Sonia G
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 3,071
- 3,909
Hahaha sawa BossMarhaaba ujambo ww? Kwan watu wananitafuta sana? Nataka nawe uwe pesa il watu wakugombanie
Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha sawa BossMarhaaba ujambo ww? Kwan watu wananitafuta sana? Nataka nawe uwe pesa il watu wakugombanie
Mapenzi hayazeeki wewe....waache wale vyao.Kama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela
Habari za kuungua huyu mzee......wewe ndo umezivumisha, ukweli mzee ana faidi sana.Hivi si kuna habari zilivuma kuwa huyu Mzee ameungua?
Kama wasemavyo watu porihuyu mzeee nlikua namkubali biznes zake ila kija kuzaaa na k lyni ni kama mwanae kajiharibia hrshima halafu wakazaaa kabisa?? aibu hata hawaoni? kwan yule mama mengi halisi yuko wapi? kwel dunia ina meng
True mtoto ananata na biti,yule nanii.... alishindwaga.....hii midundo!!Umeona eeeh! Haya maisha haya! Ila binti nae kajua kutuliza akili. She is going with the flow....
Ndugu yangu tafuta vya kwako nawe utumbue na familia yako. Tuachane na mambo ya watu. Ningekupa tano kama ungetupa mwongozo wa jinsi ya kufikia hapo na si kusifia au kukashifu hivyo.Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku ...
Haina shida coz warembo wote ni FIRE EXTINGUISHERHivi si kuna habari zilivuma kuwa huyu Mzee ameungua?
Be carefulHivi si kuna habari zilivuma kuwa huyu Mzee ameungua?
Tatizo lipo kwako wewe, they are two adults and they are legally married na wanainjoy maisha yao tatizo liko wapiKwa akili yako huwezi kuona tatizo!
Mwisho wa mwaka
Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
Vizee vina chukua mademu zetuKama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela
Inavutia nini hapo couples gani babu na mjukuu duh!!Inavutia....!
Wewe unakula Kwa macho tu hapo.....!Inavutia nini hapo couples gani babu na mjukuu duh!!