Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Ccm wao ndy kampeni zimejaa vijembe na viti sho,mara sijui goli la mkono mara sijui tu naitwa wapumb@v na malofa .....sijui kitafuata nini tena?
 
sijawahi kukoment kitu ila ukweli mkapa hapa umekula ukashiba sasa umeamua kukufuru umeamsha hata tuliofunga vinywa vyetu hakika cntatumia hizo kalamu zenu za kichina obama yatosha kuwaliza

Mkapa alikua sahihi kabisa.
 
wee ccm inapigwa kutokea ndani na kutokea nje mtu aache kupanic amekuwa jiwe jaman? Mwacheni tu achanganyikiwe, naye ni binadaam, ana hisia pia.

chama kinakufa anaona na la kufanya hana.

Poor old man, we are sorry for you but we cant assist.

hali ya mgonjwa ccm kwa sasa hairidhishi (kale kamsemo ketu ka nyakati zileeeeeee, mzee akiwa kule St naniiino kwa Mama malkia)
 
Kila kona ya nchi watu wanajadili matusi aliyoyatoa jana kwenye kampeni, watu wana hasira naye wamesema hawataki kumwona muda wa kampeni na watajua namna ya kumwadhibu yeye na chama chake!
Hapa Mjini Singida kila kona Si kwenye dala dala, boda boda,baa,kawahawa hali si shwari wehuzunishwa sana na kauli za mzee huyo.

My take;
Mkapa amemuangusha Magufuli hivi hivi!Nasikitika kua amemponza mwenzake vibaya;

Mkapa alikuwa sahihi, hapo singida wamekula harage ya wapi haooooooo?
 
Nusu ya watanzania wote wako upinzani!
Kwa tusi hilo amemponza sana Magufuli.Sasa vyombo Vingi vya habari vya ndani na nje ya nchi vinajadili tudi hilo"STUPID"
Una uhakika kuwa nusu ya watanzania wote wako upinzani? Tufanye UKAWA mpo milioni 7, je hii ni nusu ya watanzania milioni 45?
 
Hii ndio hasara ya kuwa-gerentii ulaji watu wenye akili ya kimaskini. Mkapa kabebwa sana hadi kavimbiwa. Hana staha wala ustaarabu. Ana asili ya dharau sana kwa binadamu wenzake anaoona wako chini yake kwa kila hali. Hapo ndipo kidogo utamheshimu JK kama mwanasiasa. Ilibidi Magufuli aseme atawatumikia watu wa vyama vyote bila kubagua. Hata kama unaona watu wengine hazitoshi, si busara kutanguliza kauli za aina hiyo tena kwenye uzinduzi wa kampeni katika uchaguzi wenye ushindani mkubwa.

Wacha wazidi kuwatukana watanzania hiyo ndiyo itakuwa silaha ya kuwatandika kwenye kampeni. Nilikuwa pia namsubiri makongoro nyerere aharibu kwa kuvua shati kama wangemruhusu kuendelea kuongea mngesikia porojo za mwaka.
 
mungu akubariki umeuweka mjadala kwenye msitari,ni vizuri hata jambo baya tukalitazama katika muono mzuri,na kwa maoni yangu mzee mkapa ana asilimia kubwa ya mchango wa 'upumbavu na ulofa' wetu.lakini pia ashukuru 'upumbavu' wetu kwa mtu alieiba nyumba za serikali,aliegawa kama karanga benki zetu,aliyeuza mashirika yetu kwa wageni,aliyekwapua pesa zetu kupitia epa,meremeta,deepgreen na madudu mengine yasiyo na hesabu,halafu asimame na kutuita 'wapumbavu na malofa' na akatoka 'salama'.kweli hajakosea sisi ni 'wapumbavu na malofa' mungu akupe akili ya kuendeleza mgodi wa kiwira.
 
Enyi wapumbavu na Malofa, jiandaeni kuhama nchi baada ya uchaguzi, vinginevyo, jela

Hakika naiona Tanzania mpya baada ya uchaguzi wa Oktoba. Tanzania ijayo itakuwa mahala pabaya sana kuishi kwa wapumbavu na malofa.

1. Kutakuwa na jela maalum kwa malofa na wapumbavu ambao siku zote wamekuwa wakituibia Watanzania. Mafisadi, majizi na mahujumu uchumi.

2. Tanzania ijayo itaweka usawa baina ya wananchi. Hiyo itawanyima fursa mafisadi ambao wamekuwa wakitumia umaskini wetu kujitajirisha.

3. Tanzania ijayo itakuwa ya viwanda. Wananchi wengi watakuwa busy na kazi hivyo itakuwa ngumu kwa wapumbavu na malofa kuwatumia Watanzania kama chambo kwenye maandamano.

4. Elimu itakuwa bure kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari. Yale mafisadi yaliyotuibia yakajenga mashule yao yakawa yanatoza ada kubwa sasa hali itakuwa mbaya. Heshima ya shule za serikali itarudi tena.

5. Enyi mafisadi, katika Tanzania ijayo, ili chama kiwe cha siasa lazima kiwe na sura ya kitaifa. Chama ambacho viongozi wake wakuu wanatoka kanda moja tu hakitapata nafasi ya kugombea

6. Enyi wauza unga, Tanzania ijayo viwanja vya ndege na bandari vitakuwa havipitiki. Biashara yenu itaingia kirusi na hivyo hakutakuwa na fedha za kufadhili mafisadi kwenda Ikulu.

7. Enyi malofa na wapumbavu, CCM kimezaliwa upya baada ya malofa, wapumbavu na wachawi kuhama chama. Waliobaki tunaserebuka na kucheza.

8. Enyi mafisadi na malofa, mmekuwa mkihujumu sana hospitali za serikali kwa kujenga mafoka kando ya hospitali hizo. Mmekuwa mkihamisha dawa za serikali na kuuza kwenye maduka binafsi. Tanzania ijayo hakutakuwa na mwanya huo. Heshima ya hospitali za serikali itarudi tena.
 
Una uhakika kuwa nusu ya watanzania wote wako upinzani? Tufanye UKAWA mpo milioni 7, je hii ni nusu ya watanzania milioni 45?
Udiropoke tu mkuu, unaelewa idadi wanachama wote wa CHADEMA, CUF,NCCR,NLD na vyama Vingine? Wasiokua na vyama idadi yao unaijua? Idadi ya under 18 ambao ni sawa na wajukuu wa Mkapa ambao wamemdharau unaijua?
 
Wacha wazidi kuwatukana watanzania hiyo ndiyo itakuwa silaha ya kuwatandika kwenye kampeni. Nilikuwa pia namsubiri makongoro nyerere aharibu kwa kuvua shati kama wangemruhusu kuendelea kuongea mngesikia porojo za mwaka.
sis tusijibu kwa matusi hata tone moja ila tutangaze sera na mipango kiutulivu kabisa kupitia legwanan.

Cha msingi pia tuendeleee kuwa-provoku kwa mafuriko zaidi na kuchukua oil chafu na makapi zaidi ili wazidi kupanik na wamwage matusi zaidi halafu tuwaachie watanzania waamue!!
 
Mkapa alikuwa sahihi, hapo singida wamekula harage ya wapi haooooooo?
Imefikia hawa wale vijana waliozaliwa wakati wa utawala wake wakapewa majina ya MKAPA wanayakana! Hawataki kabisa kusikia wanawalaumu wazazi wao.
 
mimi sikuamini ni yeye,,,tutamwadhibu October,,,
tume ya uchaguz na police mlikuwa hampoo
naomba tupige kura kwa hasira .
 
Back
Top Bottom