Mzee mwanakijiji na Humphrey Polepole mbona mpo kimya kuhusu ufisadi wa Lugumi!!?

Mzee mwanakijiji na Humphrey Polepole mbona mpo kimya kuhusu ufisadi wa Lugumi!!?

magode

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2014
Posts
2,204
Reaction score
3,336
Wanajamvi
Salaam;

Kwa sasa habari kubwa kwenye vyombo vya habari vyote,ni kuhusu ufisadi wa kutisha unaohusisha jeshi la police na baadhi ya viongozi akiwemo waziri wa mambo ya ndani Charles kitwanga na kampuni yake ya INFOSY.

Hawa jamaa niliowataja hapo juu,tangu wakati wa kampeni walijipambanua km wapinga ufisadi wa kweli na waliunga mkono mabadiliko waliyoyaita ya kweli na kuyaacha yale waliyoyaita mabadiliko ya kuzungusha mikono.

Nasikitika tangu kashifa hii ishike kasi,sijawaona kabisa hawa jamaa popote pale wakiongelea hili. Najua wote ni ma-member hapa tena wanaoheshimika,hebu wajitokeze tusikie kauli yao juu ya hili sakata. Bado nafasi za kuteuliwa zipo wasife moyo.
Mzee mwanakijiji nafasi ya msemaji wa ikulu bado inakaimiwa na Gerson msigwa na Bw. Polepole nafasi za ukuu wa wilaya na ubunge wa kuteuliwa bado zipo. Maoni yenu yanaweza kumshawishi mkuu akawaangalia mmempigania sana!

Nawasilisha.
 
Kuzungusha mikono kuweza kuwa instantaneous lakini kutafakari kunahitaji muda.
Facts zitakusanywa ili mtu akifungua mdomo wake atoe hoja zenye mantiki. At some point watakuja tu.
Kwa hiyo tuendelee kuvuta subira si ndicho unachomaanisha mkuu??
 
Kwa hiyo tuendelee kuvuta subira si ndicho unachomaanisha mkuu??
Kabisa. Kuna habari huletwa humu kwa mihemuko mikubwa sana. Yahitaji subira na takwimu ili kuchangia la maana.
 
Wanajamvi
Salaam;

Kwa sasa habari kubwa kwenye vyombo vya habari vyote,ni kuhusu ufisadi wa kutisha unaohusisha jeshi la police na baadhi ya viongozi akiwemo waziri wa mambo ya ndani Charles kitwanga na kampuni yake ya INFOSY.

Hawa jamaa niliowataja hapo juu,tangu wakati wa kampeni walijipambanua km wapinga ufisadi wa kweli na waliunga mkono mabadiliko waliyoyaita ya kweli na kuyaacha yale waliyoyaita mabadiliko ya kuzungusha mikono.

Nasikitika tangu kashifa hii ishike kasi,sijawaona kabisa hawa jamaa popote pale wakiongelea hili. Najua wote ni ma-member hapa tena wanaoheshimika,hebu wajitokeze tusikie kauli yao juu ya hili sakata. Bado nafasi za kuteuliwa zipo wasife moyo.
Mzee mwanakijiji nafasi ya msemaji wa ikulu bado inakaimiwa na Gerson msigwa na Bw. Polepole nafasi za ukuu wa wilaya na ubunge wa kuteuliwa bado zipo. Maoni yenu yanaweza kumshawishi mkuu akawaangalia mmempigania sana!

Nawasilisha.
Huu unao itwa ufisadi wa Lugumi umethibitishwa na nani?
 
Wanajamvi
Salaam;

Kwa sasa habari kubwa kwenye vyombo vya habari vyote,ni kuhusu ufisadi wa kutisha unaohusisha jeshi la police na baadhi ya viongozi akiwemo waziri wa mambo ya ndani Charles kitwanga na kampuni yake ya INFOSY.

Hawa jamaa niliowataja hapo juu,tangu wakati wa kampeni walijipambanua km wapinga ufisadi wa kweli na waliunga mkono mabadiliko waliyoyaita ya kweli na kuyaacha yale waliyoyaita mabadiliko ya kuzungusha mikono.

Nasikitika tangu kashifa hii ishike kasi,sijawaona kabisa hawa jamaa popote pale wakiongelea hili. Najua wote ni ma-member hapa tena wanaoheshimika,hebu wajitokeze tusikie kauli yao juu ya hili sakata. Bado nafasi za kuteuliwa zipo wasife moyo.
Mzee mwanakijiji nafasi ya msemaji wa ikulu bado inakaimiwa na Gerson msigwa na Bw. Polepole nafasi za ukuu wa wilaya na ubunge wa kuteuliwa bado zipo. Maoni yenu yanaweza kumshawishi mkuu akawaangalia mmempigania sana!

Nawasilisha.
njaa haina baunsa mjomba .
 
Kwani Ukishajua baadhi yetu misimamo yetu basi huwezi kiwa na shaka tuko upande gani. Hatuko kama wale wanaochukua misimamo kwa kuangalia maslahi ya kisiasa. Hatuna mashaka juu ya uwezo wa Magufuli kumtumbua yeyote inapobidi. Sisi siyo wahamisha magoli.
 
Kuzungusha mikono kuweza kuwa instantaneous lakini kutafakari kunahitaji muda.
Facts zitakusanywa ili mtu akifungua mdomo wake atoe hoja zenye mantiki. At some point watakuja tu.
I like you
 
Kwani Ukishajua baadhi yetu misimamo yetu basi huwezi kiwa na shaka tuko upande gani. Hatuko kama wale wanaochukua misimamo kwa kuangalia maslahi ya kisiasa. Hatuna mashaka juu ya uwezo wa Magufuli kumtumbua yeyote inapobidi. Sisi siyo wahamisha magoli.
Mkuu Mzee Mwanakijiji lengo langu siyo kujua upande ulipo. Wengine mbali na hilo tungependa tu kuona maoni yako ukilizungumzia pengine inaweza kusaidia kumwamsha yule mliyempigania. Maana nae ktk hili speed imepungua sana...!!
 
Back
Top Bottom