Mzee wa Bwax ni msanii namba moja wa Singeli nchini. Msanii gani wa Bongo fleva wa kupambana naye jukwaani?

Mzee wa Bwax ni msanii namba moja wa Singeli nchini. Msanii gani wa Bongo fleva wa kupambana naye jukwaani?

kwenye show hapa bongo hamna wakumfikia Sholo mwamba narudia tena hakunaaa

tujaribu kotofautisha mwenye hit song na anae amsha jukwaan

narudia tena hakuna wakumfikia sholo mwamba jukwaan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sholo mwamba tulia kwanza[emoji23] zama za sholo zimepita alitamba kipindi kama "una ghetto onyesha funguo"
kwa sasa mkubali mkatae mzee wa bwax hana mpinzani
kwenye show hapa bongo hamna wakumfikia Sholo mwamba narudia tena hakunaaa

tujaribu kotofautisha mwenye hit song na anae amsha jukwaan

narudia tena hakuna wakumfikia sholo mwamba jukwaan

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sholo mwamba tulia kwanza[emoji23] zama za sholo zimepita alitamba kipindi kama "una ghetto onyesha funguo"
kwa sasa mkubali mkatae mzee wa bwax hana mpinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
mzee wewe unazungumzia hit song

mim nazungumzia kwenye amsha amsha za show sholo mwamba ni balaa anajua kwenda sawa na crowd

jamaa ana vibe la hatari
kuna siku mpaka roma alijaribu kulizungumzia hili swala kwenye Twitter kuwa sholo mwamba jukwaani ni moto wakuotea mbali

mzee wa bwax na meja kunta kwa sasa wana hit songs zinakimbiza mtaani lakni ukiwaweka jukwaa moja na sholo kwenye show lazima wadalimu amri[emoji16][emoji16][emoji16]

hii ni sawa hat kwenye bongo fleva billnas ana hit song lakin ukimweka jukwaa moja na juma nature lazma akae tu

tujaribu kutofautisha hit songs na show


narudia tena kibongobongo kwenye show za singeli hakuna kama sholo mwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitag show za sholo Mwamba nithibitishe.maana ninavyofahamu mkali ni bwax hahitaji nguvu nyingi kuleta vibe.

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna show ya diamond alifanya beach nadhani ilikuwa 2017 Christmas season walkiwa na wcb wote pamoja na sholo mwamba jamaa alopiga show masaa 2 na alisepa na kijiji mpk mond mwenyew alikalishwa vibaya ngoja niitafte nkutag

last year alienda na kiba tabora jamaa alifunika mbaya yaani wanyamwezi walipigishwa kwata ni balaa ilinyesha mvua lakini lilitimka vumbi uwanjan[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asa mambo ya 2017 si ndio hayo nna getho langu onyesha funguo..[emoji3]hata mimi nilikua naipenda hio ngoma
Mkuu haya kaangalie wasafi festival ya 2019 nani kama Bwax
kuna show ya diamond alifanya beach nadhani ilikuwa 2017 Christmas season walkiwa na wcb wote pamoja na sholo mwamba jamaa alopiga show masaa 2 na alisepa na kijiji mpk mond mwenyew alikalishwa vibaya ngoja niitafte nkutag

last year alienda na kiba tabora jamaa alifunika mbaya yaani wanyamwezi walipigishwa kwata ni balaa ilinyesha mvua lakini lilitimka vumbi uwanjan[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
" SM shika ukuta funua dera kama vipi tuone paja"
mkuu hakuna kama bwax kwenye Vibe kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ruttashobolwa, Mzee wa Bwax anachojua yeye kuimba vijembe tu .

Ila ukitaka utamu wa singeli msikilize Man Fongo, Fanani,Dogo Elisha, Dakota ,PK Mr Konki au Dulla Makabila.
 
Aah mkuu sio kweli.
Hatusemi kwamba sio wakali mkuu wote hao sisi shabiki zao lakini;
Dula makabila zama zake pia zimepita ... Weka "Bia zangu umekumywa pamoja na Viroba tupa kule skuizi mwendo wa safari" uone ipi itanyanyua watu.
Mkuu hata ukiwachanganya Manfongo,Sholo mwamba, dula makabila na huyo dogo alokufa juzi bado kwa sasa hivi hawamfikii mzee wa bwax. 2018-2020 zama za Bwax mkuu
manfongo kampa kijiti sholo,sholo alimpa kijiti makabila,dula kamuachia bwax wenyewe wanaelewa
Huyo Bwax hata Makabila hamfikii, hapo bado Mczo Mo fan hujamtaja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asa mambo ya 2017 si ndio hayo nna getho langu onyesha funguo..[emoji3]hata mimi nilikua naipenda hio ngoma
Mkuu haya kaangalie wasafi festival ya 2019 nani kama Bwax" SM shika ukuta funua dera kama vipi tuone paja"
mkuu hakuna kama bwax kwenye Vibe kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema shalo mwamba kadumu sana kwenye gemu mkuu pasipo kushuka ukilinganisha na wengine.


Ngoja tumuangalie na huyu dogo bwax
Kama itakuwa ivyo. Japo kwa sasa kama unavyosema hakuna kama yeye.
 
Back
Top Bottom