Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Jamaa ni nyoko[emoji23][emoji23][emoji23] Hiyo 13 hours bengazi we achana na Waarabu kabisa wale watu nimenyoosha mikono juu hawapumziki masaa 13 nikama upo jehanamu vile [emoji91][emoji91][emoji91]
Mkuu, ni channel public, no link. Na hakuna channel nyingine yenye jina la Movies na stories.Weka link mkuu naona magroup ni mengi kule sijui lipi ni lipi
Mkuu Leo nmeferi movie zote hizi Netflix hkn hata mojaMkuu, ni channel public, no link. Na hakuna channel nyingine yenye jina la Movies na stories.
Ukisearch utalipata tu. Profile yake ni John wick
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri kaka sie wengine kwa umri wetu hivyo vitu vingine mpk tupate vijana watuwekee
Si tatizo mkuu. Acha nikuelekeze. Telegram ni application mfanano na whatsapp na ipp playstore ambapo utaipakua bure kabisa.Umri kaka sie wengine kwa umri wetu hivyo vitu vingine mpk tupate vijana watuwekee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu. Nawe pia usisahau kupitia youtube na usubscribe maana kuna kazi zingine kule.Mkuu SteveMollel usisahau kuni-tag
Karibu, boss. Namna ya kuweka substitle ni nyepesi sana. Hakikisha unakuwa na vlc kwenye simu yako. Utakapoplay movie utabonyeza alama ya kajedwali chini (kajedwali kama cha mazungumzo) hapo utachagua kudownload substitle na kazi itakuaa imeisha. Utapakua na kujiweka automatically.Shukran sana kamanda, nimejoin kwenye channel yako hayo madude hko sio mchezo mzee, Shukran sana, je kuna namna naweza nikaweka subtitle kupitia hii chanel?? Niko mgeni nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu, kweli nilikuwa napiwa na mambo mazuriKaribu, boss. Namna ya kuweka substitle ni nyepesi sana. Hakikisha unakuwa na vlc kwenye simu yako. Utakapoplay movie utabonyeza alama ya kajedwali chini (kajedwali kama cha mazungumzo) hapo utachagua kudownload substitle na kazi itakuaa imeisha. Utapakua na kujiweka automatically.
Ukikwama nshirikishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Na je in the same time naweza download muvi ngapi kwa pamoja? Nataka niwe naziseti naacha zinashuka zenyeweKaribu, boss. Namna ya kuweka substitle ni nyepesi sana. Hakikisha unakuwa na vlc kwenye simu yako. Utakapoplay movie utabonyeza alama ya kajedwali chini (kajedwali kama cha mazungumzo) hapo utachagua kudownload substitle na kazi itakuaa imeisha. Utapakua na kujiweka automatically.
Ukikwama nshirikishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi nmekwama hapa...Si tatizo mkuu. Acha nikuelekeze. Telegram ni application mfanano na whatsapp na ipp playstore ambapo utaipakua bure kabisa.
Sasa ingia playstore alafu andika "Telegram x" utaiona ina logo nyeusi. Download. Kisha utafungua app yako hiyo na kusearch "Movies na stories" utaona channel uta join
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejoin Jana kwenye channel zako zote mbili,ni wazo zuri sana Hongera unastahili,yani mule mchawi bundle lako tu la kushusha ile mizigo...By the way mimi shida yangu Ni kwamba movie ikiwa kwenye format ya mkv nikiplay kwa vlc ni shida inaplay kwa kukata kata yani otherwise nitumie media player nyingine(ambapo nikiplay huko changamoto ni siwezi kupeleka mbele wala kurudisha nyuma)...Unaweza nisadia mkuu?Karibu, boss. Namna ya kuweka substitle ni nyepesi sana. Hakikisha unakuwa na vlc kwenye simu yako. Utakapoplay movie utabonyeza alama ya kajedwali chini (kajedwali kama cha mazungumzo) hapo utachagua kudownload substitle na kazi itakuaa imeisha. Utapakua na kujiweka automatically.
Ukikwama nshirikishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ingia kwenye sehemu ya kusearch hapo uandike "movie na stories" itatokea utajoin
Chief zile unazo weka kwenye telegram ,ndo movies zenyewe tu download ?
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTEN
Njoo Telegram upakue uwezavyo mzee baba.
Usisahau na youtube uniunge mkono!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba link mkuu
Mkuu mimi nataka kujua kuhusu hizi movie kutia kwenye flash then flash nikachomeka kwente cd nikacheki kwenye tv inawezekana mkuu ?Mzee baba zama huko telegram. Search "Movies na stories" utaona channel. Zama ndani. Pia kuna ya series, search "Chumba cha series" utaiona.
Kama kuna shida nchek
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wewe tu na uwezo wa mtandao wako mzee.Na je in the same time naweza download muvi ngapi kwa pamoja? Nataka niwe naziseti naacha zinashuka zenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo uzuri wa Telegram. Hata udownload movies zote simu haijai maana inatumia cloud storage yake labda ww ndo uhamishe movie uilete kwa galleryThe good thing pia nimependa style yake ya kuwa contents haziingii direct kwenye storage ya cm,.
Sent using Jamii Forums mobile app