Achana nao wana wivu wa kimaskini hao hawashangai manabii kuoa watoto wadogo miaka kumi na mbili eti wanamshangaa mengi kuoa binti mrembo hiyo ndio kazi ya hela eboooo?Mkeo akichepuka na wewe una hela unafanyaje mkuu.
Huyu K-Lily ni mke halali wa Mengi, wamefunga ndoa kabisa sio mchepuko
Mpe ndumku uone kama hataomba majiHivi huyu dada anafikishwa kileleni na hicho kibabu? Au kuna kaserengeti boyz kanamsaidia babu?
marhaba haujambo mwanadamuShikamoo pesa
Hahahahahaha wanasugua nini??Vibabu vyenye hela viko vzuri hasa wanajali vijana pasua kichwa hafu wabahili wakitaka mechi wanasugua huku hawatoi kitu. Bora klyn na babu yake
Nenda wewe ili umfikishe... Hako kademu kako kenyewe unachapiwaHivi huyu dada anafikishwa kileleni na hicho kibabu? Au kuna kaserengeti boyz kanamsaidia babu?
Ya kwako mbona hatusemi, kale kabinti ka_form two unako kapa hongo ya viepe mayai, acha wivu.....Kama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela
Mpe wako halafu utuletee majibu!Mpe ndumku uone kama hataomba maji
Njoo ukaone ninavyo kasulubuNenda wewe ili umfikishe... Hako kademu kako kenyewe unachapiwa
Wewe si ndio ulikua unalalamika hawezi? Sasa nimekwambie akuonyeshe kwamba anawezaMpe wako halafu utuletee majibu!
Wewe si unabisha nenda kajaribu utuletee majibu!Wewe si ndio ulikua unalalamika hawezi? Sasa nimekwambie akuonyeshe kwamba anaweza
Acha wivu mwache mzee ajilie vyake tafuta hela mtoto wa kiumeWewe si unabisha nenda kajaribu utuletee majibu!
Wivu kwa kidemu kilichokondeana kama sikeletoni. Hizo shepu sio zeeetu, sisi mzigo buana ndo inatutoa udeleleAcha wivu mwache mzee ajilie vyake tafuta hela mtoto wa kiume
Wewe unaonekana ni mwanaume wa darWivu kwa kidemu kilichokondeana kama sikeletoni. Hizo shepu sio zeeetu, sisi mzigo buana ndo inatutoa udelele
Naye ana kaserengeti boy kake, so tit for tat. Mzee naona anakunywa maji mengi kama Ray, kanawiri kipara.huyu mzeee nlikua namkubali biznes zake ila kija kuzaaa na k lyni ni kama mwanae kajiharibia hrshima halafu wakazaaa kabisa?? aibu hata hawaoni? kwan yule mama mengi halisi yuko wapi? kwel dunia ina meng
Kaka raha ya nyumba choo!Wewe unaonekana ni mwanaume wa dar
Hahahaaa sawa nduguKaka raha ya nyumba choo!
Ng'ombe hazeeki maini banakweli mapenzi hayana adabu huyo babu kajichukulia kijikuu chake alafu watu wana shangilia