Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

Nimejoin Jana kwenye channel zako zote mbili,ni wazo zuri sana Hongera unastahili,yani mule mchawi bundle lako tu la kushusha ile mizigo...By the way mimi shida yangu Ni kwamba movie ikiwa kwenye format ya mkv nikiplay kwa vlc ni shida inaplay kwa kukata kata yani otherwise nitumie media player nyingine(ambapo nikiplay huko changamoto ni siwezi kupeleka mbele wala kurudisha nyuma)...Unaweza nisadia mkuu?
Ahsante sana mkuu.

Ebu Jaribu kutumia KM player. Ikiwa tatizo bado, nijuze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nataka nidownload movie niiweke kwwnye simu then niingize kwenye flsha kupitia laptop then naichomeka kwenye cd natizama kupitia tv je inawezekana ?
Kabisa.

Fanya hivi, njia nyepesi kabisa ambayo sitatoa sana maelezo mengi. Ingia playstore download "Bgram" - ni agency ya Telegram ambayo waweza pia kuitumia kuoperate telegram yako kama kawaida.

Utakuwa unaingilia huko kwenye telegram yako na hata pia kudownload vilevile. Sasa ukishapakua movie yako, play. Kwa juu kuume utaona vidoti vitatu. Ukibonyeza utaona option ya kusave hiyo movie kwenye gallery.

Screenshot_20200526-021726.jpg
Screenshot_20200526-021733.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndo ilikuwa movie yetu ya leo (tarehe 25) kwa kule Telegram.

Movie ya leo ni movie iliyoteuliwa kuzungumziwa kidogo kumpatia picha na kumhamasisha mtazamaji.
Screenshot_20200525-234312.jpg
6241d16501bbf06a440bab310fdd9c70.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa.

Fanya hivi, njia nyepesi kabisa ambayo sitatoa sana maelezo mengi. Ingia playstore download "Bgram" - ni agency ya Telegram ambayo waweza pia kuitumia kuoperate telegram yako kama kawaida.

Utakuwa unaingilia huko kwenye telegram yako na hata pia kudownload vilevile. Sasa ukishapakua movie yako, play. Kwa juu kuume utaona vidoti vitatu. Ukibonyeza utaona option ya kusave hiyo movie kwenye gallery.

View attachment 1459738View attachment 1459739

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu,ila vipi ni njia gani unayoifahamu naweza kutumia kyitoamovie kwenye simu kuitia kwenye flash ili niweze kuchomeka kwenye cd nikatazama kwenye tv ?
 
Hii ilikuwa movie yetu ya jana (tarehe 24).
.
.
Bwana Carter alikuwa mwanajeshi hodari sana aliyepigana kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Marekani (Civil war) ingawa kwa bahati mbaya, upande alokuwa anaupambania ulishindwa.

Mbali na hapo, ubaya zaidi, akapoteza familia yake, mke na mtoto wake wa kike, kwa kuuawa na upande hasimu wa vita. Hili lilimuuma sana. Akaamua kuachana kabisa na mambo ya kupambania nchi, hakutaka kujihusisha nayo kabisa, akaamua kujitazama yeye tu binafsi.

Miaka mitatu baadae, bwana huyu akiwa anaishi maisha yake ya kawaida, anaombwa kurudi tena jeshini. Anakataa. Anakamatwa lakini anatoroka na kukimbilia mahali anapoenda kukutana na Red Indians, huku nyuma jeshi lake linamsaka kweli.

Anajifichia huko kwenye mapango ya ajabu ambapo anakutana na mtu anayebebelea medali ya ajabu. Anapogusa medali hiyo, anajikuta akisafirishwa na kutokea kwenye ulimwengu wa ajabu unaoitwa Barsoom!...

Akiwa huko anakutana na viumbe vipya kabisa, vikubwa na vya kutisha. Vinamkamata na kumtia kifungoni lakini napo anatoroka na kuja kubaini yumo katika ulimwengu ambao unakumbwa na vita kali baina ya jamii mbili alizozikuta huko, yani Helium (binadamu wekundu) na Zodanga.

Sasa bwana huyu anajikuta akiungana na hawa binadamu wenzake kama familia yake mpya na kuanza kupambana vita dhidi ya alliens jamii ya Zodanga kwa ajili ya uhuru wa Barsoom!

Vita ambayo inawajuza watu wote huko kuhusu mwanaume wa shoka anayeitwa JOHN CARTER!
.
.
(Movie ya leo ni movie iliyoteuliwa kuzungumziwa kidogo kumpatia picha na kumhamasisha mtazamaji.)

IMG_20200524_230327_432.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu,ila vipi ni njia gani unayoifahamu naweza kutumia kyitoamovie kwenye simu kuitia kwenye flash ili niweze kuchomeka kwenye cd nikatazama kwenye tv ?
Kama una pc, cha kufanya itoe movie telegram ilete kwenye gallery ya simu yako kama nilivyokuelekeza. Kisha tumia usb kuhamishia movie toka kwenye simu mpaka kwa pc ambapo huko utaweza kuibeba na flash.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una pc, cha kufanya itoe movie telegram ilete kwenye gallery ya simu yako kama nilivyokuelekeza. Kisha tumia usb kuhamishia movie toka kwenye simu mpaka kwa pc ambapo huko utaweza kuibeba na flash.

Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana mkuu.
Bukubuku zangu za kuburn cd zinaenda kununulia mbs na kuoakua mamovie.

Ubarikiwe sana.

PEriod
 
Ndo uzuri wa Telegram. Hata udownload movies zote simu haijai maana inatumia cloud storage yake labda ww ndo uhamishe movie uilete kwa gallery

Sent using Jamii Forums mobile app
Barikiwa sana mkuu, yaan chanel yako ni moto wa kuotea mbali, ili kuenjoy zaidi yanipasa nianzie juu kabisa ulipoanza wakt bado sijajua then nitakuta njian mdogo mdgo[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusaidieni link ya huki telegram wakuu.
Nimeshaeleza huko juu. Hii channel ni public sio private so ukisearch tu unaipata. Ingia Telegram kisha bonyeza alama ya kusearch juu kuume kisha andika Movies na stories utatupata.

Kwa series napo search Chumba cha series utatuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom