Mzee Mkono akiagwa na Wasomi na Watu wa Kawaida Leaders Club tutaishukuru Familia yake

Mzee Mkono akiagwa na Wasomi na Watu wa Kawaida Leaders Club tutaishukuru Familia yake

Siku za nyuma ilikuwa ni wazi kabisa kuwa CCM kilikuwa ni chama cha mafisadi,wezi wa mali ya nchi hii.Orodha ya mafisadi iliyotolewa na aliyekuwa katibu mkuu wa CHADEMA na mwanasheria wa chama Dr Slaa na Tundu Lissu kwa mpangilio ilikoleza ufisadi wa CCM.
Mchakato wa uchaguzi mkuu ulimtoa mmoja wa waliotajwa kwenye orodha kutoka CCM na kwenda CHADEMA.Huo ulikuwa ni mwanzo wa debate,kwamba ni chama kipi cha mafisadi? Mpaka sasa makada wa CCM wanawaona CHADEMA kama mafisadi kwa uwepo wa huyo mtu na kujaribu kuhamisha magoli!!
Kuondoa mzizi wa fitina,lazima namba zitumike kwa kutumia ileile orodha ya aibu ya Dr.Slaa ambayo wanaCCM ndio wanaitumia zaidi kuwashambulia CHADEMA.
  • Gavana wa Benki Kuu (BoT), Marehemu, Dk. Daudi Balali (CCM)
  • Mbunge wa Bariadi, Andrew Chenge (CCM)
  • Basil Mramba aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Rombo (CCM) na Waziri
  • Gray Mgonja aliyekuwa Katibu Mkuu mstaafu, Hazina (CCM)
  • Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Patrick Rutabanzibwa(CCM)
  • Nazir Karamagi aliyewahi kuwa Mbunge(CCM)
  • Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM)
  • Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz (CCM)
  • Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CHADEMA)
  • Rais mstaafu, Benjamin Mkapa(CCM)
  • Rais wa Sasa, Jakaya Kikwete(CCM)
Kwenye orodha ya mafisadi 11 waliotajwa na Dr Slaa pale Mwembeyanga,kwa sasa CCM inao 9(+mareh.Balali!!) ilhali CHADEMA wanaye mmoja tu.Kama hii orodha ndio kigezo na kama kweli kila aliyetajwa alikuwa fisadi,ni wazi CCM bado wana kazi kubwa ya kuhusu ufisadi nchini.

mytake:Tumuunge mkono kila anayepiga vita ufisadi wakiongozwa kwa sasa na mh.JPM bila kuwabeza wapiga kelele kama Tundulisuu

Inapatikana: hapa CCM vs CHADEMA:Kipi ni chama cha mafisadi?

Inatokea:
Mmhhhh Magu hakua fisadi?!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmhhhh Magu hakua fisadi?!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi yangu kuu ilikuwa kuwakumbusha maandishi ya humu JF kuhusu Mkono na umalaika wake
 
Nashauri Uongozi wa JamiiForums uwe na Utaratibu wa Kupima Akili Members wake mara kwa mara kwani kuna Wengine kama huyu ( Wewe ) unaonyesha kabisa kuwa ama Umetoroka Wadi ya Vichaa Milembe Dodoma au Lutindi Tanga Mental Hospitals au leo umesahau Kunywa Kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili unaokusumbua.

Pumbavu.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume and Dr Matola PhD
Hili suala lianzie kwa uongozi wa JF, wanaruhusy dhihaka kama hizi za kudhalilisha watu waliokufa, ni utaratibu mbaya sana nilitegemea Maxence Melo achukue hatua kuanzia kwa dhihaka ya Dkt Magufuli ila wapi. Ila haya yana mwisho wake.
 
Huyo Mzee kama alikuwa msafi asiye na makandokando kiasi hicho mbona hamkujitokeza kumtetea nyie mliosomeshwa naye "aliposingiziwa" wizi na ufisadi na CHADEMA?

Miaka minane (8) ya list of shame mpo kimya hadi afe ndiyo muanze mapambio.
 
Hakuna fix, ni ukweli mtupu, labda ulikuwa mtoto, au unadhani Mzee Mkono alikuwa ni mchoyo wa kariba ya kina Mwigulu Nchemba?

Alifanya mengi mazuri zaidi ya hilo unaloona wewe ni fix, kwakuwa ulafi wa viongozi wa Ccm hawa, hakuna anayeweza kufanya hivyo sasa.
Asante kwa kunisaidia kujibu.
 
Fungeni uzi huu maana naamini marehemu huwa anasitiriwa ila kitendo cha kuonesha kuwa ufisadi ni ushujaa hili halikubaliki
Hakuna hata sehemu moja ulipoonesha ufisadi wa Nimrod Mkono zaidi ya kurukwa na akili tu.

Magufuli alianzisha mahakama ya mafisadi mpaka leo hakuna kesi hata moja, ndio huu upuuzi unaleta wewe.

Cc: Pascal Mayalla tunapowachafuwa watu tuweke na ushahidi, na siyo thread za mjadala au Dr Slaa kasema vile wakati Dr Slaa mwenyewe ni mgonjwa wa akili.
 
Mwizi kama Magufuli
Kama mtu akiwa mwizi ndio tunapata maendeleo vile.., sioni tatizo..., Ila wizi wa huyu jamaa na yule Chengge, kika siku nchi inalipishwa matrilioni kwenye mahakama za kimataifa, halafu wao wanakula 10%, mbwa kabisa. Halafu pesa zenyewe badala wazitumie nchini ili zirudi kwa watu wao, yenyewe yanaenda kujichimbia Marekani na pesa zote zinaenda huko...
 
Huyo Mzee kama alikuwa msafi asiye na makandokando kiasi hicho mbona hamkujitokeza kumtetea nyie mliosomeshwa naye "aliposingiziwa" wizi na ufisadi na CHADEMA?

Miaka minane (8) ya list of shame mpo kimya hadi afe ndiyo muanze mapambio.
Mwenyewe alikuwa hai, alipuuza na hakuna hatua zozote alizochukuliwa dhidi yake.

Hata waliopelekwa mahakamani kwa ufisadi kama Ruge Malila DPP ameshindwa kuthibitisha tuhuma zao, sasa unaanzaje kumvaa Wakili bingwa kama Mkono kwa tuhuma zisizo na ushahidi wa kisheria zaidi ya roho mbaya za watu maskini?

Unadhani Ruge angekuwa ndio Mkono leo si angeifirisi nchi kwa fidia ambayo angedai ya kumuweka ndani bila ushahidi?
 
Nashauri Uongozi wa JamiiForums uwe na Utaratibu wa Kupima Akili Members wake mara kwa mara kwani kuna Wengine kama huyu ( Wewe ) unaonyesha kabisa kuwa ama Umetoroka Wadi ya Vichaa Milembe Dodoma au Lutindi Tanga Mental Hospitals au leo umesahau Kunywa Kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili unaokusumbua.

Pumbavu.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume and Dr Matola PhD
Jibu hoja hiyo. Wezi kama akina Chengge wanapaswa kutupwa shimoni na kufukiwa tu, hakuna kuaga, suggest otherwise, na utoe sababu
 
Mkono mbunge pekee ambae alikua hatoi ahadi yeye anauliza wananchi mnataka nini? Anatekeleza hapohapo mbunge pekee wa kwanza kuwajengea wananchi wake shule za kisasa zenye madirisha ya alminium bila kusubiri serikali nchi hii ingepata wabunge aina ya mkono ingekua mbali sana
 
Lijambazi la Chato halikufukiwa kama mzoga ndio sembuse mwanamwema Nimrod Mkono? Wacha ujinga.
Nimemjibu mwenzio hapo juu, kama wizi ndio unakuwa vile watu wanapata maendeleo kiasi kile, mi ningeomba wizi uendelee. Ila wizi wa huyu jamaa na mwenzake Chennge kila siku wanakula dili kwenye mahakama za kimataifa , wanauza kesi tulipishwe matrillioni, uliza Tanesco walichofanyiwa na huyo mbwa, this country almost went bankrupt because of these greedy bastard, leo mnaleta unafiki hapa! Fukia mzoga huo, hakuna kuaga
 
Nimemjibu mwenzio hapo juu, kama wizi ndio unakuwa vile watu wanapata maendeleo kiasi kile, mi ningeomba wizi uendelee. Ila wizi wa huyu jamaa na mwenzake Chennge kila siku wanakula dili kwenye mahakama za kimataifa , wanauza kesi tulipishwe matrillioni, uliza Tanesco walichofanyiwa na huyo mbwa, this country almost went bankrupt because of these greedy bastard, leo mnaleta unafiki hapa! Fukia mzoga huo, hakuna kuaga
Mzoga wa Chato funza wapo holiday wanajifaidia tu.
 
Mkono mbunge pekee ambae alikua hatoi ahadi yeye anauliza wananchi mnataka nini? Anatekeleza hapohapo mbunge pekee wa kwanza kuwajengea wananchi wake shule za kisasa zenye madirisha ya alminium bila kusubiri serikali nchi hii ingepata wabunge aina ya mkono ingekua mbali sana
Unajenga shule 1 wakati umeingiza nchi mkenge kwenye kesi ambayo fidia tunayolipa ingeweze kujenga shule laki 5?! Halafu lenyewe linakuka 10% , majitu ya hivi ni kuyananga mwanzo mwisho..,
 
Popoma umekuja kumlilia mjomba wako. Huyu Mkono amerudisha nyuma maendeleo ya jimbo la Musoma Vijijini kwa kujikosha kujenga shule mbili huku akiwa kimya kuwasemea wananchi.

Miaka yote ya ubunge wake hakuwahi kuwa na hoja yoyote ya maana bungeni wala kuwawakilisha wananchi wa jimbo lake zaidi ubunge wake aliutumia km njia ya kujilinda kisiasa. Kiufupi Mkono alikuwa tapeli wa kisiasa aliwatapeli wananchi wa Musoma Vijijini na Butiama
 
Nakumbuka kipindi kile wakati nasoma, bodi ya mikopo ikachelewesha kutuwekea bumu, tukaandamana hadi loan board kipindi hicho msasani. Tukishinikiza bodi ituwezeshe, kipindi hicho Nimrod alikuwa mlezi wa bodi.
Basi bwana alitoa pesa zake binafsi kuipatia bodi tukapata bumu.
Bila wewe kujua kwamba dili alizopiga mahakama za kimataifa ndio zikasababisha seriakli ikalipe fidia kiasi cha kukosa pesa ya kuwapa bodi, halafu yeye anakula 10% na kurudisha kidogo kwenu akijidai anatoa pesa yake.., yaani ukikosa akili lia sana...
 
Back
Top Bottom