mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,649
Acha kabisa na pesa wweeee,Hivi wakati Mzee akimvua nguo akabakia mtupu wa nyama hako kabinti kanaweza kuukodolea macho 'mtulinga' wa huyo babu? Sipati picha!
Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe. katika njia zako mkiri yeye nae atayanyoosha mapito yakoMie hadi nimelamba ndimu sio kwa udenda huu haki
Umenena kweli kabisa,vijana wengi ni wabahili lakini wanapenda vitu vizuri,wakiombwa hela kidogo tu maneno kibao yanawatoka,wanaanza kumwita huyo mwanamke ni mpenda pesa, kumbe wapi ni ubahili na uchovu wao tu,vijana msione vinaelea vimeundwa,Tafuteni pesa vijana vizuri ni vingi vinawasubiri.
Duhh! Ama kweli mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzioAcha kabisa na pesa wweeee,
Tena unakuta ndo kanaugida kwenye mdomo na kujipigisha mswaki hadi babu anakojoa
Amina mtumishi......Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe. katika njia zako mkiri yeye nae atayanyoosha mapito yako
Ha ha ha ha ha nenda tu baba, ukimaliza huko gym peleka cv yako MAISHA CLUB
Wada wa mjini wanadai mzee ni very romantic.
nilisikia tetesi kuwa waliachana, huyo mama alimuwekea mzee sumu kwenye chakula lakini Mungu mkubwa hausigeli akamstua mzee alipotaka kupakua chakula, ikabidi mzee atoke akatafuta wakemia kikapimwa na kikakutwa kweli kilikuwa na sumu. nasikia huyo hausegeli mzee alimjengea Kinondoni kama ahsante ya kumuokoa (NI TETESI naomba saiba kraimu loo isinihusu)Hivi mama Mengi original yupo wapi?
Nenda bana usiache, nenda kajenge six packs tehDuh nimejikuta nacheka huku nasitisha utaratibu wa kwenda GYM
MNHHHH..KWA UMRI WA KYLN..SIONI MTOTO HAPO...GARI BOVU LINAVUTWA NA GARI ZEEZEE KIDOGO...Miaka 38 kwa miaka 60 na kitu ni mtoto,anazidiwa zaidi ya miaka 20,utajisikiaje pale utakapomkuta mwanao mwenye umri wa miaka 20 akiwa anamdate mbaba wa miaka 45?tena awe broke?
We tafuta pesa utakula papuchi unayotakaUnaitwa mzee na babu yako...Na kama babu bado mabinti nyie mtamuita baby au honey kweli ukubwa wa pesa raha.
Inawezekana lisemwalo liponilisikia tetesi kuwa waliachana, huyo mama alimuwekea mzee sumu kwenye chakula lakini Mungu mkubwa hausigeli akamstua mzee alipotaka kupakua chakula, ikabidi mzee atoke akatafuta wakemia kikapimwa na kikakutwa kweli kilikuwa na sumu. nasikia huyo hausegeli mzee alimjengea Kinondoni kama ahsante ya kumuokoa (NI TETESI naomba saiba kraimu loo isinihusu)
NA WEWE UNASEMAJE KUHUSU MZEE...?...JE NI MMOJA WAPO KATI YA HAO WADADA WA MUJINI?
Hivi ingekuwa jimama kajichukulia kijana wangeshangilia pia????kweli mapenzi hayana adabu huyo babu kajichukulia kijikuu chake alafu watu wana shangilia