Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀 pesa sabuni ya roho, asikudanganye mtu, kuna vijana miaka 35 wanaonekana wazee kwa Bakhresa kwa sababu ya njaa.ukiwa na mihela na afya, hata ukifika miaka 900 kama Nuhu poa tu, tatizo ukiwa na miaka 20 tu halafu umeanza kuwa omba omba lazima watu wakuchoke sbb unaonekana hovyo.
Hajachoka kukaa muda mrefu rika lake wote hawapo?Huyu mbona bado yuko fiti na anaonekana anaweza kujitegemea kwa kila kitu. Hata kulima anaonekana anaweza kulima.
Poa mkuuHuenda kachoka au hakuchoka, lkn anaonekana anafurahia kuishi. Hakuna anaekipenda kifo kirahisi rahisi mkuu.
nyie ndio wale wazee ambao wenzenu wananunua maeneo kkoo enzi hizo nyie mnazurula.Ndio maana huna akili. Wasted sperms.
Wabongo tuna machungu (bitterness) mengi moyoni. Tunazeeka nayo.Hakukuwa na haja ya kuubeza uzee wa Mwinyi kwenye Uzi wako. Inaonesha jinsi gani wabongo tulivyo na roho ya "negativity".
Tuko pamoja mkuu!Nikitoboa hata 50 kwa mara ya kwanza nitafanya Sherehe ya siku ya kuzaliwa kwangu ingawa nazipinga balaa