mwarabuwadubeii
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 661
- 651
Kwa akili yako huwezi kuona tatizo!Tatizo liko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili yako huwezi kuona tatizo!Tatizo liko wapi?
Mengi si kaoa , ss tatizo nn ?huyu mzeee nlikua namkubali biznes zake ila kija kuzaaa na k lyni ni kama mwanae kajiharibia hrshima halafu wakazaaa kabisa?? aibu hata hawaoni? kwan yule mama mengi halisi yuko wapi? kwel dunia ina meng
Clubs zenyewe zipo ngapi?almuhimu mkwanja hivi vibabu tutaona vinatunyanyasa kumbe vina ulimbo ndege wananasa wenyewe sisi tunabaki tunalalama.Sasa nyie wanaume endeleeni kutafuta six packs mkawe mabaunsa wa kwenye clubs
Tatizo lipo na kweli hii nayo ni moja kati ya maajabu ila kwa kuwa waswahili wanasema 'Mtoto wa Mwenzio Mkubwa Mwenzio' acha tu mtoto mdoooodo amvulie nguo 'babae'Kwa akili yako huwezi kuona tatizo!
Kuungua sio issue siku hizi,Amatus mpaka jela alikwenda ila alistahimili na kama na kama stuation yake ya kipesa ingekuwa kama alivyokuwa kwente twin tower mpaka leo angekuwa anakula life tuHivi si kuna habari zilivuma kuwa huyu Mzee ameungua?
Kwa akili yako huwezi kuona tatizo!
Pesa bado inaplay part yake..... Hizo habari kama ni kweli pesa ya kubadili damu ipo, kupata dawa nzuri ipo angekua hana hela na hizo habari ni za kweli angeshajipaukia siku nyingiHivi si kuna habari zilivuma kuwa huyu Mzee ameungua?
Kamoooooooniiiiiiiiii, yeuwiiiiiiiiiiiieView attachment 341454 View attachment 341456 View attachment 341458 View attachment 341460 View attachment 341462 View attachment 341463 View attachment 341464 View attachment 341465
Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku nzima.
Bata mara moja moja kama hivi si haba,unakula bata na watoto na wife hapa na pale..Mambo ya kuja Dsm kwa kupanda fuso peleka huko...
Mkeo akichepuka na wewe una hela unafanyaje mkuu.huyu mzeee nlikua namkubali biznes zake ila kija kuzaaa na k lyni ni kama mwanae kajiharibia hrshima halafu wakazaaa kabisa?? aibu hata hawaoni? kwan yule mama mengi halisi yuko wapi? kwel dunia ina meng
Vibabu vyenye hela viko vzuri hasa wanajali vijana pasua kichwa hafu wabahili wakitaka mechi wanasugua huku hawatoi kitu. Bora klyn na babu yakeVijana tutafuteni pesa uzee una shombo mbaya kama unakuwa apeche alolo sasa kama anakuja na kutoa prado ya ghafla bint anashangaa sasa baby umeninunulia gari nitapaki wapi?mzee ana jibu hata kwenye viwanja vya CCM.
Huku kijana ukiambiwa ununue iPhone unalalamika mademu wanapenda anasa.Vitaendelea kutunyanyasa hivi vibabu mpaka jasho litutoke tutafute pesa jamani.
Abeeeeeeeee, Yesu kristuHivi si kuna habari zilivuma kuwa huyu Mzee ameungua?
Hivi huyu dada anafikishwa kileleni na hicho kibabu? Au kuna kaserengeti boyz kanamsaidia babu?Vibabu vyenye hela viko vzuri hasa wanajali vijana pasua kichwa hafu wabahili wakitaka mechi wanasugua huku hawatoi kitu. Bora klyn na babu yake
Hapo penye kusimamia kucha kwenye show itabaki kuwa hivyo ila pesa inabidi tuzitafute maana hawa wazee wanatafuna pweza tartibuuu.Vibabu vyenye hela viko vzuri hasa wanajali vijana pasua kichwa hafu wabahili wakitaka mechi wanasugua huku hawatoi kitu. Bora klyn na babu yake
Vijana ni jipu kabisa aisee sasa mtabaki kula kwa machoHapo penye kusimamia kucha kwenye show itabaki kuwa hivyo ila pesa inabidi tuzitafute maana hawa wazee wanatafuna pweza tartibuuu.
Wanaungua maskini tajiri haunguwi ndugu..Hivi si kuna habari zilivuma kuwa huyu Mzee ameungua?
Tunabanana pesa tunatafuta japo sio kivile kama walizonazo madingiVijana ni jipu kabisa aisee sasa mtabaki kula kwa macho