Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Groly food, duh.Groly food will never come with gold spoon but. Sharp one
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Groly food, duh.Groly food will never come with gold spoon but. Sharp one
Kwa hiyo unamdharau? Mbona Lissu anadegree lakini anaropoka pumba? Hivi unaweza kuruhusu korosho na mazao ya biashara yakauzwe nje?
Korosho ni mfano tu,kwani sasa hivi mazao unazuiwa kuuza nje? Sasa kama korosho ikiw inauzwa Msumbiji serikali itapata export levy? Ambayo huwa wanatozwa wanunuzi wa ndani? Unazidiwa akili hata na mzee Shomari!Na
Natumai wewe ndiye mzee Shomari mwenyewe,maana hoja ya mazao umekomalia kwelikweli.Ni ndoto yetu Sisi wakulima na wafanyabiashara wa mazao kuuza nje ya nchi ili tupate faida na fedha za kigeni.