Mzee Mwinyi alituachia PPF Tower, Mkapa katujengea National stadium, Kikwete kaacha Mwendokasi na UDOM, sasa twende na Rais Magufuli

Mzee Mwinyi alituachia PPF Tower, Mkapa katujengea National stadium, Kikwete kaacha Mwendokasi na UDOM, sasa twende na Rais Magufuli

Ewaa naona ktk miradi hiyo mikubwa ya pesa nyingi kabisa inayoendelea hatujawa na mawazo yanayotofautiana kuwa miundombinu miradi ndiyo inajitutumua kutekelezeka huku kukiwa na changamoto kibao, kuwa nyuma ya matarajio ya ratiba/ mkataba kumalizwa.. .

Kuhusu hili la mapato ya madini pia zile gari za Noah kwa kila mtanzania kutokana na iliyodaiwa kodi haijalipwa US$190 bilion ( 480 Trilioni za kiTanzania) mapato yake sijui yameishia wapi. Tukumbuke trilioni 480 shilling za kiTanzania ni bajeti nzima ya serikali kwa miaka 10 tumewaachia wale mabeberu


.
Dola bilioni 190 itawekeza katika reli katika Mashariki ya Kati - RayHaber
Bilioni 190 ili kuwekeza katika reli katika Mashariki ya Kati | Thamani ya miradi ya reli iliyopangwa katika Afrika Kaskazini na nchi za Mashariki ya Kati ni dola
Tanzania has hit Acacia mining with a $190 billion fine and tax ...
25 Jul 2017 · The bill is split into a $40 billion in unpaid taxes and an additional $150 billion
Unaweza kutuwekea ushahidi wa kiasi gani Barrick wanapata kutoka migodi yao yote ulimwenguni kwa mwaka?
 
Makubwa aliyofanya Jakaya, mishemishe na ma deal ya kibiashara mjinikati/ city centre katika majengo haya, migahawa na ofisi mzunguko wa pesa ulikuwa wa uhakika hata watu wa nchi jirani na mikoani walifika jijini kuchangamkia fursa.


Ndugu ngoja nikwambie JK amefanya kwa sehemu yake kama kiongozi na naapreciate(hasa upande wa kujenga barabara) lkn kwa upande wa uchumi alikuwa anatujengea "feck economy " ambao huwa unanufaisha watu wachache tu watu wanasema pesa ilikuwa njenje ni kweli lkn hyo pesa ilikuwa inatokana na mifumo halali ya kiuchumi? HAPANA kwa 7bu utakatishaji pesa na ufisadi was fedha za uma vilikuwa vimekithiri sana. mtu alikuwa anaweza akaiba pesa popote anakuja kuzileta kwenye uchumi wa tanzania, mabenki ya biashara, maduka ya kubadili fedha na makampuni ya bima yalikuwa kitovu cha biashara haramu ya fedha(najua kama sio mchumi unaweza usinielewe vzr lkn haya mambo ya impact mbaya sana katka uchumi wa nchi) nchi lazima I control mfumo wake wa fedha kama inataka kujenga uchumi imara.
 
1. Stiegler's gorge HP
2. SGR
3. Uundwaji wa meli lake victoria, tanganyika na nyasa.
4. Ununuzi wa ndege na upanuzi wa viwanja vya ndege na vya kisasa kabisa.
5. Ujenzi wa miundo mbinu ya kisasa( fly overs, madaraja ya busisi across lake victoria na tanazanite bridge. Pia barabara nane ubungo - chalinze, ujenzi na upanuzi wa barabara za kisasa unaoruhusu magari kupishana hata matatu hivyo kupunguza ajali.)
6. Usambazaji wa umeme kuanzia kwenye tarafa, kata hadi vijiji.
7. Vituo vya afya bwerere. Tena vya kisasa na huduma ya oparesheni ili kupunguza vifo vya uzazi.
8. Miradi ya maji na usambazaji wa maji maeneo mengi.
9. Uboreshaji wa vyuo na sekondari zilizichoka.
10. Wanafunzi kukaa chini imebaki historia.
11. Ufufuaji na usimamizi wa mazao na kumnufaisha mkulima( pamba, mkonge, chikichiki, korosho, ufuta.) Pamoja na uondoaji wa tozo.
12. Usimamizi wa mapato ya serikali uliowezesha serikali kuwa na akaunti moja badala ya 2000.
13. Usimamizi mzuri wa vita ya corona. Hapa kila mtanzania alijua tumeisha. Jamaa alitia ujasiri wa hali ya juu sana.
14. Upigaji na upigwaji kwenye ardhi umepungua kwa asilimia 90.
Mengi sana unaweza kuandika vitabu.
umetisha sana mkuu bado nidhamu kazini karudisha yeye angalau leo choka mbaya japo anasikilizwa kwa wakati kuliko zamani
 
Mna matatizo ya akili kuwasahau kuwasifia na kuwapongeza Watanzania na kumsifia mwanaume mmoja kwa hatua hii ya maendeleo.
Lazima tumsifie maana yeye ndiio tulimpa jukumu la kutulindia na kuzifanyia maendeleo kodi zetu na matokeo yake tumeyaona
 
Tunakumbushana tu alama njema zilizowekwa na viongozi wetu wastaafu.

Kiukweli wamefanya mengi ila kwa yale ambayo yanajulikana kona zote za nchi ni hayo machache niliyoyataja hapo juu.

Kwa Dkt. Magufuli hii awamu ya kwanza tu nimeshindwa nianzie wapi maana mambo ni mengi, hapa nipo njia panda ya chuo kulia naona ubungo flyover na kushoto naziona Magufuli hostel.

Nitaendelea.........!

Maendeleo hayana vyama.
Jina linalomfaa mzee wa chattle ni magufail. Haoni mbali; ni mkurupukaji. 80% ya miradi yake are doomed to fail. Ila nyie wataalamu wa political science na wenye myopic vision ndio mnaona jamaa ni jembe 🤣 🤣 🤣
 
Umesema vema kwamba hakuna "instant result" kwenye uwekezaji wa kimkakati hivyo pia unatakiwa utambue hasara ya ATCL in first 3 years after launching isichukuliwe serious as long as in a long run shirika lina potential ya kumake profit lkn pia ATCL inaweza kuwa inapata hasara wkt huohuo ikichochea sekta nyingine specifically utalii kukua zaidi. Na kwa miradi mingine(almost yote) naona inahitajika sana na tulikuwa kidogo tumechelewa, ili kujenga uchumi ambao ni competitive tunahitaji low cost of production (means cheap and reliable energy/power so NHPP, cheap and quick transport so SGR), Tunahitaji mazingira bora ya biashara ambayo yanajumuisha pamoja na mambo mengine urahisi wa kusafiri from point A to B hamna haja ya kutumia SAA zima kutoka posta kwenda airport and how can u avoid that build mfugale flyover. In summary from kuongeza efficiency kwenye bandari zetu mpaka kukarabati shule kongwe impact yake (in short run na long run) is huge.
you nailed it.
 
Tunakumbushana tu alama njema zilizowekwa na viongozi wetu wastaafu.

Kiukweli wamefanya mengi ila kwa yale ambayo yanajulikana kona zote za nchi ni hayo machache niliyoyataja hapo juu.

Kwa Dkt. Magufuli hii awamu ya kwanza tu nimeshindwa nianzie wapi maana mambo ni mengi, hapa nipo njia panda ya chuo kulia naona ubungo flyover na kushoto naziona Magufuli hostel.

Nitaendelea.........!

Maendeleo hayana vyama.
Ishia hapo hapo.Bado hujitambui
 
Yote 9, 10 ni miradi ya kimkakati JNHPP (Julius Nyerere hydropower Project), SGR (Standard Gauge Rail) na kufufua Air Tanzania pamoja na kuboresha Meli zetu, Uvuvi kuimarishwa kupitia Tafico, Bomba la mafuta kutoka Uganda, vile vile Kubadili mfumo wa madini na kuweza kunufaika na madini yetu (Tanzanite, gold, diamond pamoja na madini mengine). Kuwezesha Stamico kuweza kutoa gawio kwa Serikali ikumbukwe JKN alipoianzisha ili iwe kichocheo cha mafanikio lakini ilkuwa inatunza walanguzi na wafujaji wa mali za Watanzania leo hii wamekiona cha mtema kuni.

Hiyo miradi ni game changer na uchumi wa Tanzania utaanzan kupaa. Hivi tunavyoongea hivi Tanzania imakwisha kuwa juu ya Kenya kwenye Moody's Credit ranking nk. Majirani wanalia kilio cha mende.
Ama kweli ugali unatafutwa kwa kuigiza kama jamaa alivyojipendekeza akakata kiuno lakini akapigwa chini.Akili ndogo hufikiri mambo kwa kwenda nyuma au kinyumenyume kama unavyofikiri wewe.
 
Tunakumbushana tu alama njema zilizowekwa na viongozi wetu wastaafu.

Kiukweli wamefanya mengi ila kwa yale ambayo yanajulikana kona zote za nchi ni hayo machache niliyoyataja hapo juu.

Kwa Dkt. Magufuli hii awamu ya kwanza tu nimeshindwa nianzie wapi maana mambo ni mengi, hapa nipo njia panda ya chuo kulia naona ubungo flyover na kushoto naziona Magufuli hostel.

Nitaendelea.........!

Maendeleo hayana vyama.
Wewe kweli pimbi wa kisiasa.
Kwa Mzee Myinyi umeona kaghorofa kamoja tu, ila hukuona the demographic change ya RUKSA, kushamiri kwa kufungua milango ya uchumi wa sekta binafsi?
Kwa Mkapa hukuona uundwaji wa TANROADS na TRA Mpya?
Kwa Kikwete hukuona Ujenzi mkubwa wa miundombinu ya barabara na uhuru wa vyombo vya habar?

Vijengo vichache kuliko tectonic economical shifts is the name of the game.
 
Wewe kweli pimbi wa kisiasa.
Kwa Mzee Myinyi umeona kaghorofa kamoja tu, ila hukuona the demographic change ya RUKSA, kushamiri kwa kufungua milango ya uchumi wa sekta binafsi?
Kwa Mkapa hukuona uundwaji wa TANROADS na TRA Mpya?
Kwa Kikwete hukuona Ujenzi mkubwa wa miundombinu ya barabara na uhuru wa vyombo vya habar?

Vijengo vichache kuliko tectonic economical shifts is the name of the game.
Mbwiga hiyo ni sample tu...uwe unasoma na kuelewa hata kama uko kwenye kilabu cha mbege!
 
ni jukumula serikali kutekeleza mahitaji ya jamii, hata chadema 2020-2025, mbona itafanya mengi kuliko hata haya ambayo anayaachia njia.
 
Ila jamani kuna kitu sielewi, kwanini serikali ya Tanzania ikifanya jambo la maendeleo inapongezwa kama vile imefanya hisani na sio lazima?,
Kwani hao viongozi huchaguliwa ili wafanye nini?
Je hizo pesa wanazofanyia miradi mbali mbali zinatoka mifukoni mwao au ni kodi za wananchi?

Unakuta watu wanasifia kuwekewa umeme na maji au kujengewa hospitals na shule,
Come on guys, hizo ni kazi zao ndio maana mliwachagua na sio kama wanafanya msaada, si waliomba hiyo dhamana wakatoa na ahadi, basi ni wajibu wao kutekeleza na wasipotekeleza ndio tulipaswa kuongea na ikibidi kuwaadhibu.

Wake up guys.
You should wake up! And don't came here and" come on guys" look at your avatar. Disgusting!

Hakuna hata nemo moja tutakusikiliza. Naamini haupo hata Tanzania. Na naomba hata usirudi huku. Huku tuna kitu kinaitwa uzalendo!

Kwani unafikiri sisi hatujui kama serikali sio mtu mmoja!? Na basi kama ingekuwa kama unavyota wewe basi hakuna haja hata ya kuwa na kiongozi kabisa.

Long live JPM
 
Back
Top Bottom