bite1999
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 387
- 395
Hata Mitume wa zamani walitafutiwa vibinti vibichi vya kuwatia joto hahaaaaaWivu huo ujui ukizeeka mapenzi ndiyo yananoga ukizingatia anamtoto mbichi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mitume wa zamani walitafutiwa vibinti vibichi vya kuwatia joto hahaaaaaWivu huo ujui ukizeeka mapenzi ndiyo yananoga ukizingatia anamtoto mbichi!
Kuna la kujifunza
Huyu mzee aliacha mke halali aliye hustle naye toka ujana wao, akaja mchukuwa kylin, mke wake akafariki miezi michache tu iliyopita sijui aliondoka na maumivu na uchungu wa aina gani leo mengi kamfata na jak kaachwa hapo.
Hapa kuna jambo kubwa ambalo tunapaswa kujifunza.
Umesoma vizuri post yake na kuielewa?
ujumbe mzito huuDakika za 90 mechi huwa fasta sana. Refa anakua makini mno,kocha anahakikisha wachezaji hawafanyi uzembe,golikipa anajipanga vyema,beki na viungo wanasimamia majukumu yao sawia huku mshambuliaji akiwa font front kuhakikisha timu inaibuka na shangwe.
Moyoyii [emoji777]Kimsingi Kylin atarithi Sehemu kubwa ya Utajiri wa mengi.... Japo anahuzunika lakini moyoyii[emoji4]
Hili ni funzo kwa wazee wa kuweka mizigo/mikeka/kubet.
Hivi ana watoto wakubwa tofauti na ao wa k Lyn?
Naomba jibu la hili swali wakuu
Kuna uzi mwingine ebu fanya kuutafuta utapata hilo jibu la swali lakoMsiba uko wapi najua coca watafanya kufuru
Ile signature ya Love You Crazy sijawahi iamini kama ilikuwa ya MzeeTweet zote zilitoka kwa jack. Mzee alikuwa anaumwa tayari
Anao wawili kwa mke wa Kwanza, walikuwa watatu mmoja alifariki na ndiye aliyekuwa akisimamia EATVNaomba jibu la hili swali wakuu
Shukrani mkuu.Anao wawili kwa mke wa Kwanza, walikuwa watatu mmoja alifariki na ndiye aliyekuwa akisimamia EATV
Ile signature ya Love You Crazy sijawahi iamini kama ilikuwa ya Mzee
Ile signature ya Love You Crazy sijawahi iamini kama ilikuwa ya Mzee
Umeongea kitu kizito sana...unaweza kuwa unampigia mtu mahesabu kuwa mwaka huu hatoboi ukashangaa we ndo unasepa unamwacha!
Mi toka nione ishu ya lowasa sina hamu, Mungu mkali asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Akichunguzwa vizuri, anaweza kutiwa hatianiHuyu msichana amefanya mchezo wa kitoto sana.
Unaambiwa mzee alikua amemuandikisha klyn kila kitu 50%. Ikafikia hatua hadi akataka kumuweka kwenye board of directors lkn watoto wake kina regina ndo wakaja juu na kufungua kesi mahakamani kwamba mzee wao anapelekeshwa kufanya maamuzi na klyn coz mzee ni mgonjwa so anashindwa kujisimamiaUnawajuwa vizuri wazee wa Kichaga? Hasa msomi mkubwa kama Mengi?