Swadaktaaaa!!! Hivi hivi ndio nilikuwa navisaka!!![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Miaka 38 kwa miaka 60 na kitu ni mtoto,anazidiwa zaidi ya miaka 20,utajisikiaje pale utakapomkuta mwanao mwenye umri wa miaka 20 akiwa anamdate mbaba wa miaka 45?tena awe broke?Jacqueline Ntuyabaliwe or otherwise
known as Klyinn was born on 6
December 1978"
source: Wikipedia
kama ni kweli sidhani kama kuna utoto hapo
Ha ha ha ha ha nenda tu baba, ukimaliza huko gym peleka cv yako MAISHA CLUBUmesababisha nisitishe ghafla kwenda gmy
Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku nzima.
...
Pesa bado inaplay part yake..... Hizo habari kama ni kweli pesa ya kubadili damu ipo, kupata dawa nzuri ipo angekua hana hela na hizo habari ni za kweli angeshajipaukia siku nyingi
umeanza wewe ,habari za vitambi zikija hapa unapayuka mpaka mtaa watatu wanakusikia saivi umehamia six pack..!!kwahiyo huwa mnataka nini kati ya pesa na dushelele a.k.a mapenziSasa nyie wanaume endeleeni kutafuta six packs mkawe mabaunsa wa kwenye clubs
Ulivoniijia kwa hasira lazma utakua kijana flani amazing mwenye six packs zako....umeanza wewe ,habari za vitambi zikija hapa unapayuka mpaka mtaa watatu wanakusikia saivi umehamia six pack..!!kwahiyo huwa mnataka nini kati ya pesa na dushelele a.k.a mapenzi
Inaonyesha wewe hujui maisha. Kijana gani anaweza hizo miziki ya Jackline? Life starts at 40 my friend.Kama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela
Unaitwa mzee na babu yako...Na kama babu bado mabinti nyie mtamuita baby au honey kweli ukubwa wa pesa raha.Ukubwa wa pesa raha sana
Kikosi cha zimamoto kiliwahi kikauzima moto kwa hiyo mzee yuko salama.Hivi si kuna habari zilivuma kuwa huyu Mzee ameungua?
πππππ³π‘π ningekuwa karibu ningekupiga mtama wewe..!!!huja jibu swali langu kwanzaUlivoniijia kwa hasira lazma utakua kijana flani amazing mwenye six packs zako....
Money is what money does
Ukinipiga mtama, naamka afu nakupiga mateke mfululizo, mateke yasiyo na idadi.... ππππππ³π‘π ningekuwa karibu ningekupiga mtama wewe..!!!huja jibu swali langu kwanza
Sio kushangilia Mkuu,huyu mzee kaweka bayana kila kitu kuhusu K-lyin , jiulize wapo wazee wangapi wanakula hawa wadogo zetu kimya kimya?kweli mapenzi hayana adabu huyo babu kajichukulia kijikuu chake alafu watu wana shangilia
Mie hadi nimelamba ndimu sio kwa udenda huu hakiSasa hapo baadhi ya wanawake mabinti wakiona hivyo udenda unawatokaje?
Yupo anasali Azania Front ELCT kuna wakati alikuwa mzee wa kanisa. Yuko beautiful kinoma na mama wa Pamba Kali!Hivi mama Mengi original yupo wapi?