Peramiho yetu JF-Expert Member Joined May 25, 2018 Posts 5,303 Reaction score 14,983 Jun 3, 2021 #161 mama D said: Jana ameanza kurukaruka tena anasema Rais ni mwenye mamlaka makubwa na blahblah za kutoshaa Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli Click to expand... Mnadhan Mungu n wa upande mmoja eee
mama D said: Jana ameanza kurukaruka tena anasema Rais ni mwenye mamlaka makubwa na blahblah za kutoshaa Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli Click to expand... Mnadhan Mungu n wa upande mmoja eee
Wangari Maathai JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 34,962 Reaction score 70,576 Jun 3, 2021 #162 mama D said: Jana ameanza kurukaruka tena anasema Rais ni mwenye mamlaka makubwa na blahblah za kutoshaa Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli Click to expand... Hapa hii tarehe alikua anakaribia kuagana nasi au alikua ashapoa kbs..who knws!
mama D said: Jana ameanza kurukaruka tena anasema Rais ni mwenye mamlaka makubwa na blahblah za kutoshaa Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli Click to expand... Hapa hii tarehe alikua anakaribia kuagana nasi au alikua ashapoa kbs..who knws!
mafiakisiwani JF-Expert Member Joined Feb 19, 2011 Posts 833 Reaction score 616 Jun 3, 2021 #163 Hivi MATAGA bado wapo?
Gunst JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 2,995 Reaction score 5,664 Jun 3, 2021 #164 Richard said: Lissu hajauliza suali, bali amesambaza habari za uongo na uzushi kwa vyombo mbalimbali vya habari. Method of delivery=Twitter. Click to expand... Mkuu vp? Msalimie Mzee Uledi.
Richard said: Lissu hajauliza suali, bali amesambaza habari za uongo na uzushi kwa vyombo mbalimbali vya habari. Method of delivery=Twitter. Click to expand... Mkuu vp? Msalimie Mzee Uledi.