Mzee Omary Muhando Shangali, miaka 102, Shujaa aliepigana vita ya pili ya dunia na bado anadunda mtaani

Na Mimi nifikishe hiyo, hongera zake ila mazoezi muhimu jamani
 
Hata kwa miaka 22 uliyonayo hapo mtaani kwenu kuna watu wamechoka kukuona ukiwa hai tunakuomba ufe tafadhali.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kwanini umuombee kifo mwenzako mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…