Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

Yaani Mtu ameshakata roho (Amekufa) halafu anaendelea kupata maumivu kisa hajazikwa???

Maumivu anapataje na hana hisia zozote na nerves zote zimekufa??

Sheikh tuache pls [emoji23]
Unaamini maiti inasikia?
 
Tunarudi palepale Uislam hauendeshwi kwa busara na maoni yako msimamo wa uislam ni mtu akifa azikwe haraka
Wewe unayo hiyari ya kufata tararibu za uislam au ujitoe katika taratibu za uislam hulazimishwi katika hilo kaweke mochwari hata siku 6
Again no counter-points.....ubishi tu. Wewe hata dini ikikuambia mkate mtu kichwa huta question
 
Nimeona kila sehemu watu wanasema kama marehemu kazimia tu inakuaje, inapaswa wajue Waislamu hawaziki mtu bila report ya daktari na vipimo kupita kuthibitisha kifo.
Km amezimia kwenye process ya kuoshwa lazima ashtuke maana kwenye hii process wanafanya vitu ambavyo kwa namna yoyote mtu km hajafa lazima ushtuke.
 
Kaa kimia huna elimu yeyote kuhusu sheria za kiislam na tena mwenyezi mungu amekemea vikali tabia ya kuongea kitu usicho kuwa na elimu nacho.
Suala la kuzika lipo kisheria na sio matakwa ya mtu fulani.
Angalieni hili topolo lingine. Unabisha ujinga bila facts. Mwenzako katoa maoni yako, wewe weka points ku argue sio unatema shudu zilizojaa hasira. Unataka umpige kobazi ya uso?
 
Kwahiyo hadi leo hiyo teknolojia haipo ya kuhifadhi mwili? Vp wanaitumia? Sheria za uislam kwenye Mazishi ziko vile vile wewe usitumie utashi wako.

Mbona hujataka kubadili mtindo wa kuswali?

Huna akili
Oneni hili topolo lingine hapa linatetea utamaduni wa kiarabu kwa kumtukana mmatumbi mwenzake.

Ptuuuu mate usoni. Nimekudharau mwarabu mweusi kutoka kwa mpalange madukani
 
Huu ni muongozo katika uislamu.Ukiwa muislamu lazima uufuate.
 
Hulazimishwi kufata utaratibu wa kiislam unayo hiyari ya kujitoa katika taratibu za kiislam na ukafata busara zako ukaweka hata mwezi mzima maiti
Duh, yaaani wenzio wanatema points wewe unatema shudu. Embu kama huna cha kuchangia kaa kimya kuliko kudhihirisha ujinga wako hapa
 
Ni muislam soma suratul nnajim inasema hivi "Haiwi anachokisema Muhammad isipokua ni wahyi kwenu"hvyo usidharau Sunna za Mtume S.A.W kaka,halafu mambo manne ya haraka kwa muislam mojawapo akifa azikwe haraka sana na Kuna hadithi nadhani inasema maiti akifa azikwe km kheri akakutane nayo na Shari pia akakutane nayo
Halafu kuzika ni faradhi ila sio lazima uwepo au usiwepo atazikwa tu
Suala la kuweka maiti inaweza kua zuri au baya pia
Ila aliyekufa amekufa hata akikaa mwaka Ndo kafa huyu
baby zu
 
Sio hvo tu marehemu anapakwa shedo lipstick...jaman ifike muda Mungu TUMUOGOPE haya mapokeo ya Dunia yatatupeleka pabaya siku ya kiama
Sasa ndo umeongea nini hapa? Wewe ukimpenda na kumthamini mtu akishakufa unaacha kumpenda na kumthamini? Nimekudharau ndugu ALUWATAN
 
Angalieni hili topolo lingine. Unabisha ujinga bila facts. Mwenzako katoa maoni yako, wewe weka points ku argue sio unatema shudu zilizojaa hasira. Unataka umpige kobazi ya uso?
Umeshaambiwa kuwa Uislam haungozwi kwa fact kutoka kwenye kichwa cha mtu bali unaongozwa kwa Qruan.
Qruan imesha toa miongozo yote kuanzia kuishi ,kuoa, kuzika ,suala la kuzikwa lipo kisheria ndani ya Quruan na sio mawazo ya mtu binafisi.
 
Aah kumbe ni biashara hapo sawa
 
Umeandika pumba tupu wewe pimbi
 
Badala uweke counter-point, unaandika kujinasibu namna wewe unaijua dini. Hopeless
 
Nashukuru Kwa nondo zako bro
Na mtume anasema Uislam ulikuja mgeni na utaondoka ukiwa mgeni pia yaani hakuna anaejua zaidi ya aliyeuleta tu ,sisi tunafata miongozo Quran na Sunnah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…