Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Namshanga huyu huyu jamaa mtu anakaribia 100 bado anataka kumsumbua,amwache ajipumzikieMzee mumsamehe bure anakaribia 100 kuna mengi anasahau sasa na sio wa kumsumbua kabisa
Wanakosea kumlaumu mzeeMzee mumsamehe bure anakaribia 100 kuna mengi anasahau sasa na sio wa kumsumbua kabisa
Ndio maana kakaa kimya,Nakumbuka ulienda Ikulu na moja ya kauli yako kubwa ilikuwa mazuri yenye tija na taifa hili yaendelezwe.
Leo hii kuna mkataba tata wa bandari za Tanganyika.
Upo kimya. Wewe ndio mzee wa taifa hili.
Mkuu usihangaike kujibu wapumbavu, waache tu wajitekenye na kucheka wenyewe!!Mzee mumsamehe bure anakaribia 100 kuna mengi anasahau sasa na sio wa kumsumbua kabisa
Wengi wamevurugwa kwa kweliMkuu usihangaike kujibu wapumbavu, waache tu wajitekenye na kucheka wenyewe!!
Yaani ajabu sanaNamshanga huyu huyu jamaa mtu anakaribia 100 bado anataka kumsumbua,amwache ajipumzikie
Ova
Yaani kupita kiasi. Na hv mapato ya TRA yameongezeka na huku mafuta yameshuka bei watazidi kuvurugwa zaidi.Wengi wamevurugwa kwa kweli
[emoji1787][emoji1787]Yaani kupita kiasi. Na hv mapato ya TRA yameongezeka na huku mafuta yameshuka bei watazidi kuvurugwa zaidi.