Mzee Omary Muhando Shangali, miaka 102, Shujaa aliepigana vita ya pili ya dunia na bado anadunda mtaani

Mzee Omary Muhando Shangali, miaka 102, Shujaa aliepigana vita ya pili ya dunia na bado anadunda mtaani

6 Pack

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
2,819
Reaction score
5,996
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Kwa wale mliofatilia kipindi cha mashujaa wetu huko Dodoma, bila shaka mmemuona mzee huyu mwenye umri wa miaka 102, akiwa anadunda kwa ukakamavu wa hali ya juu tena kwa kujiamini.

Mzee huyu amenifurahisha pale alipoonekana kujua kila analolifanya bila kupoteza kumbukumbu yoyote. Tofauti kidogo na mzee wetu mzee Ally Hassani Mwinyi ambae husahau hata majina ya watoto wake. Huyu amekumbuka mpaka kupiga saluti katika ngao ile ya mashujaa.

Mungu aendelee kumpa umri mrefu mzee huyu na mashujaa wetu wengine walio hai. Ningeishauri serikali ikampa tunzo ya heshima mzee huyu, na ikiwapendeza watafute mtaa mmoja huko jijini Dodoma katika makao makuu ya nchi na waupe mtaa huo jina la mzee huyu ili kumuenzi kwa mchango wake mkubwa kwa taifa letu.



Nawasilisha.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Kwa wale mliofatilia kipindi cha mashujaa wetu huko Dodoma, bila shaka mmemuona mzee huyu mwenye umri wa miaka 102, akiwa anadunda kwa ukakamavu wa hali ya juu tena kwa kujiamini.

Mzee huyu amenifurahisha pale alipoonekana kujua kila analolifanya bila kupoteza kumbukumbu yoyote. Tofauti kidogo na mzee wetu mzee Ally Hassani Mwinyi ambae husahau hata majina ya watoto wake. Huyu amekumbuka mpaka kupiga saluti katika ngao ile ya mashujaa.

Mungu aendelee kumpa umri mrefu mzee huyu na mashujaa wetu wengine walio hai. Ningeishauri serikali ikampa tunzo ya heshima mzee huyu, na ikiwapendeza watafute mtaa mmoja huko jijini Dodoma katika makao makuu ya nchi na waupe mtaa huo jina la mzee huyu ili kumuenzi kwa mchango wake mkubwa kwa taifa letu.

Nawakilisha.
hivi huyu mzee wamempiga na posho au ameambulia shikamoo babu peke yake?
 
102yrs of age
Na corona haijamgusa
Nini Covid, risasi hazikumgusa itakuwa covid. Kuna majanga lundo hayajapita naye, kipindupindu, ndui, kifaduro, VVU, na mengine mengi, huyo mzee ni chuma, si ajabu yupo wasap, ni vile hatuna simu yake tungechart naye atupe ubuyu wa Burma, maana ukienda pale Tanganyika Legion ndio story zao walipokuwa Burma.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Kwa wale mliofatilia kipindi cha mashujaa wetu huko Dodoma, bila shaka mmemuona mzee huyu mwenye umri wa miaka 102, akiwa anadunda kwa ukakamavu wa hali ya juu tena kwa kujiamini.

Mzee huyu amenifurahisha pale alipoonekana kujua kila analolifanya bila kupoteza kumbukumbu yoyote. Tofauti kidogo na mzee wetu mzee Ally Hassani Mwinyi ambae husahau hata majina ya watoto wake. Huyu amekumbuka mpaka kupiga saluti katika ngao ile ya mashujaa.

Mungu aendelee kumpa umri mrefu mzee huyu na mashujaa wetu wengine walio hai. Ningeishauri serikali ikampa tunzo ya heshima mzee huyu, na ikiwapendeza watafute mtaa mmoja huko jijini Dodoma katika makao makuu ya nchi na waupe mtaa huo jina la mzee huyu ili kumuenzi kwa mchango wake mkubwa kwa taifa letu.

Nawakilisha.
Hakukuwa na haja ya kuubeza uzee wa Mwinyi kwenye Uzi wako. Inaonesha jinsi gani wabongo tulivyo na roho ya "negativity".
 
Back
Top Bottom