Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Kama Jf kungekuwa na kipimo cha iq basi wewe ni 0Sio lazima sote tufanane IQ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Jf kungekuwa na kipimo cha iq basi wewe ni 0Sio lazima sote tufanane IQ
1. Stiegler's gorge HP
2. SGR
3. Uundwaji wa meli lake victoria, tanganyika na nyasa.
4. Ununuzi wa ndege na upanuzi wa viwanja vya ndege na vya kisasa kabisa.
5. Ujenzi wa miundo mbinu ya kisasa( fly overs, madaraja ya busisi across lake victoria na tanazanite bridge. Pia barabara nane ubungo - chalinze, ujenzi na upanuzi wa barabara za kisasa unaoruhusu magari kupishana hata matatu hivyo kupunguza ajali.)
6. Usambazaji wa umeme kuanzia kwenye tarafa, kata hadi vijiji.
7. Vituo vya afya bwerere. Tena vya kisasa na huduma ya oparesheni ili kupunguza vifo vya uzazi.
8. Miradi ya maji na usambazaji wa maji maeneo mengi.
9. Uboreshaji wa vyuo na sekondari zilizichoka.
10. Wanafunzi kukaa chini imebaki historia.
11. Ufufuaji na usimamizi wa mazao na kumnufaisha mkulima( pamba, mkonge, chikichiki, korosho, ufuta.) Pamoja na uondoaji wa tozo.
12. Usimamizi wa mapato ya serikali uliowezesha serikali kuwa na akaunti moja badala ya 2000.
13. Usimamizi mzuri wa vita ya corona. Hapa kila mtanzania alijua tumeisha. Jamaa alitia ujasiri wa hali ya juu sana.
14. Upigaji na upigwaji kwenye ardhi umepungua kwa asilimia 90.
Mengi sana unaweza kuandika vitabu.
Look at you,You should wake up! And don't came here and" come on guys" look at your avatar. Disgusting!
Hakuna hata nemo moja tutakusikiliza. Naamini haupo hata Tanzania. Na naomba hata usirudi huku. Huku tuna kitu kinaitwa uzalendo!
Kwani unafikiri sisi hatujui kama serikali sio mtu mmoja!? Na basi kama ingekuwa kama unavyota wewe basi hakuna haja hata ya kuwa na kiongozi kabisa.
Long live JPM
Tunakumbushana tu alama njema zilizowekwa na viongozi wetu wastaafu.
Kiukweli wamefanya mengi ila kwa yale ambayo yanajulikana kona zote za nchi ni hayo machache niliyoyataja hapo juu.
Kwa Dkt. Magufuli hii awamu ya kwanza tu nimeshindwa nianzie wapi maana mambo ni mengi, hapa nipo njia panda ya chuo kulia naona ubungo flyover na kushoto naziona Magufuli hostel.
Nitaendelea.........!
Maendeleo hayana vyama.
Petrol imepungua bei mkuu.Aaaaah mwambie kwanza Aongeze mshahara.
Ndugu kuelewa mambo ni vyema. Daraja la Kigamboni ni PPP. Ili PPP ifanikiwe serikali lazima iwe na mkono wake. Sijakufahamu level yako ya exposure. Ila nikuambie tu serikali huweka mazingira rafiki ili kuwezesha social security funds kuchangia katika material developments ya miradi mbalimbali ya kijamii. Nchi nyingi duniani zimetumia PPP na social security funds kujenga huduma za kijamii.Hujui kitu bwana nenda zako. Kwanza nani kakuambia daraja la kigamboni ni la serikali.
Daraja la kigamboni na chuo cha udom ni vya nssf. Ukipita pale kigamboni wanaichaji hela ni wafanyakazi wa nssf.