Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: CHADEMA na mgombea wao wameingia kwenye mpambano huku kisaikolojia hawako sawa

Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: CHADEMA na mgombea wao wameingia kwenye mpambano huku kisaikolojia hawako sawa

Mimi kama mzee mjuvi wa mambo najua umuhimu wa saikolojia kwenye mapambano. Bondia akiingia ulingoni huku anajua anaenda kushindwa tambua huyo hayuko sawa kisaikolojia. Maana atafanya vituko ulingoni,mnaweza kukuta anamg'ata mpinzani wake.

Hiki ndio kinachotokea hapa Tanzania. Lissu na chama chake walijua kuwa hawawezi kushinda urais na hata ubunge watapata kwa mbinde. Na sasa ndio tunashuhudia rafu na faulo ambazo zinaonyesha hawakuingia kupata ushindi,bali walijua watashindwa hivyo waanze faulo na rafu zisizo na maana ili mradi kuvuruga uchaguzi.

Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda uanze kutishia kupeleka watu the Hague?

Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda urais umtishie OCD kuwa utampandisha kwenye karandinga? Hii yote ni dalili kuwa Lissu alijua hawezi kushinda ila aliingia ili afanye faulo na vitisho kama hivi, maana kama una uhakika wa kushinda huwezi kutabiri vurugu.

Mbaya zaidi ni hili la kudanganya kuwa utafuta sheria zinazokandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mbona hata Usa tunaona wanatunga sheria kudhibiti watu wanaotumia vibaya haki ya kujieleza!

Na hili la kusema utafuta ushuru wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ina maana unataka kuturudisha kuwa tunalipa sh 500 kwa siku ambayo ni 15000 kwa mwezi?

Hili limekunyima kura kwa wajasiria mali wadogo kama mimi muuza kahawa. Na mimi nasema uligombea urais ukijua huna sifa,na huwezi kushinda ila umekuja kuleta faulo na vurugu kwenye uchaguzi.

 
Ninachojivunia ni kwamba, kamwe Tanzania haiwezi kuja kuongozwa na ROBOT la Mabeberu. Tanzania itaongozwa na Rais mwenye Uzalendo wa kweli na mwenye nia thabiti ya kuwaletea Watanzania maendeleo.
 
Mzee shomari usitivuruge
Mwaka hu utaongea sana mbona dah
Acha waendelee kukulipa bukubuku ikifika 10.28 utajua hujui
 
Mzee shomari usitivuruge
Mwaka hu utaongea sana mbona dah
Acha waendelee kukulipa bukubuku ikifika 10.28 utajua hujui
Pakawa hivi unamfahamu huyo mzee lakini!? Huyu hapa
JamiiForums-1335650171.jpg
 
Ninachojivunia ni kwamba, kamwe Tanzania haiwezi kuja kuongozwa na ROBOT la Mabeberu. Tanzania itaongozwa na Rais mwenye Uzalendo wa kweli na mwenye nia thabiti ya kuwaletea Watanzania maendeleo.
Beberu ni nani? Tuanzie hapo kwanza?
 
Huu uzi ulianzisha wewe? Hiyo heading uliandika wewe? Kwa hiyo umeipata vipi? stakehigh au wewe na mods mnashirikiana kufanya uhuni? Active Wand Huu uzi wote ufutwe.


chilax, kuna mengi yanakuja mbelen, kama una presha kajifukie kwanza sehem urudi uchaguzi uishe maaana kuna watu watakufa na presha huu uchaguzi
 
Mzee shomari usitivuruge
Mwaka hu utaongea sana mbona dah
Acha waendelee kukulipa bukubuku ikifika 10.28 utajua hujui
Mzee amenena ukweli,mliingia hamna uhakika wa ushindi. Sasa ni kuropoka maneno ya kuashiria vurugu tu.
 
Mimi kama mzee mjuvi wa mambo najua umuhimu wa saikolojia kwenye mapambano. Bondia akiingia ulingoni huku anajua anaenda kushindwa tambua huyo hayuko sawa kisaikolojia. Maana atafanya vituko ulingoni,mnaweza kukuta anamg'ata mpinzani wake.

Hiki ndio kinachotokea hapa Tanzania. Lissu na chama chake walijua kuwa hawawezi kushinda urais na hata ubunge watapata kwa mbinde. Na sasa ndio tunashuhudia rafu na faulo ambazo zinaonyesha hawakuingia kupata ushindi,bali walijua watashindwa hivyo waanze faulo na rafu zisizo na maana ili mradi kuvuruga uchaguzi.

Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda uanze kutishia kupeleka watu the Hague?

Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda urais umtishie OCD kuwa utampandisha kwenye karandinga? Hii yote ni dalili kuwa Lissu alijua hawezi kushinda ila aliingia ili afanye faulo na vitisho kama hivi, maana kama una uhakika wa kushinda huwezi kutabiri vurugu.

Mbaya zaidi ni hili la kudanganya kuwa utafuta sheria zinazokandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mbona hata Usa tunaona wanatunga sheria kudhibiti watu wanaotumia vibaya haki ya kujieleza!

Na hili la kusema utafuta ushuru wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ina maana unataka kuturudisha kuwa tunalipa sh 500 kwa siku ambayo ni 15000 kwa mwezi?

Hili limekunyima kura kwa wajasiria mali wadogo kama mimi muuza kahawa. Na mimi nasema uligombea urais ukijua huna sifa,na huwezi kushinda ila umekuja kuleta faulo na vurugu kwenye uchaguzi.
Waje kwa faulo, vurugu, hawatashinda.
 
Mzee shomari wa kufikirika!Hujachoka tu?Tulishakushauri ujiamini na uandike ujumbe wako,kama hoja zako zina mashiko utaunngwa mkono!!!
Nilichoona kwenye bandiko hili ni porojo tu!
Mzee Shomari yupo,sema ujumbe wake unakuumiza moyoni.
 
chilax, kuna mengi yanakuja mbelen, kama una presha kajifukie kwanza sehem urudi uchaguzi uishe maaana kuna watu watakufa na presha huu uchaguzi
Mzandiki fala wewe.
 
Mimi kama mzee mjuvi wa mambo najua umuhimu wa saikolojia kwenye mapambano. Bondia akiingia ulingoni huku anajua anaenda kushindwa tambua huyo hayuko sawa kisaikolojia. Maana atafanya vituko ulingoni,mnaweza kukuta anamg'ata mpinzani wake.

Hiki ndio kinachotokea hapa Tanzania. Lissu na chama chake walijua kuwa hawawezi kushinda urais na hata ubunge watapata kwa mbinde. Na sasa ndio tunashuhudia rafu na faulo ambazo zinaonyesha hawakuingia kupata ushindi,bali walijua watashindwa hivyo waanze faulo na rafu zisizo na maana ili mradi kuvuruga uchaguzi.

Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda uanze kutishia kupeleka watu the Hague?

Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda urais umtishie OCD kuwa utampandisha kwenye karandinga? Hii yote ni dalili kuwa Lissu alijua hawezi kushinda ila aliingia ili afanye faulo na vitisho kama hivi, maana kama una uhakika wa kushinda huwezi kutabiri vurugu.

Mbaya zaidi ni hili la kudanganya kuwa utafuta sheria zinazokandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mbona hata Usa tunaona wanatunga sheria kudhibiti watu wanaotumia vibaya haki ya kujieleza!

Na hili la kusema utafuta ushuru wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ina maana unataka kuturudisha kuwa tunalipa sh 500 kwa siku ambayo ni 15000 kwa mwezi?

Hili limekunyima kura kwa wajasiria mali wadogo kama mimi muuza kahawa. Na mimi nasema uligombea urais ukijua huna sifa,na huwezi kushinda ila umekuja kuleta faulo na vurugu kwenye uchaguzi.

Je, yeye huyo mzee Shomari wakati anayasema hayo alikuwa sawa kisaikolojia?
 
Kwani hukutaka Maghufuli apingwe kwenye uchaguzi huu. Swala la kushindwa na kushinda yawe matokeo ya haki. Kwanini wafuasi wa Ccm hampendi kisikia neno haki ?!
Kupingwa ni haki ya kikatiba,lakini isiwe sababu ya kuhubiri vitisho. Unatishia kupeleka watu the Hague kisa unajua utashindwa?

Unanyag'anya vitambulisho ili walipe ushuru kila siku,tumia akili wewe bendera fuata upepo.
 
Kwani hukutaka Maghufuli apingwe kwenye uchaguzi huu. Swala la kushindwa na kushinda yawe matokeo ya haki. Kwanini wafuasi wa Ccm hampendi kisikia neno haki ?!
Naamini wewe ni mtu mzima unajua lugha ya ushindani, au?
 
Kupingwa ni haki ya kikatiba,lakini isiwe sababu ya kuhubiri vitisho. Unatishia kupeleka watu the Hague kisa unajua utashindwa?

Unanyag'anya vitambulisho ili walipe ushuru kila siku,tumia akili wewe bendera fuata upepo.
Naamini wafuasi wa CHADEMA humu JF ni vijana wa vijiweni waliokuwa wakitumia viroba na kupoteza muda kwenye "pool", vitu vilivyokatazwa na Magufuli.

Ni vijana wenye elimu ya kutumia fursa tele zilizopo za kiuchumi wanasubiri ajira. Hawa wana chuki na Magufuli isiyo mfano.

Kwa taarifa yao, Magufuli atashinda kwa kishindo. Hivyo basi wajiandae kuishi katika utawala wake tena kwa miaka 5.
 
Back
Top Bottom