Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

USIFANANISHE USTAARABU WA KIKRISTO NA DINI YA MAPEPO.


Quran 2:97

Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur’ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.”
 
Mazishi kwenu wakristo kwa kweli ni kinyaa. Mtu akija kuhudhuria huwa anajaribu kunusa nusa hewani akihofia harufu mbaya.Na wakati mwengine huyo aliyeondoka mbali na kuwaachia familia madeni huondoka na kundi la watu kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
 
Huu uzi umejaa vijana wa hovyo ambao hawatakuelewa. Na hawana hoja, wanakupinga tu
 
Achana na utamaduni nazungumzia kwa mstakabali wa kidini ambao ndo msingi wa jamii nyingi za duniani kwa sasa ..!! Mtu akifa almost ni hasara onward , mwili wake kuendelea kubaki miongoni mwa walio hai ni double loss, ni mzoga huo , kumbukumbu lake limepotea na limefutika , kilichopo ni kuhifadhi mwili mapema iwezekanavyo watu waliopo hai waendelee na mambo mengine , Dini zote zinazodai kumwabudu Mungu wa Mbinguni zinasisitiza hvyo, hata hvyo kwa sasa mazishi ni biashara za watu fulan si ajabu mlolongo ukawa mrefu kujipatia kipato
 
Hata ndugu zako wakifariki miili yao iite mizoga. Kyumer wewe
Mtu yeyote akisha kufa haijalishi ni nani au anacheo gani huo ni mzoga na hana faida yeyote ndani ya dunia.
 
Yaani Yesu alipigwa namna hiyo.Inasikitisha sana.
 
Pointless. Ndo umeongea nini sasa? Huna tofauti na sheikh Kabeke
 
Kwahiyo hadi leo hiyo teknolojia haipo ya kuhifadhi mwili? Vp wanaitumia? Sheria za uislam kwenye Mazishi ziko vile vile wewe usitumie utashi wako.

Mbona hujataka kubadili mtindo wa kuswali?

Huna akili
Nimecheka hapo mtindo wa kuswali
 
Hapana, hakuna philosophy katika uislamu. Ndugu haupo sahihi
 
Kwanza si kweli kuwa wewe ni muislamu kwani huna ufahamu kabisa wa vyanzo vya amri ya mazishi.Hukutaja wapi ipo kwenye Qur'an.Kote kote ni kuharakisha mazishi.. Kuhudhuria mazishi ni ibada lakini inaitwa fardh kifaya. kwamba ni lazima ifanyike isipofanyika ni dhambi kubwa kwa walio hai lakini si lazima kila mmoja ahudhurie.Ukiwa karibu utafaidika lakini hakuna kusubiriana.
 
Akili yako haina akili

Islam ni dini iliyotokea uarabuni na mataifa meng ya uarabuni yanajoto kali sana na kwa kipind icho kulikua akuna njia za kuifadhi maita kwaiyo wakawa wanazika sku iyo iyo mtu akifa kuepuka kuharibika kwa maana iyo utamaduni uwo ulihamia ad kenye dini yao ya islam

Ni sawa sawa na kanzu kanzu ni vazi la waarabu sio vazi la kiislam ila warabu walivaa kanzu sababu ya joto ila utamaduni uwo ukaretwa ad kwenye dini ya islam

Ata pia rope kle kitambaa cha draft ni kwaajiri ya kuzia joto kule jangwani ila baadae waislam walilifanya kua vazi lao pia
Dini za islam na christian ni tamaduni za waarabu na wazungu
Tuache kufananisha tusali ili tujisogeze karibu na Mungu wetu bas mambo ya kufananisha au kuponda dini nyingne ni ujinga na upoyoyo
 
Mkuu kwa mujibu wa uislam mtu anapokata roho huwa anapata maumivu makali sana, na Yale maumivu hayakomi mpaka azikwe
Nadhani hii ni sababu kuu mtume wetu akatuasa swala hili liwe miongoni mwa Mambo ya haraka zaidi
Halafu bado Mtume akaachwa apate hayo maumivu kwa taktiban siku mbili?
 
Biblia ya wapi? Leta andiko
Kwan unakuwa umelazimishwa kuhudhuria msiba?

Hakini dini ya kinafiki kama hiyo unayoisifia

Hawa ndo wanaongoza kwa uzinzi na uasherati na ndio makundi mengi ya kigaid ni wao
Na inayokana na msingi wa imani yao

Dini zote zina changamoto ila katika eneo hilo waislamu unyama mwingi sana , umeomba andiko nami nakupa andiko, katika agano jipya Yesu alipokufa walizika onspot, katika agano la kale neno linasema

Hesabu 20:1
Kisha wana wa Israeli, mkutano wote, wakaingia bara ya Sini, katika mwezi wa kwanza, watu wakakaa Kadeshi; Miriamu akafa huko, akazikwa huko.

Miriamu hakuwa mtu mdogo miongoni mwa taifa , ila alizikwa faster as possible no wastage of time
 
Adhabu kwa waislamu waliocheleweshwa kuzikwa ni ipi katika uislamu.
 
Adhabu kwa waislamu waliocheleweshwa kuzikwa ni ipi katika uislamu.
Hakuna adhabu na hakuna aliyekatazwa kuweka maiti mochwari ila ni Sunnah kuzika mapema

Na Sunnah pia kuzikwa kwenu ulikozaliwa (ntasahihishwa Kwa wenye kujua)ila hapo hapo Mungu ndo anajua ardhi ya utakayozikwa
Jambo likiwa Sunnah ukifanya unapata thawabu ukiliacha hupati dhambi
 
Inategemea na situation, kama aliugua kwa muda mfefu inaleta mantiki.
Kuna jamaa yangu aliondoka asubuhi zanzibar kuja kufunga mzigo dar , mchana mkewe akapata ajali ya boda na kufariki papo hapo jamaa akageuza kafika jioni na kuonyeshwa kaburi la mkewe .
 
Twende kwa fact, kwann usibadili utaratibu wa Swala kama unapenda kwenda na teknolojia? Yaan kwann usianzishe basi swala 8 au swala 3 ili kuendana na teknolojia?
Swali la kijinga kabisa.
Teknolojia imefanya adhana zifanyike kwa kutumia vyombo vya kisasa vya kupazia sauti. Before then unajua waarabu walikua wanatumia nini? Penda kuhusisha ubongo wako kwenye kuandika
 
Wewe sio Muislam, hakuna muislam mwehu, anayeweza kujipangia vitu kijinga na reasoning capacity ndogo kama yako.
Oneni hili arabu koko linatukana watu kisa wanetofautiana maoni. Wewe ndo sio muislam. Waislam huwa ni waungwana sio mbumbumbu kama wewe. Ptuuuu mate usoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…