MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Lazima wawe wakali wamepanic, ukawa wakichukua nchi mali zao zote zitafilisiwa. Ccm ndiko walikotajirikia na wanalindana. Sasa wakiwa wapole si mtachukua nchi na kuwaweka kolokoloni.lol!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima yenu wanabodi!
Nimesikitishwa sana na kitendo cha Rais wa tatu wa Tanzania Mh.Benjamin Mkapa kuporomosha matusi jukwaani badala ya kujenga hoja!
Mkapa amekuwa mtu wa kupanic sana tangu alipokuwa Rais,aliwatukana waandishi wa habari wa Tanzania hadharani na kuwaita wasiofaa huku akiwakumbatia waandishi wa nje.
Wakati wa kampeni za ubunge jimbo la arumeru mashariki Mkapa pia aliporomosha matusi kwa wapinzani badala ya kujenga hoja matokeo yake Chadema ilishinda asubuhi na yeye kukimbilia uwanja wa ndege na kuondoka mapema sana asubuhi!
Mkapa amerudia kuporomosha matusi jana kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM na kuwaita watu malofa na wapumbavu! Hivi mh.Mkapa pamoja na kukaa ikulu miaka kumi anashindwa kujenga hoja kweli na anaamua kutumia matusi kama sehemu ya kampeni kweli?
Wapinzani fanyeni kampeni ya kistaarabu acheni kujibu matusi ya Mkapa,waelezeni watanzania mtawafanyia nini mkipewa ridhaa,wananchi wanataka maendeleo sio matusi!
Kila la heri UKAWA kila la heri Lowassa na maalimu Seif.
Stupid gang of devils
This time we will know the truth about the the death of the father of our nation. Wait the game is begining!! ICC /hague
Nilikuwa na mheshimu sana Mzee Mkapa na nashindwa kuelewa jana either ni nin alitumia kabla ya kupanda pale jukwani haikuwa akili yake...Na amearibu historia yake aliyokuwa amejijengea kwa wananchi .
viroba nomaaa
CCM walikuwa wanazindua matusi na fiester wala si ilani kama tulivyotegemea maana mimi sijasikia cha muhimu kutoka kwenye ilani