Mzee Mengi na Jacqueline maisha ni motomoto,wakubwa wanafaidi

Kama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela
Ya kwako mbona hatusemi, kale kabinti ka_form two unako kapa hongo ya viepe mayai, acha wivu.....
 
huyu mzeee nlikua namkubali biznes zake ila kija kuzaaa na k lyni ni kama mwanae kajiharibia hrshima halafu wakazaaa kabisa?? aibu hata hawaoni? kwan yule mama mengi halisi yuko wapi? kwel dunia ina meng
Naye ana kaserengeti boy kake, so tit for tat. Mzee naona anakunywa maji mengi kama Ray, kanawiri kipara.
 
Acheni wivu jamani to be honest me hata nikiwa na umri kama wa Mengi sina mke na ninapesa naona tu kabinti kazuri kama K lyne

Tatizo moyo jamani, kuna msemo usemao, nafsi haizeeki ila mwili ndio wazeeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…