Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Aliangushwa na chisano kwasb yeye akiwa amiri jeshi aliamuru mauaji ya watz kule pemba 2001,pia ni fisadi
 
Tuwashikishe adabu tarehe 25 Oktoba, ili wajue kuwa hata mpumbavu ana haki ya kupiga kura na kukikataa chama cha yule mzee anayewatukana wananchi.
 
MAIGIZO KWENYE MAISHA YA WATU NI DHAMBI MBAYA NA AIMPENDEZI MUNGU.

Mkapa was one of the intellegent president ambae anauwezo mkubwa sana kiufahamu kuwaita SASA LOWASA NA SUMAYE WAPUMBAVU NA MALOFA.

HAKIKA mtu mwerevu akifikia kutumia TERMS za aina hiyo basi ujue kamdharau mhusika kupewa terms hizo yani hana tofauti na yule jamaa wa ile picha iliotoka jamaa anafanya maneno na ile kitambaa ya Ukawa.

Manake mtu kuitwa Mpambavu ni extreme ya wajinga kwa kuwa imemchukua Mzee Mkapa 10 years kumtrain Sumaye aka ZERO ...Lakini with all training on how to be a true Leader bado uziro umetamalaki.

Sasa ona mwingine nae watu wanasubilia utoe llani yenu watu wajue nini mtafanya anaingia kwenye madaladala kwenda kutafuta scrip ya uwezo wa akili yake ya kikomed.

Hata kina joti wanawakilisha ujumbe ..sasa kupanda daladala katika zama za kutoweza hata kupunga mkono leo toka miaka ya Pesa ya kukwapua kwa Baba na kununua Voku...ujapanda daladala leo hii kuja kusanifu maisha ya watu wa chini kama si kumchokoza Mungu si upunguani huo.

Haya kama wanazani maisha ya watu ufanyiwa majaribio msemo wa Mrisho...haya ngoja tuone wao na dhihaka kwa Muumba kupanda na kuenjoy usanii wa kinafiiki na kuwafanya Watanzania wajinga ni watu wa kudanganywa kama watoto wadogo.

Kila mtanzania angependa kuwa na Private Car yake ama usafiri wa umma ulio bora na kisasa usio na msongamano na hivyo mtanzania huyo kwa usafiri wa yeye na familia yake.kuwa wa kistaarabu na afya .

Lakini kwa kuwa MAFISADI wamekwapua na kusafisha cha umma kuwa chao ..sasa wanakufuru kwenda kuwananga kwa roho walio wakwapulia NASEMA MALIPO NI HAPA HAPA DUNIA.

WAO WAENDELEE KUMDHIHAKI MUNGU.
 
tatizo lenu ukawa hampendi kuambiwa ukweli na ukweli ndo huo

Usitetee matusi kiongozi,matusi sio hoja.Viongozi waandamizi kama Mkapa wakitukana halafu na sisi tukawapigia makofi kutakuwa na tatizo la group stupidity!
Usiwe mmoja wapo,"Toroka Uje,hata mimi nilikuwa huko"
 
Heshima yenu wanabodi!

Nimesikitishwa sana na kitendo cha Rais wa tatu wa Tanzania Mh.Benjamin Mkapa kuporomosha matusi jukwaani badala ya kujenga hoja!

Mkapa amekuwa mtu wa kupanic sana tangu alipokuwa Rais,aliwatukana waandishi wa habari wa Tanzania hadharani na kuwaita wasiofaa huku akiwakumbatia waandishi wa nje.

Wakati wa kampeni za ubunge jimbo la arumeru mashariki Mkapa pia aliporomosha matusi kwa wapinzani badala ya kujenga hoja matokeo yake Chadema ilishinda asubuhi na yeye kukimbilia uwanja wa ndege na kuondoka mapema sana asubuhi!

Mkapa amerudia kuporomosha matusi jana kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM na kuwaita watu malofa na wapumbavu! Hivi mh.Mkapa pamoja na kukaa ikulu miaka kumi anashindwa kujenga hoja kweli na anaamua kutumia matusi kama sehemu ya kampeni kweli?

Wapinzani fanyeni kampeni ya kistaarabu acheni kujibu matusi ya Mkapa,waelezeni watanzania mtawafanyia nini mkipewa ridhaa,wananchi wanataka maendeleo sio matusi!

Kila la heri UKAWA kila la heri Lowassa na maalimu Seif.

MAIGIZO KWENYE MAISHA YA WATU NI DHAMBI MBAYA NA AIMPENDEZI MUNGU.

Mkapa was one of the intellegent president ambae anauwezo mkubwa sana kiufahamu kuwaita SASA LOWASA NA SUMAYE WAPUMBAVU NA MALOFA.

HAKIKA mtu mwerevu akifikia kutumia TERMS za aina hiyo basi ujue kamdharau mhusika kupewa terms hizo yani hana tofauti na yule jamaa wa ile picha iliotoka jamaa anafanya maneno na ile kitambaa ya Ukawa.

Manake mtu kuitwa Mpambavu ni extreme ya wajinga kwa kuwa imemchukua Mzee Mkapa 10 years kumtrain Sumaye aka ZERO ...Lakini with all training on how to be a true Leader bado uziro umetamalaki.

Sasa ona mwingine nae watu wanasubilia utoe llani yenu watu wajue nini mtafanya anaingia kwenye madaladala kwenda kutafuta scrip ya uwezo wa akili yake ya kikomed.

Hata kina joti wanawakilisha ujumbe ..sasa kupanda daladala katika zama za kutoweza hata kupunga mkono leo toka miaka ya Pesa ya kukwapua kwa Baba na kununua Voku...ujapanda daladala leo hii kuja kusanifu maisha ya watu wa chini kama si kumchokoza Mungu si upunguani huo.

Haya kama wanazani maisha ya watu ufanyiwa majaribio msemo wa Mrisho...haya ngoja tuone wao na dhihaka kwa Muumba kupanda na kuenjoy usanii wa kinafiiki na kuwafanya Watanzania wajinga ni watu wa kudanganywa kama watoto wadogo.

Kila mtanzania angependa kuwa na Private Car yake ama usafiri wa umma ulio bora na kisasa usio na msongamano na hivyo mtanzania huyo kwa usafiri wa yeye na familia yake.kuwa wa kistaarabu na afya .

Lakini kwa kuwa MAFISADI wamekwapua na kusafisha cha umma kuwa chao ..sasa wanakufuru kwenda kuwananga kwa roho walio wakwapulia NASEMA MALIPO NI HAPA HAPA DUNIA.

WAO WAENDELEE KUMDHIHAKI MUNGU.
 
Nafikiri sisiemu wamefanikiwa ktk hili, naona wanaochambuliwa ma kushambuliwa ni wale ambao HAWAGOMBEI urais, ukawa wakija shtuka sisiemu wameshakata kona ya geti la ikulu.
 
Nani kakwambia Magufuli yuko Katavi anaomba kura?
Kazi kubwa aliyo nayo sasa hivi ni kuwaomba msamaha watanzania na kuwaomba wasikiangushe chama cha magamba kwa hasira. Au hukumsikia jana Jangwani akiwaomba Watanzania waache hasira?
 
Heeeee, Heeee ni tuna masikitiko makubwa kwa kauli ya MATUSI aliyotoa Mh. Rais mstaafu Ben Mkapa jana katika uzinduzi wa kampeni kwa chama tawala (CCM). Alisema wapinzani ni WAPUMBAVU na akarudia ni WAPUMBAVU SANA.

Sasa kwa masharti yaliyotolewa na tume ya uchaguzi ya kutotoa kauli za kuudhi wala kashfa huyu naye mbona alikiuka?

Mzee Mkapa iga mfano kwa Rais mstaafu mwenzio Mzee Mwinyi alivyotoa hotuba ya busara.

Kwa wadhifa wako hukupaswa kutukana kabisa, kwa hapo Mh umekididimiza chama.

Sasa sisi wananchi ni jukumu letu tarehe 25 Octoba,2015 kuondokana na watu wa chama kile kile miaka yoooote toka uhuru ambao hawana lugha nzuri kwa kizazi kijacho.


Jamaaaaaaniii eeeee akili kumkichwa, Oct, 25



MAIGIZO KWENYE MAISHA YA WATU NI DHAMBI MBAYA NA AIMPENDEZI MUNGU.

Mkapa was one of the intellegent president ambae anauwezo mkubwa sana kiufahamu kuwaita SASA LOWASA NA SUMAYE WAPUMBAVU NA MALOFA.

HAKIKA mtu mwerevu akifikia kutumia TERMS za aina hiyo basi ujue kamdharau mhusika kupewa terms hizo yani hana tofauti na yule jamaa wa ile picha iliotoka jamaa anafanya maneno na ile kitambaa ya Ukawa.

Manake mtu kuitwa Mpambavu ni extreme ya wajinga kwa kuwa imemchukua Mzee Mkapa 10 years kumtrain Sumaye aka ZERO ...Lakini with all training on how to be a true Leader bado uziro umetamalaki.

Sasa ona mwingine nae watu wanasubilia utoe llani yenu watu wajue nini mtafanya anaingia kwenye madaladala kwenda kutafuta scrip ya uwezo wa akili yake ya kikomed.

Hata kina joti wanawakilisha ujumbe ..sasa kupanda daladala katika zama za kutoweza hata kupunga mkono leo toka miaka ya Pesa ya kukwapua kwa Baba na kununua Voku...ujapanda daladala leo hii kuja kusanifu maisha ya watu wa chini kama si kumchokoza Mungu si upunguani huo.

Haya kama wanazani maisha ya watu ufanyiwa majaribio msemo wa Mrisho...haya ngoja tuone wao na dhihaka kwa Muumba kupanda na kuenjoy usanii wa kinafiiki na kuwafanya Watanzania wajinga ni watu wa kudanganywa kama watoto wadogo.

Kila mtanzania angependa kuwa na Private Car yake ama usafiri wa umma ulio bora na kisasa usio na msongamano na hivyo mtanzania huyo kwa usafiri wa yeye na familia yake.kuwa wa kistaarabu na afya .

Lakini kwa kuwa MAFISADI wamekwapua na kusafisha cha umma kuwa chao ..sasa wanakufuru kwenda kuwananga kwa roho walio wakwapulia NASEMA MALIPO NI HAPA HAPA DUNIA.

WAO WAENDELEE KUMDHIHAKI MUNGU.
 
Walimuomba awatukane, aliwatawala kwa ubabe hadi Leo wanamsifu, mtakula nyasi ndege ya rais inunuliwe. Hongera mkapa kwa matusi yako mzee.
 
Mkapa siyo intelligent mjinga Fulani tu nilimwomba nyumba yake ya Mtwara mjini aniuzie wala hakunijibu aliniangalia tu.
 
Ni ujinga kuishi kwa kukaririshwa. Huna akili ya kujiendesha na kupambanua mambo. Ndiyo maana umekariri neno "pumbavu as if ndiyo mara yako ya kwanza kulisikia. Wewe ni juha unayeishi kwa rimote.
 
2016 baada ya ile sheria ya marais kutoshtakiwa hata kama wameua au kuiba itakapo fanyiwa review ndio atakapo jua malofa na wapumbavu nao ni wakuheshimiwa
 
Sasa ni wazi kuwa UKAWA hamjielewi. Neno mpembavu limekuwa likitumiwa sana na wabunge wenu ndani ya bunge na nje ya bunge dhidi ya ccm na viongozi wa serikari lakini hamkuwahi kuliona kuwa tusi. Leo hii neno hilo hilo limetumiwa dhidi yenu mnapanic...ni kweli hakika nyie ni WAPUMBAVU hasa.
 
Back
Top Bottom