Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: Uchaguzi wa mwaka huu ni kama wa mwaka 1995 ila mwaka huu mgombea wa CHADEMA ameingizwa chaka

Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: Uchaguzi wa mwaka huu ni kama wa mwaka 1995 ila mwaka huu mgombea wa CHADEMA ameingizwa chaka

Ingia field, kuna upinzani? Kama hata wabunge wa upinzani hawana pesa ya kampeni. Nini kinafuata?
Kuanzia mgombea uraisi, mpaka udiwani wanachangisha pesa. Ukija kwenye kampeni jazba na matusi unafikiri watanzania wajinga kukichagua hiki kikundi cha saccos?. Never, wajipange chaguzi nyingine.
 
Kuhusu kununua Ndege na kujenga uwanja kifisadi ni kweli sababu mwaka 2017 imetungwa sheria kuwa mikataba yote mikubwa itakuwa inapelekwa bungeni sasa kwanini mikataba ya Ndege haijapelekwa bungeni na kwanini ATCL haijakaguliwa tangu Ndege zinunuliwe.

Kuhusu uwanja wa chato kwanini umejengwa bila kuwepo na business plan mtu anaamka tu na kujenga uwanja kijijini kwake hata tenda haijulikani ilitangazwa lini huo siyo ufisadi nini basi maana manunuzi ya umma ya sheria zake na yanafanyika kwa uwazi kunapokuwa na usiri ndiyo ufisadi wenyewe unavyofanyika.

Tundu Lissu aendeleze moto huo huo kila mtanzania ada hamu kwamba sasa ufisadi unafanywa na nani. Watanzania wana kumbuka Prof Assad alipoonesha upotevu wa trillion 1.5 akaondolewa kazini kila mtu anajuwa kwanini aliondolewa sasa watanzania wataamuwa tarehe 28/10
Wewe nawe ndio walewale. Una uhakika mikataba haipo bungeni? Ishu ya tril 1.5 mbona ilipatiwa majibu.
 
Wewe nawe ndio walewale. Una uhakika mikataba haipo bungeni? Ishu ya tril 1.5 mbona ilipatiwa majibu.

Kuna mkataba gani umewahi kupelekwa bungeni hivi mbona unajitoa ufahamu. Kwa taarifa yako hakuna hata mkataba mmoja umeshapelekwa bungeni kama sheria inavosema sababu mingi ina makandokando, siyo wa ujenzi wa bwawa la Nyerere siyo wa ujenzi wa SGR siyo wa manunuzi ya Ndege. Hivyo hakuna anayejuwa miradi hiyo ina mashrti gani atakapokuja Rais mwengine ndipo tutajuwa kulikuwa na upigaji kiasi gani. Mbona huwa wananangana tu kama yeye alivyokuwa anamnanga mwenzake mkataba wa Bandari ya bagamoyo na kwenye gani. Dawa ni kupumzisha chama cha mboga mboga kwanza, na ndicho kinakwenda kufanyika. Sheria inasema mikataba ipelekwe bungeni ili kusiwe na ujanjajanja lakini wapi sasa wanaapishwa kulinda sheria zipi hizo.
 
Hawa mbogamboga ni waongo sana hakuna kitu huwa wanasema cha ukweli ninpropaganda tupu kila mwaka ili waendelee kuchaguliwa. Jana mgombea wao anawaambia wananchi alimteua balozi masilingi USA wakati aliteuliwa mwezi September 2015 na anasema alipomaliza ubunge akamteua kuwa balozi wakati masilingi alimaliza ubunge mwaka 2010. Huyo ni mgombea urais anasema uwongo jukwani, sasa ataaminiwaje na wananchi.
 
Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.

Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.

Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.

Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.

Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.

Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.

Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Mzee huyu muuza kahawa ndiyo wale wale wauza mahindi kwenye mikutano ya Rais wetu Magufuli, ni watu wa usalama hawa. Propaganda lazima
 
Kuna mkataba gani umewahi kupelekwa bungeni hivi mbona unajitoa ufahamu. Kwa taarifa yako hakuna hata mkataba mmoja umeshapelekwa bungeni kama sheria inavosema sababu mingi ina makandokando, siyo wa ujenzi wa bwawa la Nyerere siyo wa ujenzi wa SGR siyo wa manunuzi ya Ndege. Hivyo hakuna anayejuwa miradi hiyo ina mashrti gani atakapokuja Rais mwengine ndipo tutajuwa kulikuwa na upigaji kiasi gani. Mbona huwa wananangana tu kama yeye alivyokuwa anamnanga mwenzake mkataba wa Bandari ya bagamoyo na kwenye gani. Dawa ni kupumzisha chama cha mboga mboga kwanza, na ndicho kinakwenda kufanyika. Sheria inasema mikataba ipelekwe bungeni ili kusiwe na ujanjajanja lakini wapi sasa wanaapishwa kulinda sheria zipi hizo.
Nonsensical.
 
Mzee huyu muuza kahawa ndiyo wale wale wauza mahindi kwenye mikutano ya Rais wetu Magufuli, ni watu wa usalama hawa. Propaganda lazima
Unamsingizia bure, anasema ukweli. Kama Lissu akiruhusu kuuza korosho popote hata dhababu na Tanzanite ataruhusu ziuzwe nje. Lissu hafai anaropoka hovyo.
 
Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.

Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.

Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.

Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.

Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.

Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.

Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Sipati picha Siku nitakapomuona Tundu Lissu akiapishwa ili kwenda kufanya ka kazi kadogo alikoahidiwa na Rais Magufuli.
 
Akwende kule. Anafikiri ni enzi za kufumbia macho udhalimu kisa unafanywa na CCM? Huyu hajui mida imebadilika? Sasa hivi ni sawa na 1995? Hawa wazee wangetulia kimya kuliko kujitukanisha hivi. Ajiandae kwa kumsherehekea Lissu hiyo tarehe 29 baada ya matokeo.
 
Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.

Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.

Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.

Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.

Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.

Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.

Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Sio kila mzee ana busara maana hata wapumbavu huzeeka!Huyo mzee ni kati ya wapumbav waliozeeka!
 
Kwa hiyo unamdharau? Mbona Lissu anadegree lakini anaropoka pumba? Hivi unaweza kuruhusu korosho na mazao ya biashara yakauzwe nje?
Ndio,kwanini usiruhusu?Kwani Korosho inauzwa wapi siku zote?
 
Kitu ambacho watu wanashindwa kuelewa ni kuwa kwa sasa mambo mengi yanabadilika kutokana na elimu ya watu, teknolojia na hivyo kufanya mambo mengi yayanayodhaniwa kuwa yataenda kwa mazoea inakuwa ndivyo sivyo.

Chama tawala kilijua kimeua upinzani ila kinachotokea hivi sasa kinaonyesha tofauti kubwa. Nina uhakika fulani kuwa machafuko hayatatokea ila uchaguzi huu utabadili sura nzima ya mtazamo wa watanzania wengi
Kama upinzani upo hai, mbona hatuoni pilika za wagombea udiwani na ubunge za wapinzani?
 
Mzee Shomari kapuyanga..MREMA ni kada wa CCM..Lissu hajawahi kuwa CCM...
Upinzani wa kweli ni 2020 toka chaguzi za vyama vingi zianze
 
Ndio,kwanini usiruhusu?Kwani Korosho inauzwa wapi siku zote?
Inauzwa ndani ya territory ya Tanzania,alafu nchi inapata mapato. Baada ya hapo ipo inayosafirishwa nje na nyingine inatumika hapa nchini.
 
Mzee Shomari kapuyanga..MREMA ni kada wa CCM..Lissu hajawahi kuwa CCM...
Upinzani wa kweli ni 2020 toka chaguzi za vyama vingi zianze
Lakini hana uwezo wa kupata hata 5% ya kura. Anaropoka hovyo majukwaani.
 
Lakini hana uwezo wa kupata hata 5% ya kura. Anaropoka hovyo majukwaani.
Ndio waganga wenu walivyowaambia???kura za Wanachadema ni zaidi ya 5% bado wakina Sisi tunaopiga kura za hasira
 
Akwende kule. Anafikiri ni enzi za kufumbia macho udhalimu kisa unafanywa na CCM? Huyu hajui mida imebadilika? Sasa hivi ni sawa na 1995? Hawa wazee wangetulia kimya kuliko kujitukanisha hivi. Ajiandae kwa kumsherehekea Lissu hiyo tarehe 29 baada ya matokeo.
Hapo hakuna cha mzee Shomari au Mzee Mgaya wa yule BWASHEE! Hayo ni maoni ya huyo BUKU SABA aliyeanzisha huu uzi. Ameamua kuleta MAWAZO yake kwa style ya "MZEE SHOMARI" kasema!
Kisha ingiza 7 yake hapo!
 
Inauzwa ndani ya territory ya Tanzania,alafu nchi inapata mapato. Baada ya hapo ipo inayosafirishwa nje na nyingine inatumika hapa nchini.
Tatizo lenu vichwa maji!Unaweza ukawekwa utaratibu kwa wakulima kulipia ushuru kiasi fulani kama watatoa mazao yao nje ya nchi na nchi ikapata mapato vilevile na mkulima akaenda kuuza ambako anaona kuna soko na bei nzuri!
 
Back
Top Bottom