wengi hawajui kuwa kuwa mpumbavu sio tusi, ni neno lenye maudhi tu, kama vile kuwa -----. saying that Mkapa hakutakiwa kulisema kwa ukali vile!dah, jamaa yule ukali hadi anazeeka nao.ndio maana waandishi uchwara wa bongo walikuwa wanamuogopa kuliko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu, huwa najiuliza kwa nini Raisi Mstaafu Mh. Benjameni William Mkapa (a.k.a Mr. Clean) huwa hatunukiwi ile tuzo ya MO inayowahusu Maraisi wastaafu na kusimamiwa na Ahmed Salimu? Labda ni kwa sababu ana Jazba sana au....
jana nimekumbuka katuni ya Lodi Lofa, hatari sana
Wakuu, huwa najiuliza kwa nini Raisi Mstaafu Mh. Benjameni William Mkapa (a.k.a Mr. Clean) huwa hatunukiwi ile tuzo ya MO inayowahusu Maraisi wastaafu na kusimamiwa na Ahmed Salimu? Labda ni kwa sababu ana Jazba sana au....