Mzee Mwinyi alikuwa na nafasi ya kuwa Baba wa Taifa wa pili baada ya Nyerere ila maboko yake yalimkosesha hadhi hiyo

Nyerere alikuwa na akili ila akishindwa kutumia akili zake kipindi cha mwisho kuwa na maono juu ya uelekeo wa dunia kutoka ujamaa kwenda ubepari. Kiburi chake ndio kimesababisha hadi sasa tupo nyuma kimaendeleo.
Kina nani walikubali na wako wapi..
 
KWA HADHI YAKE MAONI YAKE TU YANATOSHA KUFANYIWA KAZI KAMA HUJUI. HAPO ALIPO MAGU AKITOA NENO AKASEMA NI MAONI YAKE TU, NAKUHAKIKISHIA WAHUSIKA WA NENO HILO KINACHOBAKI NI UTEKELEZAJI TU. MAONI HUENDANA NA HADHI YA MTU. MTU KAMA WEWE YAWEZA KUWA MAONI LAKINI MTU KAMA MAGU AU MWINYI MAONI YAKE NI YA KUTEKELEZA TU.
 


Maoni sio amri au maagizo, maoni ni ushauri yaani jinsi mtu anavyofikiri kwa mtazamo wake, maoni ya aina hiyo yanaweza kuchukuliwa au kuachwa kulingana na mazingira husika.

Opinion is like an advice and not an order or a commandment.
 
Mzee mswahili wa pwani anaangalia mustakabali wa familia yake full stop.
 
Maoni sio amri au maagizo, maoni ni ushauri yaani jinsi mtu anavyofikiri kwa mtazamo wake, maoni ya aina hiyo yanaweza kuchukuliwa au kuachwa kulingana na mazingira husika.

Opinion is like an advice and not an order or a commandment.
YOU DO NOT KNOW WHAT YOU ARE SAYING. SHOULD YOU KNOW THE CONCEPT OF LANGUAGE AND THE POWER OF WHO SAYS SOMETHING YOU COULD NOT ARGUE LIKE THAT. DO YOU THINK YOUR OPINION HAS THE SAME VALUE AND WEIGHT LIKE IT IS FOR MWINYI?
 
YOU DO NOT KNOW WHAT YOU ARE SAYING. SHOULD YOU KNOW THE CONCEPT OF LANGUAGE AND THE POWER OF WHO SAYS SOMETHING YOU COULD NOT ARGUE LIKE THAT. DO YOU THINK YOUR OPINION HAS THE SAME VALUE AND WEIGHT LIKE IT IS FOR MWINYI?



As regarding to my status no one would dare give me the opportunity offered to Mwinyi, Being a retired president and national of this country, Mwinyi has a privilege and all rights to advise and express his opinions, whether he could be wrong or right in the course; that is another case and it is his personal ambitions and aspirations, those attributes every body has.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…