ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,704
- 1,694
Hajaambiwa aache kupiga kampeni Hai (ambapo mwaka huu anangolewa). Yeye kampeni yake ni ndogo. Constituency ni kitu kidogo saana. Yeye kama kiongozi wa chama (CDM) anatakiwa kumsaidia mwenzake kwenye kampeni ya kitaifa. Vyama vingine vina kamati inayosaidia. lakini CHADEMA wao kimya. Kama Mbowe hawzi je katibu mkuu wa CDM mbona hayupo kumpigia kampeni. Uongozi wote wa juu umemuacha Mbelgiji anahangaika mwenyewe. Wanangoja matunda ya ushindi wake!Mimi sishabikii chama chochote lakini hoja nyingine ukizisikia unashangaa.
Mbowe naye sinimgombea sasa ataachia jimbo liende apigie mtu kampeni.