Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm=chama cha mat $#.....maliziaKhaa!! Upi mkubwa zaidi ya huu mlionyesha??:A S shade:
Nusu ya watanzania wote wako upinzani!inakupa taswira ya kilichotokea kikaoni katika mchakato wa kupitisha majina matano cc........ni ubabe,ukosefu wa busara,jazba,hamaki na kila aina ya uzandiki......
Kila kona ya nchi watu wanajadili matusi aliyoyatoa jana kwenye kampeni, watu wana hasira naye wamesema hawataki kumwona muda wa kampeni na watajua namna ya kumwadhibu yeye na chama chake!
Hapa Mjini Singida kila kona Si kwenye dala dala, boda boda,baa,kawahawa hali si shwari wehuzunishwa sana na kauli za mzee huyo.
My take;
Mkapa amemuangusha Magufuli hivi hivi!Nasikitika kua amemponza mwenzake vibaya;
Kila kona ya nchi watu wanajadili matusi aliyoyatoa jana kwenye kampeni, watu wana hasira naye wamesema hawataki kumwona muda wa kampeni na watajua namna ya kumwadhibu yeye na chama chake!
Hapa Mjini Singida kila kona Si kwenye dala dala, boda boda,baa,kawahawa hali si shwari wehuzunishwa sana na kauli za mzee huyo.
My take;
Mkapa amemuangusha Magufuli hivi hivi!Nasikitika kua amemponza mwenzake vibaya;
Nisiisemee nafsi yangu mkuu! Kiukweli mtaani watu wana hasira.mawazo yako mwenyewe lakini wakati mwingine mnaudhi