Mkapa alikuwa sahihi, hapo singida wamekula harage ya wapi haooooooo?
Mbona mnapotosha maana halisi nyie watu' Mheshimiwa mkapa amesema' Nanukuu' Kuna watu wanajifanya leo hii wanataka kuwakomboa watanzania wakati watanzania walishakombolewatangu enzi za Tanu na Asp kutoka kwa wakoloni watu hao Wanaojifanya Wanataka Kuwakomboa Watanzania Ni WAPUMBAVU" Eti mnasema Mkapa kawatukana watanzania Acheni Uongo Tusi Lenu Lile Ukawa, Kwani nani asiyejua sera za ukawa ni kuwakomboa watanzania kutoka kwenye Umasikini' wkt wenyewe hata hawafanani na wanachokisema Nyuso zao wote zimejaa uchu wa madaraka kila mmoja, Hivi Niwaulize! Nyie mliotoka ccm' Hivi Kweli Mlikuwa Na Nia Hii Ya Kutukomboa Watanzania Na Kuleta Mabadiliko Toka Kitambo..? Au Idea Hii Imekuja Pale Tu Alipokatwa Jina Baba Yenu Lowasa..? Kama Toka Kitambo Basi Mngetoka Nae Mapema Wala Msingesubiri Ccm Imkate Jina, Na Kama Baada Ya Kukatwa Jina Basi Dhahiri Kwamba Nyinyi Mna Uchu Wa Madaraka Kama Sio Ubinafsi, Kwani Nyinyi Mbona Hamfiki Hata Theruthi Ya Wana Ccm Wote Na Wala Hamstahili Kuongozi Umma Wa Watanzania Wote.
Bila kujali itikadi za kisiasa, naomba kuwauliza wanajamvi na hasa wakongwe kama Pasco, Manyerere, Mwanadiwani na ZZK na wengine hivi huu ulofa tulionao umeletwa na awamu ipi? Ni ile ya ujamaa au ya ubinafsishaji?....karibu tujadili!!
Mkuu umeandika kwa uchungu hadi inasikitisha!!! sina comment, nakutakia uzima ufike tarehe 25 October.mungu akubariki umeuweka mjadala kwenye msitari,ni vizuri hata jambo baya tukalitazama katika muono mzuri,na kwa maoni yangu mzee mkapa ana asilimia kubwa ya mchango wa 'upumbavu na ulofa' wetu.lakini pia ashukuru 'upumbavu' wetu kwa mtu alieiba nyumba za serikali,aliegawa kama karanga benki zetu,aliyeuza mashirika yetu kwa wageni,aliyekwapua pesa zetu kupitia epa,meremeta,deepgreen na madudu mengine yasiyo na hesabu,halafu asimame na kutuita 'wapumbavu na malofa' na akatoka 'salama'.kweli hajakosea sisi ni 'wapumbavu na malofa' mungu akupe akili ya kuendeleza mgodi wa kiwira.
Stupid gang of devils
This time we will know the truth about the the death of the father of our nation. Wait the game is begining!! ICC /hague
Stupid gang of devils
This time we will know the truth about the the death of the father of our nation. Wait the game is begining!! ICC /hague
Msitafute sababu Mkapa hakutaja chama ila kama mmejigundua poleni sana. Halafu ukweli una uma