Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Lazima wawe wakali wamepanic, ukawa wakichukua nchi mali zao zote zitafilisiwa. Ccm ndiko walikotajirikia na wanalindana. Sasa wakiwa wapole si mtachukua nchi na kuwaweka kolokoloni.lol!
 
Kwa hiyo waliamua kuwalipa wasanii 40,kulipa PA,usafiri kwa malori na daladala pamoja na mafuta kwa magari ya waheshimiwa wapumbavu wenzetu,malazi kwa wageni,elfu 10,000,kofia na Tshirt kwa kila aliyehudhuria,Media kwa live coverage,allowance kwa waalikwa,mapambo ya jukwaa n.k kwa ajili ya kwenda Jangwani kuwaambia wapinzani kuwa ni WAPUMBAVU na LOFA?
 
:A S shade:
Heshima yenu wanabodi!

Nimesikitishwa sana na kitendo cha Rais wa tatu wa Tanzania Mh.Benjamin Mkapa kuporomosha matusi jukwaani badala ya kujenga hoja!

Mkapa amekuwa mtu wa kupanic sana tangu alipokuwa Rais,aliwatukana waandishi wa habari wa Tanzania hadharani na kuwaita wasiofaa huku akiwakumbatia waandishi wa nje.

Wakati wa kampeni za ubunge jimbo la arumeru mashariki Mkapa pia aliporomosha matusi kwa wapinzani badala ya kujenga hoja matokeo yake Chadema ilishinda asubuhi na yeye kukimbilia uwanja wa ndege na kuondoka mapema sana asubuhi!

Mkapa amerudia kuporomosha matusi jana kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM na kuwaita watu malofa na wapumbavu! Hivi mh.Mkapa pamoja na kukaa ikulu miaka kumi anashindwa kujenga hoja kweli na anaamua kutumia matusi kama sehemu ya kampeni kweli?

Wapinzani fanyeni kampeni ya kistaarabu acheni kujibu matusi ya Mkapa,waelezeni watanzania mtawafanyia nini mkipewa ridhaa,wananchi wanataka maendeleo sio matusi!

Kila la heri UKAWA kila la heri Lowassa na maalimu Seif.
 
Huyu mzee bado anaamini katika matusi na vitisho kama vikao vya maadili vimeshindwa kumrekebisha basi itabidi afungiwe kidhibiti matusi
 
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu...ufafanuzi huu hapa nyinyi wapumbavu!
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1440405083.619461.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1440405083.619461.jpg
    48 KB · Views: 649
Ukawa hamna kurudi nyuma jana uzinduzi wa mikowa mitatu dar pwani na morogoro. Jamaa alikuwa kalewa vitoba ndio akaporomosha matusi ya nguoni
 
Stupid gang of devils
This time we will know the truth about the the death of the father of our nation. Wait the game is begining!! ICC /hague

A shame to our leader!Tanzania leader ,African leaders and the poverty of Africa...Shame to Mkapa
 
Nilikuwa na mheshimu sana Mzee Mkapa na nashindwa kuelewa jana either ni nin alitumia kabla ya kupanda pale jukwani haikuwa akili yake...Na amearibu historia yake aliyokuwa amejijengea kwa wananchi .
 
Nilikuwa na mheshimu sana Mzee Mkapa na nashindwa kuelewa jana either ni nin alitumia kabla ya kupanda pale jukwani haikuwa akili yake...Na amearibu historia yake aliyokuwa amejijengea kwa wananchi .

Alifanya kazi bila kuchoka kutengeneza umaarufu,akauharibu ndani ya siku moja!
 
Ile ILANI ni maboresho kidogo ya kilichoandikwa 2010, utekelezaji hautokuwepo wakijitahidi sana watatekeleza 10% na kutuachia madeni mengine makubwa yasiyoendana na uwekezaji wake huduma za walipa kodi na hayo madeni
 
Yaani.hata mimi sikutegemea mzee mkapa kutamka matusi.ilitakiwa busara tu.mzee mwinyi anajimbua.kwakweli tangu jana kajishushia sana heshima yake.tena anajazba kabsaaa.aibu tupu
 
Wakuu, huwa najiuliza kwa nini Raisi Mstaafu Mh. Benjameni William Mkapa (a.k.a Mr. Clean) huwa hatunukiwi ile tuzo ya MO inayowahusu Maraisi wastaafu na kusimamiwa na Ahmed Salimu? Labda ni kwa sababu ana Jazba sana au....
 
CCM walikuwa wanazindua matusi na fiester wala si ilani kama tulivyotegemea maana mimi sijasikia cha muhimu kutoka kwenye ilani

Kweli mkuu,CCM wajipange upya,Ilani haijazinduliwa bado!
 
Back
Top Bottom