Ila Jiwe ni muhimu alitangulia tu. Eti ule mkataba ninja alisaini na yule bosi wa zimamoto eti hakujua. Wakati alijigamba kila kitu anafaham na mazungumzo ya simu.Wanaosaini mikataba ni hao hao mnaoita wazalendo. Mzungu haji kuchukua kama jambazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Jiwe ni muhimu alitangulia tu. Eti ule mkataba ninja alisaini na yule bosi wa zimamoto eti hakujua. Wakati alijigamba kila kitu anafaham na mazungumzo ya simu.Wanaosaini mikataba ni hao hao mnaoita wazalendo. Mzungu haji kuchukua kama jambazi
Ninja walimwonea tu. Kimsingi Jiwe alikuea mornda sifa hata kama sifa hizo zitacost maisha ya watu. Hangaya naye kaja.Ila Jiwe ni muhimu alitangulia tu. Eti ule mkataba ninja alisaini na yule bosi wa zimamoto eti hakujua. Wakati alijigamba kila kitu anafaham na mazungumzo ya simu.
Ni kweli 🙏🏽Haya yamesesmwa na Mzeee wa Upako Mchungaji Antony Lusekelo ktk moja ya video clip inayoenea mitandap ya kijamii kwa kasi.
Amesema siasa za chuki, uhasama, kujilimbikizia madaraka na mali ni za kijinga na zimepitwa na wakati.
Sikiliza mwenyewe hapa.
Jiwe limetupwa Gizani
View attachment 1933526
Umenena mkuu,Mabeberu ni mbuzi wa kafara katika siasa za Africa.
Tunaibiwa sana Mara oooh wanafadhili jihadist kupora madini.
Mzee wa makonyagi ni mnafiki tu Hana lolote! Mbona alipojengewa Barabara ya kanisa lake aliufyata! Leo ndio anakumbuka shuka asubuhi? Mlefi tu huyo!Sikuwahi kujua kama mzee wa upako ana akili hivi.
Hahah! Ila ukiwakuta wanatupa mafundisho ya kuwa watiifu na wenye kusimamia haki,utasema hawa ndo kina Mandela ama Malcom X.Alikuwa safe mode ili aweze kuishi
Wanafiki tu mradi mkono uende kinywaniHahah! Ila ukiwakuta wanatupa mafundisho ya kuwa watiifu na wenye kusimamia haki,utasema hawa ndo kina Mandela ama Malcom X.
Utawala wa hovyo wa Jiwe na sasa wa Hangaya umewaamusha watu kujua umuhimu wa katiba Bora.Mzee wa makonyagi ni mnafiki tu Hana lolote! Mbona alipojengewa Barabara ya kanisa lake aliufyata! Leo ndio anakumbuka shuka asubuhi? Mlefi tu huyo!
😅😅😅a.k.a KamilioniMzee wa Upako ni mtu anayebadilika kulingana na mazingira ya utawala wa Serikali.
Yeah akili zake naona zimerudi.Kwa kweli hekima ya Mungu iko na mzee wa upako. NONDO anazotoa .......utamkubali tu.
Mzee ni mtu mzuri tu kama akiachana na Mabapa makubwaKwa kweli hekima ya Mungu iko na mzee wa upako. NONDO anazotoa .......utamkubali tu.
Enzi hzo Kila mtu alikuwa mateka si manabii Wala mitumeKasema Ukweli ila miongoni mwa waliopaswa kuyasikia hayo maneno yake ameshaondoka na alivyokuwa hai alikuwa rafiki yake lakini naona aliogopa kumwambia labda aliona angeharibu uhusiano wao hivyo angekosa mema ya nchi, kwahiyo na yeye ajifunze kutoa ushauri wakati muafaka.
Sa kipind kile alikuaje sasa 😂😂Sikuwahi kujua kama mzee wa upako ana akili hivi.
Ni kama yule mwana mazingaombwe Rashid Josephat Gwajima, kuna muda akili zinamkaa sawa na kuna muda nati zinalegea.Sikuwahi kujua kama mzee wa upako ana akili hivi.
... manaake hakuna tena namna!😅😅😅a.k.a Kamilioni
Kazi ya Mtumishi ni kuonya na kufunza. Anaona mbali na kupata mafunuo.Bado hajakoma kukisema chama tawala...