Mzee mmoja aliwahi kuniambia Wajerumani ni wachawi Watanzania hatuoni ndani. Je, yana ukweli wowote?

Mzee mmoja aliwahi kuniambia Wajerumani ni wachawi Watanzania hatuoni ndani. Je, yana ukweli wowote?

Usilinganishe uchawi wa kipumbavu wa mswahili na uchawi wa kiakili
 
Story za kufikilika tu, uchawi ni Artificial intelligence, Internet of things IOT, Information technology, integrated circuits, Microelectronics, PLCs, cyber space, nk,
Mzungu Hana Mambo ya manyaunyau au kupaa na ungo!
Bombardier, dream liner, space X, RAM, google, Apple, ebu elezea machawi kama ya kisfrika yapo wapi hapo!
Vyote hivi wameunda kwa kuiga sayansi za wachawi.
 
Aiseee..

Nasikia hata kwenye machimbo ya sasa ya GGM kule Geita napo walizindika, miaka ya baadae kdg kabla ya ggm ya sasa kuanza kuna watu walijidai kichwa ngumu wakaenda kuforce kuchimba ila yakatokea mafuriko makali balaa, ni kama walipasua mwamba wa maji.

Nasikia hadi leo hio sehemu ipo underground imewekewa na geti, sijui kama ni kweli au la
Yaan story za kusadikika unaleta hapa jf,alafu unasema hujui kama ni kweli au uongo??
 
Wakati ninasoma shule ya msingi miaka hiyo, kulikuwa na mzee kama huyo uliyemsimulia, akijulikana kwa jina la utani tu la NYAU, lilizoeleka kwakuwa alikichukia, akiishj maisha ya upweke kwenye kibanda kidogo pembeni ya shule, mpaka miaka hiyo ya 90 mwanzoni, alikuwa bado akivaa mavazi ya kijeshi ya wakati wa vita hivyo pamoja na medali zake zote wakati wote . Naye pia alipigana vita vya pili vya dunia.
Ninachojutia sasa ni kwamba, badala ya kichota habari na kumbukumbu alizokuwa nazo, mimi pamoja na wenzangu tulijikita katika kumtania zaidi, shame.
 
Back
Top Bottom