haaaaahaaa kakaa nimeipenda nilijua tumepiga udalali hatakuniacha cha tochi hukukijijini...Kwani Ukishajua baadhi yetu misimamo yetu basi huwezi kiwa na shaka tuko upande gani. Hatuko kama wale wanaochukua misimamo kwa kuangalia maslahi ya kisiasa. Hatuna mashaka juu ya uwezo wa Magufuli kumtumbua yeyote inapobidi. Sisi siyo wahamisha magoli.
Tangu lini ukamuona mtanzania wa sasa anajipiga risasi?Wanajamvi
Salaam;
Kwa sasa habari kubwa kwenye vyombo vya habari vyote,ni kuhusu ufisadi wa kutisha unaohusisha jeshi la police na baadhi ya viongozi akiwemo waziri wa mambo ya ndani Charles kitwanga na kampuni yake ya INFOSY.
Hawa jamaa niliowataja hapo juu,tangu wakati wa kampeni walijipambanua km wapinga ufisadi wa kweli na waliunga mkono mabadiliko waliyoyaita ya kweli na kuyaacha yale waliyoyaita mabadiliko ya kuzungusha mikono.
Nasikitika tangu kashifa hii ishike kasi,sijawaona kabisa hawa jamaa popote pale wakiongelea hili. Najua wote ni ma-member hapa tena wanaoheshimika,hebu wajitokeze tusikie kauli yao juu ya hili sakata. Bado nafasi za kuteuliwa zipo wasife moyo.
Mzee mwanakijiji nafasi ya msemaji wa ikulu bado inakaimiwa na Gerson msigwa na Bw. Polepole nafasi za ukuu wa wilaya na ubunge wa kuteuliwa bado zipo. Maoni yenu yanaweza kumshawishi mkuu akawaangalia mmempigania sana!
Nawasilisha.
Hasa chumia tumbo polepole!!!Hao ni speaker za mafisadi, hawajaambiwa cha kusema. Subiri wapewe cha kujibu uone watakavyolipuka
Naona umekurupuka toka shimoni"Nitapunguza uropokaji CDM"- Dr Mashinji
Ni kwa sababu nape jana alikuwa anakagua uwanja wa taifa hivyo hakupata nafasi ya kuwaeleza cha kuongeaWanasubiri mwongozo,,, Hawawezi kuanza kuzungumza mpaka kikao cha Lumumba kikae kiwaelekeze nini cha kwenda kusema.
Hao wote ni machumia tumbo tu,wapi ritz,wapi lizaboniMkuu Mzee Mwanakijiji lengo langu siyo kujua upande ulipo. Wengine mbali na hilo tungependa tu kuona maoni yako ukilizungumzia pengine inaweza kusaidia kumwamsha yule mliyempigania. Maana nae ktk hili speed imepungua sana...!!
Mbona Wenyeviti wote wa UKAWA wamepata ganzi ya kuzungumzia hili jambo! Au masuala ya Ufisadi kwao linatakaswa?
Wewe akili yako ni sawa na akili ya kambale kuishi kwenye matopeHuu unao itwa ufisadi wa Lugumi umethibitishwa na nani?
Basi wewe uwe wa kwanza ili utowe Mfano Kwa Kondoo wenzako.Maana mnalilia kila kunapokuchwa.HovyoooooTangu lini ukamuona mtanzania wa sasa anajipiga risasi?
Nasikia siku hizi mnashindia ndege wa porini kutokana na uhaba wa chakula,agwe solowenyo!!!!Basi wewe uwe wa kwanza ili utowe Mfano Kwa Kondoo wenzako.Maana mnalilia kila kunapokuchwa.Hovyooooo
Huu unao itwa ufisadi wa Lugumi umethibitishwa na nani?
Hili la Lugumi halina uhusiano sana na uchaguzi, ila ni vizuri mnaowatetea wakasikia kauli zenu humu kuwa je ni vyema kulizima suala linalowagusa wakubwa waliopo na waliokuwapo madarakani, au la!Nikisema uchaguzi umekwisha mtakubali? Au uchaguzi umeisha tunapozungumza wengine?
Alee usolowenyu nyenye.Nasikia siku hizi mnashindia ndege wa porini kutokana na uhaba wa chakula,agwe solowenyo!!!!
Viwavi wameisha kabisaaaaa?Alee usolowenyu nyenye.
Ndege lazima waliwe wamejaa sana.
Tunawapunguza.Tuna wakaribisha msije Mkaanza kulilia BUREE.
Huyo jamaa hawezi kukujibu anarukaruka kama maharage tu kipindi kama hiki ndio utajua wanafiki wakubwa ndani ya nchi hiiHili la Lugumi halina uhusiano sana na uchaguzi, ila ni vizuri mnaowatetea wakasikia kauli zenu humu kuwa je ni vyema kulizima suala linalowagusa wakubwa waliopo na waliokuwapo madarakani, au la!