Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uchaguzi ishu sio sera
Huu uchaguzi ni kuendelea na mabavu na watu
Kukosa Uhuru wa kukosoa na watu kupotea
Au tubadili tupate new start
Simple sana..
Mzee Shomari ndo mbwa gani?Mimi kama mzee mjuvi wa mambo najua umuhimu wa saikolojia kwenye mapambano. Bondia akiingia ulingoni huku anajua anaenda kushindwa tambua huyo hayuko sawa kisaikolojia. Maana atafanya vituko ulingoni,mnaweza kukuta anamg'ata mpinzani wake.
Hiki ndio kinachotokea hapa Tanzania. Lissu na chama chake walijua kuwa hawawezi kushinda urais na hata ubunge watapata kwa mbinde. Na sasa ndio tunashuhudia rafu na faulo ambazo zinaonyesha hawakuingia kupata ushindi,bali walijua watashindwa hivyo waanze faulo na rafu zisizo na maana ili mradi kuvuruga uchaguzi.
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda uanze kutishia kupeleka watu the Hague?
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda urais umtishie OCD kuwa utampandisha kwenye karandinga? Hii yote ni dalili kuwa Lissu alijua hawezi kushinda ila aliingia ili afanye faulo na vitisho kama hivi, maana kama una uhakika wa kushinda huwezi kutabiri vurugu.
Mbaya zaidi ni hili la kudanganya kuwa utafuta sheria zinazokandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mbona hata Usa tunaona wanatunga sheria kudhibiti watu wanaotumia vibaya haki ya kujieleza!
Na hili la kusema utafuta ushuru wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ina maana unataka kuturudisha kuwa tunalipa sh 500 kwa siku ambayo ni 15000 kwa mwezi?
Hili limekunyima kura kwa wajasiria mali wadogo kama mimi muuza kahawa. Na mimi nasema uligombea urais ukijua huna sifa,na huwezi kushinda ila umekuja kuleta faulo na vurugu kwenye uchaguzi.
Acha nicheke kwa nguvuPakawa hivi unamfahamu huyo mzee lakini!? Huyu hapaView attachment 1576730
watetezi wa chama hawaMimi kama mzee mjuvi wa mambo najua umuhimu wa saikolojia kwenye mapambano. Bondia akiingia ulingoni huku anajua anaenda kushindwa tambua huyo hayuko sawa kisaikolojia. Maana atafanya vituko ulingoni,mnaweza kukuta anamg'ata mpinzani wake.
Hiki ndio kinachotokea hapa Tanzania. Lissu na chama chake walijua kuwa hawawezi kushinda urais na hata ubunge watapata kwa mbinde. Na sasa ndio tunashuhudia rafu na faulo ambazo zinaonyesha hawakuingia kupata ushindi,bali walijua watashindwa hivyo waanze faulo na rafu zisizo na maana ili mradi kuvuruga uchaguzi.
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda uanze kutishia kupeleka watu the Hague?
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda urais umtishie OCD kuwa utampandisha kwenye karandinga? Hii yote ni dalili kuwa Lissu alijua hawezi kushinda ila aliingia ili afanye faulo na vitisho kama hivi, maana kama una uhakika wa kushinda huwezi kutabiri vurugu.
Mbaya zaidi ni hili la kudanganya kuwa utafuta sheria zinazokandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mbona hata Usa tunaona wanatunga sheria kudhibiti watu wanaotumia vibaya haki ya kujieleza!
Na hili la kusema utafuta ushuru wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ina maana unataka kuturudisha kuwa tunalipa sh 500 kwa siku ambayo ni 15000 kwa mwezi?
Hili limekunyima kura kwa wajasiria mali wadogo kama mimi muuza kahawa. Na mimi nasema uligombea urais ukijua huna sifa,na huwezi kushinda ila umekuja kuleta faulo na vurugu kwenye uchaguzi.
Kuna kila dalili uliwahi kulazwa Mirembe na hukuponaMimi kama mzee mjuvi wa mambo najua umuhimu wa saikolojia kwenye mapambano. Bondia akiingia ulingoni huku anajua anaenda kushindwa tambua huyo hayuko sawa kisaikolojia. Maana atafanya vituko ulingoni,mnaweza kukuta anamg'ata mpinzani wake.
Hiki ndio kinachotokea hapa Tanzania. Lissu na chama chake walijua kuwa hawawezi kushinda urais na hata ubunge watapata kwa mbinde. Na sasa ndio tunashuhudia rafu na faulo ambazo zinaonyesha hawakuingia kupata ushindi,bali walijua watashindwa hivyo waanze faulo na rafu zisizo na maana ili mradi kuvuruga uchaguzi.
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda uanze kutishia kupeleka watu the Hague?
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda urais umtishie OCD kuwa utampandisha kwenye karandinga? Hii yote ni dalili kuwa Lissu alijua hawezi kushinda ila aliingia ili afanye faulo na vitisho kama hivi, maana kama una uhakika wa kushinda huwezi kutabiri vurugu.
Mbaya zaidi ni hili la kudanganya kuwa utafuta sheria zinazokandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mbona hata Usa tunaona wanatunga sheria kudhibiti watu wanaotumia vibaya haki ya kujieleza!
Na hili la kusema utafuta ushuru wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ina maana unataka kuturudisha kuwa tunalipa sh 500 kwa siku ambayo ni 15000 kwa mwezi?
Hili limekunyima kura kwa wajasiria mali wadogo kama mimi muuza kahawa. Na mimi nasema uligombea urais ukijua huna sifa,na huwezi kushinda ila umekuja kuleta faulo na vurugu kwenye uchaguzi.
Pascal wa JFMzee Shomari ndio nani?
watanzania wote ni nduguHili la watu kupotea,hatua zipi zimechukuliwa? Wewe una ndugu na jamaa wangapi wamepotea?
Huyo mzee shomari ndiyo wale viumbe wanaotumia njia za haja kubwa kufikiri?Mimi kama mzee mjuvi wa mambo najua umuhimu wa saikolojia kwenye mapambano. Bondia akiingia ulingoni huku anajua anaenda kushindwa tambua huyo hayuko sawa kisaikolojia. Maana atafanya vituko ulingoni,mnaweza kukuta anamg'ata mpinzani wake.
Hiki ndio kinachotokea hapa Tanzania. Lissu na chama chake walijua kuwa hawawezi kushinda urais na hata ubunge watapata kwa mbinde. Na sasa ndio tunashuhudia rafu na faulo ambazo zinaonyesha hawakuingia kupata ushindi,bali walijua watashindwa hivyo waanze faulo na rafu zisizo na maana ili mradi kuvuruga uchaguzi.
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda uanze kutishia kupeleka watu the Hague?
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda urais umtishie OCD kuwa utampandisha kwenye karandinga? Hii yote ni dalili kuwa Lissu alijua hawezi kushinda ila aliingia ili afanye faulo na vitisho kama hivi, maana kama una uhakika wa kushinda huwezi kutabiri vurugu.
Mbaya zaidi ni hili la kudanganya kuwa utafuta sheria zinazokandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mbona hata Usa tunaona wanatunga sheria kudhibiti watu wanaotumia vibaya haki ya kujieleza!
Na hili la kusema utafuta ushuru wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ina maana unataka kuturudisha kuwa tunalipa sh 500 kwa siku ambayo ni 15000 kwa mwezi?
Hili limekunyima kura kwa wajasiria mali wadogo kama mimi muuza kahawa. Na mimi nasema uligombea urais ukijua huna sifa,na huwezi kushinda ila umekuja kuleta faulo na vurugu kwenye uchaguzi.
Ubovu Nyie washabiki wa Chadema, hamuwezi jibu hoja kwa hoja, mtakuja na matusi ya kijinga. Kati ya wewe na mleta uzi, nani aliyeandika maneno yenye muelekeo wa mtu asiyekuwa na akili timamuKuna kila dalili uliwahi kulazwa Mirembe na hukupona
Mkuu ushauri hauruhusiwi kwa watu wenye mapenzi ya kupindukia,sana sana utaambulia matusi.Ni busara ukajibu hoja zake.
Awali, humu JF nilitoa ushauri kuwa Lissu apatiwe mtaalamu wa mikakati ya kampeni, mtu kama wewe hamkunielewa.
Kinachotokea Lissu anajikaanga kwa lugha yake chafu mwenyewe. Akidhani anapata wafuasi wa kweli kumbe wanashangilia upuuzi wake.
Sera zake mbili zote (utawala wa majimbo na maendeleo ya watu) ameshindwa kuzieleza zikaeleweka na hata wewe The Boss huwezi. Nikuulize wewe kama wewe unahitaji nini ili ujiendeleze?
Uzee mwingine muda ukifika mungu awakumbuke.Ubovu Nyie washabiki wa Chadema, hamuwezi jibu hoja kwa hoja, mtakuja na matusi ya kijinga. Kati ya wewe na mleta uzi, nani aliyeandika maneno yenye muelekeo wa mtu asiyekuwa na akili timamu
Kuna mianya mingi ya ukwepaji mapato, na vyanzo vingi vya mapato havitumiwi. Kuna wabunge zaidi ya 300 wanalipwa hongo kubwa sana ikidaiwa ni mishahara na posho. Yote haya na mengine, yakirekebishwa kuna hela nyingi itaokolewa kuzidi ushuru na viparata kwa mjasiriamali. Kiparata ni kodi na ndio maana hukusanywa na TRA.Mimi kama mzee mjuvi wa mambo najua umuhimu wa saikolojia kwenye mapambano. Bondia akiingia ulingoni huku anajua anaenda kushindwa tambua huyo hayuko sawa kisaikolojia. Maana atafanya vituko ulingoni,mnaweza kukuta anamg'ata mpinzani wake.
Hiki ndio kinachotokea hapa Tanzania. Lissu na chama chake walijua kuwa hawawezi kushinda urais na hata ubunge watapata kwa mbinde. Na sasa ndio tunashuhudia rafu na faulo ambazo zinaonyesha hawakuingia kupata ushindi,bali walijua watashindwa hivyo waanze faulo na rafu zisizo na maana ili mradi kuvuruga uchaguzi.
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda uanze kutishia kupeleka watu the Hague?
Inakuwaje mgombea urais ambae una uhakika wa kushinda urais umtishie OCD kuwa utampandisha kwenye karandinga? Hii yote ni dalili kuwa Lissu alijua hawezi kushinda ila aliingia ili afanye faulo na vitisho kama hivi, maana kama una uhakika wa kushinda huwezi kutabiri vurugu.
Mbaya zaidi ni hili la kudanganya kuwa utafuta sheria zinazokandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mbona hata Usa tunaona wanatunga sheria kudhibiti watu wanaotumia vibaya haki ya kujieleza!
Na hili la kusema utafuta ushuru wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ina maana unataka kuturudisha kuwa tunalipa sh 500 kwa siku ambayo ni 15000 kwa mwezi?
Hili limekunyima kura kwa wajasiria mali wadogo kama mimi muuza kahawa. Na mimi nasema uligombea urais ukijua huna sifa,na huwezi kushinda ila umekuja kuleta faulo na vurugu kwenye uchaguzi.
Ni busara ukajibu hoja zake.
Awali, humu JF nilitoa ushauri kuwa Lissu apatiwe mtaalamu wa mikakati ya kampeni, mtu kama wewe hamkunielewa.
Kinachotokea Lissu anajikaanga kwa lugha yake chafu mwenyewe. Akidhani anapata wafuasi wa kweli kumbe wanashangilia upuuzi wake.
Sera zake mbili zote (utawala wa majimbo na maendeleo ya watu) ameshindwa kuzieleza zikaeleweka na hata wewe The Boss huwezi. Nikuulize wewe kama wewe unahitaji nini ili ujiendeleze?
Mjuaji ni M/Kiti wa CHADEMA aliyetumia akili kujiweka pembeni kumsaidia Mgombea Urais wa chama baada ya kubaini ushindi haupo.Ujuaji at work