Miradi ya CCM ni miradi ya 10% ni miradi ya kifisadi mtupuHii yote ni kwanini?
Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Ndio maana sasa maccm wakiongozwa na Meko wanafoka jukwaani. Wananchi wanataka maji unanunua ndege, wao wanataka hospitali unajenga flaiova, wao wanataka shule unajenga SGR fupi.
Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Maccm badilikeni
Andaa mwili; watakuja kukusulubu muda mfupi ujaoWahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.
Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.
Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.
Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.
Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.
Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.
Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Na wewe andaa mwili kwa kusulubiwa; wasulubishaji watakuja muda wowote kuanzia sasa.Lissu anachangamsha uchaguzi, mwache aendelee kubwabwaja.
Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.
Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.
Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.
Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.
Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.
Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.
Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Muuaji mkubwa wa upinzani ni Mbowe kwani ndiye aliyekuwa kiongozi rasmi wa kambi ya upinzani; ameivuruga CHADEMA mpaka sasa imekuwa chama cha wababaishaji tu.Kuna wakati mzee Slaa alikua anakuja na hoja za ufisadi na ushahidi Ukiwa kamili mezani.
Zito alikua anakuja na hoja Za ufisadi wa serikali na uthibitisho Ukiwa mezani kabisa.
Angalia ishu ya Escrow ya akina Kafulila Unakuta watu wanakuja na vielelezo wazi kabisa.
Richmond iliiangusha serikali kwasababu Watu walikua na ushahidi wa wazi na wananchi wanakubali na serikali inakabwa koo.
Sasa wapinzani sasa hivi Wamepwaya sana kwenye hoja zaidi unasikia mazungumzo Kama yakwenye vijiwe vya Kahawa yanazungumzwa na mpaka wagombea urais.
Tuombe Tupate upinzani imara kabisa Kama nyakati zilizopita ili serikali ichangamke.
Kukiwa na upinzani wenye hoja, vithibitisho tutarudi enzi za upinzani unaoichachafya serikali na wananchi tunapata burudani ya Siasa na maendeleo juu.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.
Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.
Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.
Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.
Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.
Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.
Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Mimi ninacho kumbukumbuka hata wajinga wanazeeka.. vilevileWahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.
Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.
Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.
Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.
Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.
Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.
Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Nini maana ya upinzani?Ingia field, kuna upinzani? Kama hata wabunge wa upinzani hawana pesa ya kampeni. Nini kinafuata?
Kongole mzee shomari. Ushindi 96%,kwa CCM this time. Tuwaletee maendeleo watanzania.Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.
Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.
Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.
Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.
Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.
Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.
Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Lissu kufikisha 50% ya kura alizopata lowasa itakuwa ngumu Sana.Nini maana ya upinzani?
Je, upinzani ni vyama au watu?
Ninachojua, a real battle btn Magu & Lissu, Magu kufikisha even 50% ni ngumu kwake. Ila kwa kuwa dola imeamua kum-favour, basi hata kwa magumashi wameamua lazima atangazwe kwa zaidi ya 90%.
Sawa kuna mantiki gani kusema wakulima wa korosho wauzie nchi za nje?Acheni siasa kwenye uchumi, nani kasema bidhaa ikiuzwa nje nchi inakosa mapato, kila nchi ya dunia hii inajaribu kubalance books of payment, huwezi kuagiza bidhaa nje kama huuzi nje, na kumbuka kila kitu tunaagiza kwa asilimia kubwa.
Nimeongelea huo upotoshaji mengine sihusiki nayo na sina comment