Chap kwa haraka marehemu yumo shimoniMnoo, kuna ex wangu tulikuwa tunagombana namblock hata siku mbili siku moja akaniambia sio sawa unachofanya siku mbili ni nyingi je nikifa? mie muislam utakuja kuniunblock ukute na kuzikwa nishazikwa.
Hivi kufuga ndevu na kupaka hinna au wanja pia ni sunnah ?Hakuna adhabu na hakuna aliyekatazwa kuweka maiti mochwari ila ni Sunnah kuzika mapema
Na Sunnah pia kuzikwa kwenu ulikozaliwa (ntasahihishwa Kwa wenye kujua)ila hapo hapo Mungu ndo anajua ardhi ya utakayozikwa
Jambo likiwa Sunnah ukifanya unapata thawabu ukiliacha hupati dhambi
Sheikh we ni nani unayemtoa mwenzio kwenye uislam wakeAllah hamfichi dhwaliim hadi hapa umejibainisha wewe ni wa dini gani nilitaraji kufanya mjadala nawe ila sio KIISLAMU maana umejipanga kutukana ALLAH akutoe kwenye ukafiri
Hapo amekosea sanaUmezunguka zunguka weee ila hapo mwishoni umejidhihirisha kuwa kweli wewe sii Muislam.
Kwa taarifa yako Hijja ni nguzo ya dini na wala sio utalii!
Sijamtoa KWA kuwa hajawahi kuwa muislam na angekuwa muislam asingethubutu kuongea ujinga kiasi hicho maana tayari ndo alikuwa anajitoa kwenye dini yetuSheikh we ni nani unayemtoa mwenzio kwenye uislam wake
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Aloo 😀Chap kwa haraka marehemu yumo shimoni
Huo utoto hata babu zetu waliweza kumtambua mtu alie kufa sembuse wataalam wa afiya?Unawezakuwa umezimia tu wakawahi kuzika chap. ukizinduka ndio utajua hujui
Leo hata baadhi ya waisilamu wanaosafirisha mzogo maiti na kufanya kama wafanyavyo wakiritoDini ni itamaduni wa jamii na kila jamii ina tamaduni zake ambazo ndiyo msingi wa maisha yao ya kila siku. Kamwe taratibu za A haziwezi kuwa za B. Waislamu wabaki kwenye utamaduni wao na wakristo vivyo hivyo. Ni mbaya kuchelewesha maiti kwa mwislamu(ndiyo utamaduni na imani yao) ila siyo mbaya kwa wakristo (ndiyo utamaduni na maisha yao). Tusipangiane wala kulazimishana kila mtu abaki kwenye njia yake
Mbona watu mnakuwa wapuuzi sana! Mnashindwa kutenganisha ukristo na wakristo wenyewe! Wanao shone sure ni ndg wa marehemu hakuna mahali ambapo Padri au mchungaji amesema mje mkiwa mmevalia Sare hapa kanisani kwaajili ya Maziko hayo yote ya muda gani marehemu azikwe ni uamuzi wa familia husika na siyo ukristoMuslims wako smart sana kwenye mambo yao. Haitumiki busara ya mtu bali miongozo ya vitabu.
Uislaam umetoa miongizo namna ya kumuhudumia maiti baada yamtu kufariki mpaka mazishi.
Ukristu ni vurugu mechi kila mtu anafanya limfaalo yeye. Hakuna maelekezo wala miongozo ya kufuata .
Mtu akifariki ni maamuzi yenu marehemu azikwe ama akae tu hata mwaka.
Ndio maana wakristo utakuta marehemu kafa ana wiki mbili manjemba hayashtuki wala nini.
Wakristu akifariki maskini anaweza kuzikwa siku hiyo kuondia bugudha.
Akifariki tajiri hatua ya kwanza inaundwa kamati ya msiba na kutengeneza majukumu.
1. Kutengeneza sare za msiba
2. Kukodi mziki mzuri mzito wa kuburudisha waombolezaji
3. Kuandaa usafiri marehemu akazikiwe kwao kakonko
4. Kuandaa vyakula na vinywaji kwa muda usio eleweka kama sio walokeole hapa msiba utageuka kilabu ya pombe.
Wakristu wenzangu sijui tunakwama wapi?
Hii haifathiriwi na roho mtaka vitu ndugu yangu ukiitaka Challenge QUR'AN naamini itakuwa ni sababu ya kusilimu ALLAH akuongoze kwenye dini hii ya hakiUSIFANANISHE USTAARABU WA KIKRISTO NA DINI YA MAPEPO.
Quran 2:97
Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur’ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.”
Wewe muisilamu gani usie tii mafundisho ya mtume?sema wewe ni muisilamu jina tu usie jua chochote unaona ukiwa tofaoti na wapendwa wako wakirito wata kushangaa mambo ya dini waachie waisilamu wewe kaa kandoMimi ni muislam lakini katika suala la kuwahisha mazishi niko kinyume na wengi.
Kuzika haraka mtu anapofariki sio muongozo wa quran bali ni maelekezo ya mtume wetu kutokana na wakati wao hakukuwa na teknolojia ya kuhifadhi maiti ili ikae muda mrefu.
Pia kutokana na joto la huko jangwani ikawa ni rahisi maiti kuharibika upesi, lakini pia kutokana na kukosa mawasiliano ya simu wakati huo ikawa sio rahisi kuwapelekea taarifa watu waliopo mbali ili wawahi mazishi, kwa hiyo mtume kwa hekima akasema kati ya mambo yanayotakiwa kufanywa haraka basi mazishi ni mojawapo.
Sasa kwa kuwa nyakati zimebadilika, teknolojia imekua kwa maana maiti inaweza kuhifadhiwa muda mrefu na pia wafiwa pengine wapo mbali na taarifa wamepata kupitia simu au whatsapp, je kuna ubaya gani kuchelewesha mazishi kwa sababu mazishi pia ni ibada mtu akihudhuria anapata thawabu.
Haya ni maoni yangu binafsi kwa sababu kuna Uislam na Uarabu, kun mambo inabidi kuyafuata kama Uislam unavyosema lakini pia kuna masuala ya utamaduni wa kiarabu ambao huku kwetu hauko applicable sio mbaya kama tutaacha huo utamaduni bila kuathiri dhima ya Uislam.
Kwa imani yako wewe kama mkiristo hakuna alie kuzuiya hata ukiweka huo mzoga mwaka mzima sawa tu lakini kiisilam mtu akisha kufa na kuwa mzoga azikwe haraka hili akashudie matendo yake kama yalikuwa mema aione pepo kama alikuwa muovu aanze kutumikia motoWatu mnataka kufanya maisha yawe magumu sana,yaani mfano baba yake mtu amemzaa,amemlea kumsomesha etc akate moto ninyi ndugu msimsubiri huyu mwanae aje ashiriki mazishi yake?
Niambie wapi imeandikwa ni dhambi mwili wa marehemu kuhifadhiwa kwa minajili ya kusubiri maziko ya pamoja ndugu wote washiriki.
Huyo Ndio Medecin hamna cha uislam hapoWewe muisilamu gani usie tii mafundisho ya mtume?sema wewe ni muisilamu jina tu usie jua chochote unaona ukiwa tofaoti na wapendwa wako wakirito wata kushangaa mambo ya dini waachie waisilamu wewe kaa kando
Yani kati watu wa hovio wewe ni namba 1Biblia ya wapi? Leta andiko
Kwan unakuwa umelazimishwa kuhudhuria msiba?
Hakini dini ya kinafiki kama hiyo unayoisifia
Hawa ndo wanaongoza kwa uzinzi na uasherati na ndio makundi mengi ya kigaid ni wao
Na inayokana na msingi wa imani yao
Utakuta hapo unapiga mihayo unasubiri jioni uende kwa Mzee Muba ukagongee futari...chakarika ...Ni ukengeufu hata biblia haijaainisha hvyo, imeainisha vilevile waislamu wanavyofanya
Halafu unayeteseka ni wewe sio maiti Wala ndugu zake ...hauoni ulivyo hamnazo....!!?? Acha wafu wazike wafu wao.... Zika wako unavyoona inafaaa.... Na Wahindu wanaochoma utasemaje... Ondoka katika ombwe .....Huo mlongolongo wote ni kuidhalilisha maiti
Kabla dini zipi kwani huo upagani wako na ukafiri na uisilamu kipi kilicho anza,mwisho mtu akisha zima Kawa mzoga tu muwe mwaka 1 awezi fufuka kuwa hai akisha kufa kwa mzogo hana thamani tena hata watoto na mke na wazazi na ndugu na jamaa wanakuwa wanatamani mzoga huo uwaondokee haraka ukitaka kuamini siku ukifiwa na mpendwa wako wakupe ulalenae chumba kimoja wikiiAsili ya kukimbilia kuzika haraka siku hiyohiyo ulitoka ktk jamii za kimasikini... Kutokana na kushindwa kuhimili malipo ya kuhifadhi maiti wakashauriwa mtu akifa akazikwe haraka.Jamii haikupenda kuzika haraka ndipo dini ikatumika kushawishi kuzika haraka na jamii husika ikatii dini...
Kabla ya hizi dini binadam alikua anahifadhiwa wiki hadi mwezi bila kuzikwa, na hiyo process ya kuhifadhi maiti iliitwa MUMMIFICATION...
Qur'an haibadilishwi na hisia zako mzee. Kwanza wewe siyo muislam hakuna muislam ambaye anapingana na Qur'an .Ndio maana nimeweka hapo kuwa ni maoni yangu binafsi na sio msimamo wa uislam, mimi sio mfuata kila linalosemwa kwa sababu natambua uislam asili yake sio huku kwetu na pia ni karne nyingi zimepita lazima mabadiliko yawepo.
Maelekezo ni kuwa mtu akifa inatakiwa azikwe haraka wakati huo, now lazima nifanye reasoning kwa nini ilisemwa hivi, nagundua ala kumbe wakati huo hakukua na teknolojia kubwa katika uhifadhi wa maiti, mawasiliano, uchukuzi n.k. Lakini uzuri zaidi imesisitizwa tu kuwa mazishi yafanyike haraka, hakuna palipotajwa kuwa yafanyike haraka kwa kiasi gani kwa hiyo kwako wewe masaa mawili unaweza kutafsiri kwamba ni haraka, yule akatafsiri haraka ni masaa sita na mimi nikasema haraka ni siku tatu, hakuna tatizo hapo.
Mimi sio kama wewe unafuata lolote bila kufanya reasoning, chochote kikitamkwa ni lazima kina sababu nyuma yake.
"Haraka" ...Uislam hauendeshwi kwa mawazo na busara zako, uislam unaendeshwa kwa kufata Quran na Sunnah
Katika uislam mambo matatu yanatakiwa yafanywe haraka.
1.Mtu anapohitaji kuoa aozeshwe haraka
2.Mtu anapotaka kuslim asilimishwe haraka
3.Mtu anapo fariki azikwe haraka.
Huo ndo uislam kila kitu kimefundishwa katika uislam had staili ya Kutembea, kula&Kunywa, kuvaa, kulala, kuamka, kiiila kitu kimefundishwa na huo ndo unatakiwa uwe mwenendo wa waislam na siyo burasa zako na maoni yako.