Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Mkapa alikuwa sahihi, hapo singida wamekula harage ya wapi haooooooo?

Ungetulia kidogo na kuruhusu nafsi yako ikupe ukweli juu ya kosa la Mzee Mkapa ingefaa zaidi kuliko hizo hoja za "maharage" ambazo hazina tija kabisa. Too much of anything is good for nothing!!!.
 
Mbona mnapotosha maana halisi nyie watu' Mheshimiwa mkapa amesema' Nanukuu' Kuna watu wanajifanya leo hii wanataka kuwakomboa watanzania wakati watanzania walishakombolewatangu enzi za Tanu na Asp kutoka kwa wakoloni watu hao Wanaojifanya Wanataka Kuwakomboa Watanzania Ni WAPUMBAVU" Eti mnasema Mkapa kawatukana watanzania Acheni Uongo Tusi Lenu Lile Ukawa, Kwani nani asiyejua sera za ukawa ni kuwakomboa watanzania kutoka kwenye Umasikini' wkt wenyewe hata hawafanani na wanachokisema Nyuso zao wote zimejaa uchu wa madaraka kila mmoja, Hivi Niwaulize! Nyie mliotoka ccm' Hivi Kweli Mlikuwa Na Nia Hii Ya Kutukomboa Watanzania Na Kuleta Mabadiliko Toka Kitambo..? Au Idea Hii Imekuja Pale Tu Alipokatwa Jina Baba Yenu Lowasa..? Kama Toka Kitambo Basi Mngetoka Nae Mapema Wala Msingesubiri Ccm Imkate Jina, Na Kama Baada Ya Kukatwa Jina Basi Dhahiri Kwamba Nyinyi Mna Uchu Wa Madaraka Kama Sio Ubinafsi, Kwani Nyinyi Mbona Hamfiki Hata Theruthi Ya Wana Ccm Wote Na Wala Hamstahili Kuongozi Umma Wa Watanzania Wote.

punguani wa siasa wewe,neno ukombozi liko vyama vya upinzani kabla edo hajajiunga nao,kumbuka hata mtikila alitumia neno (SAA YA UKOMBOZI NI SASA) jinga kubwa wee
 
Ukawa hamna kanga na kofia ila pipo wanajaaaa adi sio vzr CCM tukutane october
 
Bila kujali itikadi za kisiasa, naomba kuwauliza wanajamvi na hasa wakongwe kama Pasco, Manyerere, Mwanadiwani na ZZK na wengine hivi huu ulofa tulionao umeletwa na awamu ipi? Ni ile ya ujamaa au ya ubinafsishaji?....karibu tujadili!!

ulofa kwa ya ulofa au kwa maana aliyomaanisha Mkapa jana?
 
mungu akubariki umeuweka mjadala kwenye msitari,ni vizuri hata jambo baya tukalitazama katika muono mzuri,na kwa maoni yangu mzee mkapa ana asilimia kubwa ya mchango wa 'upumbavu na ulofa' wetu.lakini pia ashukuru 'upumbavu' wetu kwa mtu alieiba nyumba za serikali,aliegawa kama karanga benki zetu,aliyeuza mashirika yetu kwa wageni,aliyekwapua pesa zetu kupitia epa,meremeta,deepgreen na madudu mengine yasiyo na hesabu,halafu asimame na kutuita 'wapumbavu na malofa' na akatoka 'salama'.kweli hajakosea sisi ni 'wapumbavu na malofa' mungu akupe akili ya kuendeleza mgodi wa kiwira.
Mkuu umeandika kwa uchungu hadi inasikitisha!!! sina comment, nakutakia uzima ufike tarehe 25 October.
 
Jamaa anaroho mbaya sana na hii nchi si ajabu akaingiza kwenye machafuko
 
Stupid gang of devils
This time we will know the truth about the the death of the father of our nation. Wait the game is begining!! ICC /hague
11880374_738551432923428_3510802968194476253_n.jpg

The answers
 
Msitafute sababu Mkapa hakutaja chama ila kama mmejigundua poleni sana. Halafu ukweli una uma
 
Siasa za kidemokrasia zilizojaa matusi na kejeli.
Magufuli may be the right person in the wrong room.
 
Stupid gang of devils
This time we will know the truth about the the death of the father of our nation. Wait the game is begining!! ICC /hague

mkapa kasema kweli. ukawa hawajajipanga ndo maana wanaokoteza okoteza watu wakuisaidia.

ukawa wakipewa nchi wataivuruga mtashangaa. kuendesha nchi kunahitaji kujipanga vyema. sio kukurupuka kama akina mamvi wafanyavyo.
 
Anataka wa tz makabwela wazidi kuwa makabwela . Huyo ni kiongozi kweli? Watoto wa makabwela wanasoma shule za kata watoto wao wanasoma academy, bado baba na mama kabwela haoni hili? Wakiumwa wao india makabwela mnyamala na dawa hakuna. Namkumbuka sana mwal yaani alikuwa kiongozi wa mabadiriko . Alileta elimu sawa kwa wote na alikazania sana healthy facilities na maendeleo ya watz kwa jumla yake. Sasa huyu asiyetaka ukombozi wa mtanzania katika mzunguko wa umasikini me shangaa kabisa!.lol!
 
Nawaza kama MKAPA aliwahi kuwa Rais wa Tanzania,amewaongoza miaka kumi wapubavu na malofa na kawaibia na leo bado wana CCM wanashadadia kuwa ni kiongozi bora.Najaribu kuwaza kuwa kipindi alipokuwa Rais alikuwa anaandikiwa Hotuba maana walimjua kuwa ni MPUMBAVU NA LOFA.
 
Mtakuwa na matatizo nyie enzi hizi si za chama kimoja . Tafakakli na chukua hatua ! Kauli hii ni ya zamani sana enzi za chma kushika hatamu .lol!
 
watu kama sumaye sijui motive yake ni nini. kama ni madaraka ya juu kabisa alikuwa nayo kwa miaka 10 akiwa msaididzi namba moja wa mkapa. kuhamia ukawa sijui anafikiri atapata nafasi gani ya juu zaidi ya kuwatumikia wananchi zaidi ya aaliyokuwa miaka ile 10

mwenzake anajulikana. motive ni kupiga zaidi hela na kulipa visasi
 
kwani kampeni za jana kulikuwa na tusi pale? alafu kichwa cha habari mbona hakijasadifu vizuri maudhui ya uzi wako?
 
Tatizo lako unavyotafsiri hilo neno ukombozi ndio maana huelewi na hutaelewa sababu ya mtindio wa ubongo wako.Ukombozi ni KUKUTOA katika hali fulani na kuona mabadiliko katika maisha na kifikra. Ukienda hospitali unapewa godoro na kulala chini kwenye sakafu na kaja mwingine kukupatia kitanda huyo aliekupa kitanda ni mkombozi wako ,akitokea tu akakujengea bomba la maji ukapunguza kutembea nusu kilometa huyo ni mkombozi wako. Kuna mifano lukuki kuhusu ukombozi kwahiyo usifikiri kushika bunduki na kuanza kupigana ndio kujikomboa peke yake
 
Tusingetegemea kutokea hilo hasa kwa mzee kama mkapa (kioo kwa wa Tz)
Natumia Nafasi hii kuwaomba radhi wooooooooooote mliokwazika kwa lile.
 
Back
Top Bottom