Mzee Mengi na Jacqueline maisha ni motomoto,wakubwa wanafaidi

Mzee Mengi na Jacqueline maisha ni motomoto,wakubwa wanafaidi

View attachment 341454 View attachment 341456 View attachment 341458 View attachment 341460 View attachment 341462 View attachment 341463 View attachment 341464 View attachment 341465

Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku nzima.

Bata mara moja moja kama hivi si haba,unakula bata na watoto na wife hapa na pale..Mambo ya kuja Dsm kwa kupanda fuso peleka huko...
Kamoooooooniiiiiiiiii, yeuwiiiiiiiiiiiie
 
huyu mzeee nlikua namkubali biznes zake ila kija kuzaaa na k lyni ni kama mwanae kajiharibia hrshima halafu wakazaaa kabisa?? aibu hata hawaoni? kwan yule mama mengi halisi yuko wapi? kwel dunia ina meng
Mkeo akichepuka na wewe una hela unafanyaje mkuu.

Huyu K-Lily ni mke halali wa Mengi, wamefunga ndoa kabisa sio mchepuko
 
Vijana tutafuteni pesa uzee una shombo mbaya kama unakuwa apeche alolo sasa kama anakuja na kutoa prado ya ghafla bint anashangaa sasa baby umeninunulia gari nitapaki wapi?mzee ana jibu hata kwenye viwanja vya CCM.
Huku kijana ukiambiwa ununue iPhone unalalamika mademu wanapenda anasa.Vitaendelea kutunyanyasa hivi vibabu mpaka jasho litutoke tutafute pesa jamani.
Vibabu vyenye hela viko vzuri hasa wanajali vijana pasua kichwa hafu wabahili wakitaka mechi wanasugua huku hawatoi kitu. Bora klyn na babu yake
 
1461267302814.jpg
 
Back
Top Bottom