Mzee Upako: Kwa akili hizi za siasa za chuki, kujilimbikizia mali na kutukana mabeberu hamtafika mbali

Muache kudanganya wananchi kwamba mabeberu ndio wanawatia njaa.
 
Enzi za hayati watu waliishi kwa akili. Maana ukijifanya msemaji anakuondoa. Bora ubaki utayasema baadae kuliki uyaseme ukaindoka kabla ya kuyamaliza.

Safe mode
Kiukweli mie nashangaa kumbe kila mtu alikuwa anajuwa jamaa hayuko fit hata kiakili, ila walitulia tu hofu ya kudhuriwa na kichaa!
 
Kwani wewe ni mzungu?...au ndio wale waafrika ukitukanwa kwa uafrika wako utajibu 'hewala bwana'😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…