Dini yao kuacha elimu sana nyuma inafanya wanakosa nyazfa nyingi serikalini hasa kipindi hiko cha nyuma. Mwisho wanakuja kulalamikaLililokuuma "dini yao" au wazee waliosahauliwa kwenye historia ya kivukoni na kuja kukumbukwa na Allama@Mohamed Said?
Kumbe tatizo lako ni "dini yao" na siyo wao! Ni heri umejisemea ukweli wako.Dini yao kuacha elimu sana nyuma inafanya wanakosa nyazfa nyingi serikalini hasa kipindi hiko cha nyuma. Mwisho wanakuja kulalamika
It doesn't matter bibie. Hata sie tuna madini kubao ila hatunufaiki nayo kwa ujimga wetuLabda huelewi kiwa elimu yote na ustaarabu ulio nao umetokana na dini yao.
Unafahamu kuwa hata hizo "alphabets" unazotumia leo hii kuandikia nazo pia ni "Alif Bee Tee"?
Kumbe tatizo lako ni "dini yao" na siyo wao! Ni heri umejisemea ukweli wako.It doesn't matter bibie. Hata sie tuna madini kubao ila hatunufaiki nayo kwa ujimga wetu
Mimi sina shida na dini yao. Ila ni vile ambavyo dini yao inawafanya wasifuatilie elimu ya upande wa pili kiuhakika afu wanabaki kuona wanaonewaKumbe tatizo lako ni "dini yao" na siyo wao! Ni heri umejisemea ukweli wako.
Sasa kuna ubaya upi Allama Mohamed Said akiwakumbuka kwa michango yao katika harakati za kutafuta Uhuru?
Ooh na wewe ndiyo umekuja kuwatatulia tatizo la "dini yao"?Mimi sina shida na dini yao. Ila ni vile ambavyo dini yao inawafanya wasifuatilie elimu ya upande wa pili kiuhakika afu wanabaki kuona wanaonewa
Nimeyaeleza kwenye post ya kwanzaOoh na wewe ndiyo umekuja kuwatatulia tatizo la "dini yao"?
Bado hujajibu swali, kuna ubaya upi Allama Mohamed Said akiwakumbuka kwa michango yao katika harakati za kutafuta Uhuru?
Post ya kwanza haijaeleza ubaya wa Allama Mohamed Said kuwakumbuka wazee wake waliosahauliwa kwenye historia ya kivukoni kama papo panukuu.Nimeyaeleza kwenye post ya kwanza
Hakuna mahali nimemkosea heshima huyu Mzee, au ni hilo neno "Mwenzako" linaleta ukakasi niliondoe?May Day,
Nitakuomba tu heshima kwa huyu mzee.
Huyu Bilal Rehani Waikela ni baba yangu kwa hiyo unapomzungumza na huu ni mjadala tu nakusihi chunga ulimi wako umtaje kwa heshima.
Nimetoa kwenye maandiko tofautitofauti ya Mzee Said, na nilichofanya hapo ni mjumuisho tu kwa hiyo siwezi kuweka kama nukuu rasmi.Unasema maandiko ya Mzee Allama Mohamed Said lakini huweki nukuu hata moja ya hayo maandiko.
Naona umeleta yako unaswma ya @Allama Mohamed Said.
Tuwekee nukuu zake kama ushahidi zilizokufanya uandike hayo. Simpo.
Kwa hiyo hayo uliyoyaandika ni yako na hauna nukuuu hata moja ya kumshutumu Allama Mohamed Said. Au sivyo ulivyomaanisha?Nimetoa kwenye maandiko tofautitofauti ya Mzee Said, na nilichofanya hapo ni mjumuisho tu kwa hiyo siwezi kuweka kama nukuu rasmi.
Ndio, ni ya kwangu kama nilivyoyasoma kwenye maandiko ya Mzee Said.Kwa hiiyo hayo uuuliiiyooandika ni yako na hauna nukuuu hata moja ya kumshutumu Allama Mohamed Said. Au sivyo ulivyomaanisha?
May Day,Hakuna mahali nimemkosea heshima huyu Mzee, au ni hilo neno "Mwenzako" linaleta ukakasi niliondoe?
Ila pointi ya msingi umemsikia alichosema kuhusu UNO?.
Ok, naondoa hilo neno.May Day,
Hebu fikiri mimi nikuambie jambo inalomuhusu baba yako na nikamtaja baba yako kama mwenzako.
Wewe unaonaje?
Lubuzo,Wewe una baba wangapi?
May Day,Ok, naondoa hilo neno.
May Day,Nimetoa kwenye maandiko tofautitofauti ya Mzee Said, na nilichofanya hapo ni mjumuisho tu kwa hiyo siwezi kuweka kama nukuu rasmi.
Ndio, ni ya kwangu kama nilivyoyasoma kwenye maandiko ya Mzee Said.