Mzee Upako: Kwa akili hizi za siasa za chuki, kujilimbikizia mali na kutukana mabeberu hamtafika mbali

Mzee Upako: Kwa akili hizi za siasa za chuki, kujilimbikizia mali na kutukana mabeberu hamtafika mbali

Ila Jiwe ni muhimu alitangulia tu. Eti ule mkataba ninja alisaini na yule bosi wa zimamoto eti hakujua. Wakati alijigamba kila kitu anafaham na mazungumzo ya simu.
Ninja walimwonea tu. Kimsingi Jiwe alikuea mornda sifa hata kama sifa hizo zitacost maisha ya watu. Hangaya naye kaja.
 
Mzee wa Upako ni mtu anayebadilika kulingana na mazingira ya utawala wa Serikali.
 
Mzee wa makonyagi ni mnafiki tu Hana lolote! Mbona alipojengewa Barabara ya kanisa lake aliufyata! Leo ndio anakumbuka shuka asubuhi? Mlefi tu huyo!
Utawala wa hovyo wa Jiwe na sasa wa Hangaya umewaamusha watu kujua umuhimu wa katiba Bora.
 
Kasema Ukweli ila miongoni mwa waliopaswa kuyasikia hayo maneno yake ameshaondoka na alivyokuwa hai alikuwa rafiki yake lakini naona aliogopa kumwambia labda aliona angeharibu uhusiano wao hivyo angekosa mema ya nchi, kwahiyo na yeye ajifunze kutoa ushauri wakati muafaka.
Enzi hzo Kila mtu alikuwa mateka si manabii Wala mitume
 
😅😅😅a.k.a Kamilioni
... manaake hakuna tena namna!
😅
1631426052220.png
 
Back
Top Bottom