kama ataweza kwenda na standard za hii familia lakini kwa msaada wa mengi analiangusha sana jina la hii familia yenye kuficha mambo yao ,mutie alikuwa malaya mbwa lakini alijuakuweka madhaifu binafsi mbali na familia kwanza roumors has it kinje kala sana huyu mama na walikuwa na tabia ya kupokezana usikute hata mutie kala hii sasa kuficha yote haya angejikalia kimya watu watamfukua hadi mzee apoteze hapitite
 
Kwani nyie mbona mnazingua???? Huyu mzee amekosa nini hasa??? Si mke wake yulee mbona mnampangia mzee aishi vipii akati pesa anayoo...[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wabongo bhnaa tafuteni helaa acheni kelele humuu...pambafuu kabisaa etii ooho anajiabisha kwani wanagongana hadharani???? shwain...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…