Mbona mnapotosha maana halisi nyie watu' Mheshimiwa mkapa amesema' Nanukuu' Kuna watu wanajifanya leo hii wanataka kuwakomboa watanzania wakati watanzania walishakombolewatangu enzi za Tanu na Asp kutoka kwa wakoloni watu hao Wanaojifanya Wanataka Kuwakomboa Watanzania Ni WAPUMBAVU" Eti mnasema Mkapa kawatukana watanzania Acheni Uongo Tusi Lenu Lile Ukawa, Kwani nani asiyejua sera za ukawa ni kuwakomboa watanzania kutoka kwenye Umasikini' wkt wenyewe hata hawafanani na wanachokisema Nyuso zao wote zimejaa uchu wa madaraka kila mmoja, Hivi Niwaulize! Nyie mliotoka ccm' Hivi Kweli Mlikuwa Na Nia Hii Ya Kutukomboa Watanzania Na Kuleta Mabadiliko Toka Kitambo..? Au Idea Hii Imekuja Pale Tu Alipokatwa Jina Baba Yenu Lowasa..? Kama Toka Kitambo Basi Mngetoka Nae Mapema Wala Msingesubiri Ccm Imkate Jina, Na Kama Baada Ya Kukatwa Jina Basi Dhahiri Kwamba Nyinyi Mna Uchu Wa Madaraka Kama Sio Ubinafsi, Kwani Nyinyi Mbona Hamfiki Hata Theruthi Ya Wana Ccm Wote Na Wala Hamstahili Kuongozi Umma Wa Watanzania Wote.